< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Un vienpadsmitā gadā, trešā mēnesī, pirmā mēneša dienā Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
Cilvēka bērns, runā uz Faraonu, Ēģiptes ķēniņu, un uz viņa ļaužu pulku: kam tu esi līdzīgs savā augstībā?
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Redzi, Asurs bija ciedra koks uz Lībanus, skaistiem zariem un kuplām lapām un slaiku augumu, un viņa galotne bija iekš mākoņiem.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Ūdens viņu darīja lielu, un jūras dziļumi viņu paaugstināja, viņa upes gāja apkārt ap dārziem, un savus ūdeņus tas sūtīja pie visiem lauka kokiem.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
Tāpēc viņa augums bija augstāks pār visiem lauka kokiem, un viņa zari vairojās un viņa zariņi plaukstot pagarinājās caur to lielo ūdeni.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Visi putni apakš debess taisīja ligzdas viņa zaros, un visi lauka zvēri vedās apakš viņa zariem, un visas lielās tautas sēdēja viņa pavēnī.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Tā tas bija skaists savā lielumā un savu zaru garumā, jo viņa sakne bija pie daudz ūdeņiem.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Ciedru koki Dieva dārzā viņu neaptumšoja un priedes viņa zariem nelīdzinājās, un kļavu koki nebija tādi kā viņa zariņi, neviens koks Dieva dārzā viņam nelīdzinājās skaistumā.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Es viņu biju darījis tik skaistu caur viņa zaru pulku, ka visi Ēdenes koki Dieva dārzā viņu apskauda.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
Tāpēc tā saka Tas Kungs Dievs: tādēļ ka tu tā biji cēlies garumā, un ka viņš savu galotni izstiepis līdz padebešiem, un viņa sirds sava augstuma dēļ lepojās,
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
Tāpēc Es viņu nodevu rokā tautu varenajam, ar viņu darīt pēc patikšanas; Es viņu izdzinu viņa bezdievības dēļ.
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
Un sveši, tie tautu briesmīgākie, viņu nocirta un to nometa, viņa zari krita uz kalniem un pa visām ielejām, un viņa zariņi tapa nogāzti visās zemes gravās. Un visas zemes tautas aizgāja no viņa pavēņa un viņu atstāja.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Visi putni apakš debess nolaidās uz viņa, un visi lauka zvēri bija uz viņa zariem;
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
Lai nekādi pie ūdens dēstīti koki nelepojās sava auguma pēc, un savu galotni nestiepj līdz mākoņiem, un nekādi no ūdens slacināti koki nepaļaujas uz sev pašiem sava augstuma dēļ; jo tie visi nāvei ir nodoti uz zemes apakšu, cilvēka bērnu vidū, pie tiem, kas grimst bedrē.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Tā saka Tas Kungs Dievs: tai dienā, kad tas ellē nogrima, tad Es cēlu bēdas, Es viņa dēļ apklāju dziļumus un aizturēju viņa upes, un tie varenie ūdeņi apstājās, un Es darīju, ka Lībanus viņa dēļ sērojās, un visi lauka koki nokalta viņa dēļ. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
No viņa kritiena trokšņa Es pagānus darīju drebam, kad Es viņu ellē nogrūdu pie tiem, kas grimst bedrē. Un visi Ēdenes koki, tie izlasītie un labākie uz Lībanus, visi no ūdens slacinātie koki iepriecinājās zemes apakšā. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Tie nogrima arīdzan līdz ar viņu ellē pie tiem zobena nokautiem, kas kā viņa palīgi bija sēdējuši viņa pavēnī starp tautām. (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Kam starp Ēdenes kokiem tu tad esi līdzīgs godā un augstumā? Arī tu tapsi nogrūsts ar Ēdenes kokiem zemes apakšā, tu gulēsi vidū starp neapgraizītiem, pie zobenu nokautiem. Tas ir Faraons un viss viņa ļaužu pulks, saka Tas Kungs Dievs.

< Ezekieli 31 >