< Ezekieli 28 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
son: child man to say to/for leader Tyre thus to say Lord YHWH/God because to exult heart your and to say god I seat God to dwell in/on/with heart sea and you(m. s.) man and not god and to give: make heart your like/as heart God
3 unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
behold wise you(m. s.) (from Daniel *Q(K)*) all to close not to darken you
4 Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
in/on/with wisdom your and in/on/with understanding your to make to/for you strength: rich and to make: offer gold and silver: money in/on/with treasure your
5 Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
in/on/with abundance wisdom your in/on/with merchandise your to multiply strength: rich your and to exult heart your in/on/with strength: rich your
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
to/for so thus to say Lord YHWH/God because to give: make you [obj] heart your like/as heart God
7 kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
to/for so look! I to come (in): bring upon you be a stranger ruthless nation and to empty sword their upon beauty wisdom your and to profane/begin: profane splendor your
8 Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
to/for Pit: hell to go down you and to die death slain: killed in/on/with heart sea (questioned)
9 Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
to say to say God I to/for face: before to kill you and you(m. s.) man and not god in/on/with hand: power to bore you
10 Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
death uncircumcised to die in/on/with hand: power be a stranger for I to speak: speak utterance Lord YHWH/God
11 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
12 “Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
son: child man to lift: raise dirge upon king Tyre and to say to/for him thus to say Lord YHWH/God you(m. s.) to seal proportion full wisdom and entire beauty
13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
in/on/with Eden garden God to be all stone precious covering your sardius topaz and jasper jasper onyx and jasper sapphire emerald and gem and gold work tambourine your and socket your in/on/with you in/on/with day to create you to establish: prepare
14 Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
you(f. s.) cherub expanded [the] to cover and to give: put you in/on/with mountain: mount holiness God to be in/on/with midst stone fire to go: walk
15 Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
unblemished: blameless you(m. s.) in/on/with way: conduct your from day to create you till to find injustice [to] in/on/with you
16 Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
in/on/with abundance merchandise your to fill midst your violence and to sin and to profane/begin: profane you from mountain: mount God and to perish you cherub [the] to cover from midst stone fire
17 Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
to exult heart your in/on/with beauty your to ruin wisdom your upon splendor your upon land: soil to throw you to/for face: before king to give: throw you to/for to see: see in/on/with you
18 Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
from abundance iniquity: crime your in/on/with injustice merchandise your to profane/begin: profane sanctuary your and to come out: send fire from midst your he/she/it to eat you and to give: make you to/for ashes upon [the] land: country/planet to/for eye: seeing all to see: see you
19 Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
all to know you in/on/with people be desolate: appalled upon you terror to be and nothing you till forever: enduring
20 Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
21 “Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
son: child man to set: make face your to(wards) Sidon and to prophesy upon her
22 Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
and to say thus to say Lord YHWH/God look! I upon you Sidon and to honor: honour in/on/with midst your and to know for I LORD in/on/with to make: do I in/on/with her judgment and to consecrate: holiness in/on/with her
23 Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
and to send: depart in/on/with her pestilence and blood in/on/with outside her and to fall: kill slain: killed in/on/with midst her in/on/with sword upon her from around: side and to know for I LORD
24 Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
and not to be still to/for house: household Israel briar to malign and thorn to pain from all around: neighours them [the] to despise [obj] them and to know for I Lord YHWH/God
25 Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
thus to say Lord YHWH/God in/on/with to gather I [obj] house: household Israel from [the] people which to scatter in/on/with them and to consecrate: holiness in/on/with them to/for eye: seeing [the] nation and to dwell upon land: soil their which to give: give to/for servant/slave my to/for Jacob
26 Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'
and to dwell upon her to/for security and to build house: home and to plant vineyard and to dwell to/for security in/on/with to make: do I judgment in/on/with all [the] to despise [obj] them from around: neighours them and to know for I LORD God their

< Ezekieli 28 >