< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Kum hlaibun, thapa yung thum, hnin pasuek nah BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
tami capa, Izip siangpahrang Faro hoi tamihunaw koe dei pouh. Na bawilennae a len teh, api hoi maw na kâvan,
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Assiria na meihawi teh, a bu ka rung e a kang, ka rasang e hmuen, ratu a tâhlip kahawie, akangnaw hoi ka kuep e a som kaawm e Lebanon doeh.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Tui kathounge ni ahni teh a roung sak teh, talai thung e tui ni a rasang sak teh a ungnae hmuen petkâkalup lah ka lawng e palang ni a lawng sin teh, ram dawk e thing pueng a kawk nahanelah a lawng sak.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
Hot patetlah kahrawngum e thingnaw hah ka tapuet lah a roung teh, hoehoe a rasang, akangnaw a roung teh a saw awh, tui moikapap hoi a kawk e doeh.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Kalvan e tava pueng ni a kangnaw dawk a tabu a tuk awh. Kahrawngum e saringnaw ni a kangnaw e a rahim vah a ca khe awh. Hote thingkung a tâhlip dawkvah, kalenpounge miphunnaw pueng khosak awh.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Hottelah, tui apapnae hmuen koe a tangpha a pabo dawkvah, a len teh, a kangnaw a saw teh, a meihawinae hoi a kuep.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Cathut e takha dawk Sidar thingnaw ni hote thingkung teh ngue thai awh hoeh. Hmaica thing hoi Aramonkung naw hai hot patetlae a kang hoi kuep awh hoeh. Cathut e takha dawk e thingkung buet touh ni hote thingkung ka phat e awm hoeh.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Eden hmuen Cathut e takha dawk kaawm e thingkungnaw teh hote thingkung hah a ut awh totouh, a kang apap e lahoi ahnie meihawinae kai ni ka poe.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, hote Sidar thing teh, a rasangpoung teh a kangnaw hai tâmai totouh a pha dawkvah, a lungthin a kârasang.
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
Miphunnaw dawk bahu a len teh, ka patawpoung lah lawkcengkung e a kut dawk kai ni ka poe toe. Ahni ni a sak e hno kecu dawk ka hrek han.
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
Miphunnaw thung dawk hoi taki ka tho poung e naw ni a tâtueng awh vaiteh, a tâkhawng awh han. Mon dawk thoseh, tanghling dawk thoseh, a kangnaw be a bo han. Hote ram dawk tui lawngnae ravo dawk a kangnaw be ka khoe han. Talai tami pueng a tâhlip dawk hoi a tâco awh vaiteh, a ceitakhai awh han.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Kalvan e tavanaw hoi kahrawngum e saringnaw teh ka kâkhoe e a kangnaw van ao awh han.
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
Bangkongtetpawiteh, tui teng vah kaawm e thingkungnaw thung dawk a rasangnae a kâoupkhai hoeh nahane doeh. Talai rahim a rahnoumnae tangkom thung hoi, ka kum e tami capanaw koe cei hanelah, duenae be a kâman sak e lah ao toe.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
BAWIPA Jehovah ni hettelah a dei, ahni teh duenae kho koe a ceinae hnin dawk kadungpoung e hmuen koe, ahni hanelah rohni hoi ka khu han, tuipui kaman teh, ka lenpoung e tuipui ka ban sak, ahni teh Lebanon hanelah rohni ka kho sak teh, kahrawngum e thing pueng ahni kecu dawk a lung a pout awh. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
A rawpnae a pawlawk dawk, miphun hoi ka pâyaw sak teh, tangkom thung ka kum tangcoung e naw koe sheol ka pabo hnin vah, Eden thing pueng Lebanon thing kahawinaw hoi tui ka net e pueng hah talai rahim vah karoumcalah ao awh. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Tahloi hoi thei e koe, ahnimouh hai sheol koe lah a kum awh van teh, miphunnaw koe a tâhlip rahim kho ouk kasaknaw a thasainae kutnaw hoi, (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Eden thingnaw thung dawk, bawilennae hoi lentoenae dawk apimaw nang patetlah kaawm. Hateiteh, Eden thingnaw hoi adungpoungnae koe tâkhawng e lah na o han, hetheh Faro hoi a tamihupuinaw doeh, telah BAWIPA ni a dei.

< Ezekieli 31 >