< Ezekieli 28 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱
2 “Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
«ای پسر انسان به رئیس صور بگو: خداوند یهوه چنین می‌فرماید: چونکه دلت مغرور شده است و می‌گویی که من خدا هستم وبر کرسی خدایان در وسط دریا نشسته‌ام، و هرچند انسان هستی و نه خدا لیکن دل خود را ماننددل خدایان ساخته‌ای.۲
3 unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
اینک تو از دانیال حکیم تر هستی و هیچ سری از تو مخفی نیست؟۳
4 Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
و به حکمت و فطانت خویش توانگری برای خود اندوخته و طلا و نقره در خزاین خود جمع نموده‌ای.۴
5 Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
به فراوانی حکمت و تجارت خویش دولت خود را افزوده‌ای پس به‌سبب توانگریت دلت مغرور گردیده است.»۵
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
بنابراین خداوندیهوه چنین می‌فرماید: «چونکه تو دل خود را مثل دل خدایان گردانیده‌ای،۶
7 kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
پس اینک من غریبان وستم کیشان امت‌ها را بر تو خواهم آورد که شمشیرهای خود را به ضد زیبایی حکمت توکشیده، جمال تو را ملوث سازند.۷
8 Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
و تو را به هاویه فرود آورند. پس به مرگ آنانی که در میان دریا کشته شوند خواهی مرد.۸
9 Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
آیا به حضورقاتلان خود خواهی گفت که من خدا هستم؟ نی بلکه در دست قاتلانت انسان خواهی بود و نه خدا.۹
10 Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
از دست غریبان به مرگ نامختونان کشته خواهی شد، زیرا خداوند یهوه می‌فرماید که من این را گفته‌ام.»۱۰
11 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱۱
12 “Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
«ای پسر انسان برای پادشاه صور مرثیه بخوان و وی را بگو خداوند یهوه چنین می‌فرماید: توخاتم کمال و مملو حکمت و کامل جمال هستی.۱۲
13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
در عدن در باغ خدا بودی و هر گونه سنگ گرانبها از عقیق احمر و یاقوت اصفر و عقیق سفید و زبرجد و جزع و یشب و یاقوت کبود و بهرمان و زمرد پوشش تو بود. و صنعت دفها ونایهایت در تو از طلا بود که در روز خلقت تو آنهامهیا شده بود.۱۳
14 Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
تو کروبی مسح شده سایه‌گستربودی. و تو را نصب نمودم تا بر کوه مقدس خدابوده باشی. و در میان سنگهای آتشین می‌خرامیدی.۱۴
15 Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
از روزی که آفریده شدی تاوقتی که بی‌انصافی در تو یافت شد به رفتار خودکامل بودی.۱۵
16 Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
اما از کثرت سوداگریت بطن تو رااز ظلم پر ساختند. پس خطا ورزیدی و من تو رااز کوه خدا بیرون انداختم. و تو را‌ای کروبی سایه‌گستر، از میان سنگهای آتشین تلف نمودم.۱۶
17 Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
دل تو از زیباییت مغرور گردید و به‌سبب جمالت حکمت خود را فاسد گردانیدی. لهذا تورا بر زمین می‌اندازم و تو را پیش روی پادشاهان می‌گذارم تا بر تو بنگرند.۱۷
18 Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
به کثرت گناهت وبی انصافی تجارتت مقدس های خویش رابی عصمت ساختی. پس آتشی از میانت بیرون می‌آورم که تو را بسوزاند و تو را به نظر جمیع بینندگانت بر روی زمین خاکستر خواهم ساخت.۱۸
19 Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
و همه آشنایانت از میان قوم‌ها بر تو متحیرخواهند شد. و تو محل دهشت شده، دیگر تا به ابد نخواهی بود.»۱۹
20 Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۲۰
21 “Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
«ای پسر انسان نظر خود را بر صیدون بدار و به ضدش نبوت نما.۲۱
22 Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
و بگو خداوند یهوه چنین می‌فرماید: اینک‌ای صیدون من به ضد تو هستم وخویشتن را در میان تو تمجید خواهم نمود. وحینی که بر او داوری کرده و خویشتن را در وی تقدیس نموده باشم، آنگاه خواهند دانست که من یهوه هستم.۲۲
23 Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
و وبا در او و خون در کوچه هایش خواهم فرستاد. و مجروحان به شمشیری که ازهر طرف بر او می‌آید در میانش خواهند افتاد. پس خواهند دانست که من یهوه هستم.۲۳
24 Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
و باردیگر برای خاندان اسرائیل از جمیع مجاوران ایشان که ایشان را خوار می‌شمارند، خاری خلنده و شوک رنج آورنده نخواهند بود. پس خواهند دانست که من خداوند یهوه می‌باشم.»۲۴
25 Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
خداوند یهوه چنین می‌گوید: «هنگامی که خاندان اسرائیل را از قوم هایی که در میان ایشان پراکنده شده‌اند جمع نموده، خویشتن را از ایشان به نظر امت‌ها تقدیس کرده باشم، آنگاه در زمین خودشان که به بنده خود یعقوب داده‌ام ساکن خواهند شد.۲۵
26 Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'
و در آن به امنیت ساکن شده، خانه‌ها بنا خواهند نمود و تاکستانها غرس خواهند ساخت. و چون بر جمیع مجاوران ایشان که ایشان را حقیر می‌شمارند داوری کرده باشم، آنگاه به امنیت ساکن شده، خواهند دانست که من یهوه خدای ایشان می‌باشم.»۲۶

< Ezekieli 28 >