< Ezekieli 30 >

1 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
2 “Mwanadamu, toa unabii na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Maombolezo. “Ole unakuja siku hiyo.”
Fils d’un homme, prophétise, et dis: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Hurlez, malheur, malheur au jour;
3 siku ikaribu. Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa siku ya mawingu, mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa.
Car le jour est près, et il approche, le jour du Seigneur, jour de nuage; ce sera le temps des nations.
4 Kisha upanga utakuja dhidi ya Misri, na huko kutakuwa na maumivu makali katika Kushi wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri-wakati watakapochukua utajiri, na wakati misingi yake itakapoharibiwa.
Et viendra un glaive sur l’Egypte; et la frayeur sera dans l’Ethiopie, lorsque tomberont les blessés en Egypte; quand sa multitude sera enlevée, et que ses fondements seront détruits.
5 Kushi, Putu, na Ludi, na wageni wote, pamoja na watu wa nyumba ya agano-wote wataanguka chini kwa upanga.
L’Ethiopie, et la Libye, et la Lydie, et tout le reste des peuples, et Chub, et les fils de la terre de l’alliance avec eux, sous le glaive tomberont.
6 Yahwe asema hivi: Basi wale wanaoisaidia Misri wataanguka, na kiburi cha uweza wake kitashuka chini. Kutoka Migdoli hata Sewene maaskari wao wataanguka kwa upanga-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Et ils tomberont, ceux qui soutenaient l’Egypte, et l’orgueil de son empire sera détruit; depuis la tour de Syène, ils tomberont par l’épée, dit le Seigneur Dieu des armées;
7 Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa, na miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliharibika.
Et ils seront dispersés au milieu des terres désolées, et ses villes seront entre les cités désertes.
8 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapouweka moto katika Misri, na wakati wasaidizi wake wote watakapoharibiwa.
Et ils sauront que je suis le Seigneur, lorsque j’aurai mis le feu dans l’Egypte et qu’auront été brisés tous ses auxiliaires.
9 Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi iliyo salama, na kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misri. Kwa kuwa tazama! inakuja.
En ce jour-là, sortiront de devant ma face des messagers sur des trirèmes, pour détruire la confiance de l’Ethiopie; et la frayeur sera sur eux au jour de l’Egypte, parce que sans aucun doute ce jour viendra.
10 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri kwa mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
Voici ce que dit le Seigneur Dieu: J’anéantirai la multitude de l’Egypte par la main de Nabuchodonosor, roi de Babylone.
11 Yeye na jeshi lake pamoja naye, hofu ya mataifa, italetwa kuiharibu nchi; watafuta panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi pamoja na watu waliokufa.
Lui et son peuple avec lui, les plus puissants des nations seront amenés pour détruire le pays; ils tireront leurs glaives contre l’Egypte, et ils rempliront la terre de tués.
12 Nitaifanya mito kuwa nchi kavu, na nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu. Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni-mimi, Yahwe, nimesema.
Et je mettrai à sec les lits des fleuves, et je livrerai le pays entre les mains des plus méchants; je détruirai le pays et sa plénitude, par la main des étrangers; c’est moi le Seigneur, qui ai parlé.
13 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaziharibu sanamu, na nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili za Nofu. Hakutakuwa na mkuu katika Misri, na nitaweka hofu katika nchi ya Misri.
Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Et j’exterminerai les simulacres, et j’anéantirai les idoles de Memphis; il n’y aura plus de prince du pays d’Egypte; et je porterai la terreur dans la terre d’Egypte.
14 Kisha nitaifanya Pathrosi ukiwa na kuweka moto katika Soani, nitatekeleza matendo ya hukumu katika No.
Je perdrai entièrement la terre de Phathurès, et je mettrai le feu dans Taphnis, et j’exercerai des jugements dans Alexandrie.
15 Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini, ngome ya Misri, na kuwakatilia mbali watu wa mataifa.
Et je répandrai mon indignation sur Péluse, la force de l’Egypte; je perdrai la multitude d’Alexandrie,
16 Kisha nitaweka moto katika Misri; Sini itakuwa katika dhiki kuu, No itavunjika, na Nofu itakabiliana na maadui kila siku.
Et je mettrai le feu dans l’Egypte; comme une femme en travail, Péluse sera dans les douleurs; Alexandrie sera ravagée et dans Memphis seront des angoisses continuelles.
17 Vijana katika Oni na Pi-besethi wataanguka kwa upanga, na miji yao itaenda utumwani.
Les jeunes hommes d’Héliopolis et de Bubaste tomberont sous le glaive, et les femmes elles-mêmes seront emmenées captives.
18 Huko Tapanesi, siku itabadilika kuwa usiku nitakapo ivunja nira ya Misri huko, na kiburi cha uwezo wake kitaisha. Kutakuwa na wingu likimfunika, na binti zake wataenda utumwani.
Et à Taphnis s’obscurcira le jour, lorsque j’y briserai les sceptres de l’Egypte, et que l’orgueil de sa puissance s’y évanouira: un nuage la couvrira elle-même, mais ses filles seront emmenées en captivité.
19 Nitatekeleza matendo ya hukumu katika Misri, hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Et j’exercerai des jugements en Egypte; et ils sauront que je suis le Seigneur.
20 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa kwanza, katika siku ya saba ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et il arriva en la onzième année, au premier mois, au septième jour du mois, que la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
21 “Mwanadamu, nimeuvunja mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Tazama! Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji ili upone, hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga.
Fils d’un homme, j’ai brisé le bras de Pharaon, roi d’Egypte; et voilà qu’il n’a pas été enveloppé, de manière que la guérison lui fût rendue; qu’il fût lié avec des compresses, et qu’il fût entouré de linges, afin qu’ayant repris sa force, il pût tenir un glaive.
22 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama, mimi niko juu ya Farao, mfalme wa Misri. Kwa kuwa nitauvunja mkono wake, wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika, nitaufanya upanga wangu kuanguka kutoka kwenye mkono wake.
C’est pourquoi voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que moi je viens vers Pharaon, roi d’Egypte; et je mettrai en pièces son bras fort, mais brisé; et je ferai tomber le glaive de sa main;
23 Kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali.
Et je disperserai les Egyptiens parmi les nations, et je les jetterai au vent dans les divers pays.
24 Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli na kuweka upanga wangu katika mkono wake ili kwamba niweze kuiharibu mikono ya Farao. Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli kwa mgumio wa mtu anayekufa.
Et je fortifierai le bras du roi de Babylone, et je mettrai mon glaive dans sa main, et je briserai les bras de Pharaon, et les siens pousseront de grands gémissements, étant tués devant sa face.
25 Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli, wakati mkono wa Farao utakapoanguka. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapoweka upanga wangu kwenye mkono wa mfalme wa Babeli; kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo.
Et je fortifierai les bras du roi de Babylone, et les bras de Pharaon tomberont; et ils sauront que je suis le Seigneur, lorsque j’aurai mis mon glaive dans la main du roi de Babylone, et qu’il l’aura étendu sur la terre d’Egypte.
26 Hivyo nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe.”'
Et je disperserai les Egyptiens parmi les nations, je les jetterai au vent dans les divers pays; et ils sauront que je suis le Seigneur.

< Ezekieli 30 >