< Ezekieli 30 >

1 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Hina Gode da nama bu amane sia: i,
2 “Mwanadamu, toa unabii na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Maombolezo. “Ole unakuja siku hiyo.”
“Dunu egefe! Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: dunu huluane nabima: ne, amane wele sia: ma, ‘Beda: igia: su eso da mana.
3 siku ikaribu. Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa siku ya mawingu, mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa.
Hina Gode Ea hamomu eso da gadenesa. Amo esoga, soge fifi asi gala da se nabasu ginamei mobi agoai ba: mu.
4 Kisha upanga utakuja dhidi ya Misri, na huko kutakuwa na maumivu makali katika Kushi wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri-wakati watakapochukua utajiri, na wakati misingi yake itakapoharibiwa.
Idibidi soge da gegesu ba: mu. Sudane soge da se nabasu bagade ba: mu. Idibidi soge ganodini, dunu bagohame da medole legei dagoi ba: mu. Ilia liligi huluane amo enoga gegenana lai dagoi ba: mu. Amola ilia soge huluane, wadela: lesi dagoi ba: mu.
5 Kushi, Putu, na Ludi, na wageni wote, pamoja na watu wa nyumba ya agano-wote wataanguka chini kwa upanga.
Amo gegesu ganodini, bidiga lai dadi gagui dunu ilia da eno sogega hiougi (amo soge da Sudane, Lidia, Libia, Ala: ibia, Bade amola Na fi dunu Isala: ili) amo da medole lelegei dagoi ba: mu.’”
6 Yahwe asema hivi: Basi wale wanaoisaidia Misri wataanguka, na kiburi cha uweza wake kitashuka chini. Kutoka Migdoli hata Sewene maaskari wao wataanguka kwa upanga-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Hina Gode da amane sia: i, “Idibidi gaga: su dunu huluane, Migidole ga (north) soge amogainini asili, Asawane doaga: le, huluane da medole lelegei dagoi ba: mu. Idibidi hidasu dadi gagui gilisisu da wadela: lesi dagoi ba: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
7 Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa, na miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliharibika.
Idibidi soge da wadela: lesi dagoi, eno soge huluane ilia wadela: su baligisawane ba: mu. Ea moilai huluane da wadela: lesidafa ba: mu.
8 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapouweka moto katika Misri, na wakati wasaidizi wake wote watakapoharibiwa.
Na da Idibidi soge laluga ulagisia, amola ea gaga: su dunu huluane medole legei dagoi ba: sea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
9 Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi iliyo salama, na kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misri. Kwa kuwa tazama! inakuja.
Amo eso doaga: sea, amola Idibidi soge da wadela: lesi dagoi ba: sea, Na da Sudane mae dawa: le esalebe dunu ilima dusagai da: iya sia: adola ahoasu dunu asunasimu. Ilia sia: nabasea, beda: ga fofogadigimu. Amo eso da mana.”
10 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri kwa mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Ba: bilone hina bagade, Nebiuga: denese, ema e da Idibidi doagala: le, ea bagade gagui hou dagolisima: ne sia: mu.
11 Yeye na jeshi lake pamoja naye, hofu ya mataifa, italetwa kuiharibu nchi; watafuta panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi pamoja na watu waliokufa.
E amola ea nimi bagade dadi gagui wa: i da soge wadela: musa: misunu. Ilia da gegesu gobihei bagade gaguli, Idibidi doagala: mu. Idibidi soge da bogoi da: i hodo amoga nabai ba: mu.
12 Nitaifanya mito kuwa nchi kavu, na nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu. Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni-mimi, Yahwe, nimesema.
Na da Naile Hano hale hafoga: lesili, Idibidi fi amo wadela: i dunu amoga iagamu. Ga fi dunu da soge huluane gugunufinisimu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
13 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaziharibu sanamu, na nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili za Nofu. Hakutakuwa na mkuu katika Misri, na nitaweka hofu katika nchi ya Misri.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Memefisi moilai bai bagade ilia loboga hamoi ‘gode’, amola ogogosu ‘gode’ huluane wadela: lesimu. Idibidi ouligisu dunu da hame ba: mu, amola Na da dunu huluane beda: gia: ma: ne hamomu.
14 Kisha nitaifanya Pathrosi ukiwa na kuweka moto katika Soani, nitatekeleza matendo ya hukumu katika No.
Na da Idibidi ga (south) soge wadela: lesimu, amola Soua: ne moilai bai bagade gadili (north) diala amo laluga ulagisimu. Na da Idibidi bisilua moilai bai bagade amo Dibisi, amoma se bidi imunu.
15 Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini, ngome ya Misri, na kuwakatilia mbali watu wa mataifa.
Idibidi gagili sali moilai bai bagade, amo Belusiame da Na ougi ba: mu. Na da Dibisi ea gagui liligi wadela: lesimu.
16 Kisha nitaweka moto katika Misri; Sini itakuwa katika dhiki kuu, No itavunjika, na Nofu itakabiliana na maadui kila siku.
Na da Idibidi laluga ulagisimu, amola Belusiame da se bagade nabimu. Dibisi gagoi da mugului dagoi ba: mu, amola moilai da hanoga dedeboi dagoi ba: mu.
17 Vijana katika Oni na Pi-besethi wataanguka kwa upanga, na miji yao itaenda utumwani.
Hilioubalisi amola Bibisede moilai bai bagade ayeligi dunu da gegesu ganodini bogogia: mu, amola dunu oda da afugili oule asi dagoi ba: mu.
18 Huko Tapanesi, siku itabadilika kuwa usiku nitakapo ivunja nira ya Misri huko, na kiburi cha uwezo wake kitaisha. Kutakuwa na wingu likimfunika, na binti zake wataenda utumwani.
Na da Idibidi ilia gasa fili gasa hou wadela: sea, Daha: banisi gagili sali moilai da gasi fawane ba: mu. Mobi ginamei da Idibidi soge dedebomu, amola ea moilai fi dunu huluane da afugili oule asi dagoi ba: mu.
19 Nitatekeleza matendo ya hukumu katika Misri, hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Na da Idibidi fi ilima se bidi agoane iasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.”
20 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa kwanza, katika siku ya saba ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Eso fesu amola oubi age amola ode gida amoga ninia mugululi misi, Hina Gode da nama amane sia: i,
21 “Mwanadamu, nimeuvunja mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Tazama! Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji ili upone, hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga.
“Dunu egefe! Na Idibidi hina bagade ea lobo gasa fi dagoi. Dunu afaega ea lobo ili gadole abulaga hame la: gilisi. Amaiba: le, amo uhini amola gegesu gobihei bu gegemusa: gagumu da hamedei.
22 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama, mimi niko juu ya Farao, mfalme wa Misri. Kwa kuwa nitauvunja mkono wake, wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika, nitaufanya upanga wangu kuanguka kutoka kwenye mkono wake.
Amalu, wali, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa, ‘Na da Idibidi hina bagade ema ha lai. Na da ea lobo aduna filisimu - musa: fi lobo amola ele galu filisimu. Amasea, gegesu gobihei bagade da ea lobo gagui habonane sa: imu.
23 Kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali.
Na da Idibidi fi dunu amo fifi asi gala huluane amoga afagogolesimu.
24 Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli na kuweka upanga wangu katika mkono wake ili kwamba niweze kuiharibu mikono ya Farao. Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli kwa mgumio wa mtu anayekufa.
Amasea, Na da Ba: bilone hina bagade ema gasa iawane, Na gegesu gobihei ea lobo da: iya ligisimu. Be Na da Idibidi hina bagade ea lobo fifilisimu. Amola ea ha lai dunu ea midadi, e da gogonomonanu bogomu.
25 Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli, wakati mkono wa Farao utakapoanguka. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapoweka upanga wangu kwenye mkono wa mfalme wa Babeli; kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo.
Dafawane! Na da ea gasa wadela: lesimu, be Ba: bilone hina bagade ema gasa imunu. Na da ema Na gegesu gobihei iasili, amola e da amoga Idibidi fi dunuma sosiagasea, dunu huluanedafa da Na da Hina Gode dawa: mu.
26 Hivyo nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe.”'
Na da Idibidi fi dunu amo gadili se fasili, ili fifi asi gala huluane amo ganodini esaloma: ne afagogolesimu. Amasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.”

< Ezekieli 30 >