< Ezekieli 27 >
1 Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
RAB bana şöyle seslendi:
2 “Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
“İnsanoğlu, Sur Kenti için bir ağıt yak.
3 na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
Denizin kıyısında kurulmuş, kıyı halklarıyla ticaret yapan Sur Kenti'ne de ki, ‘Egemen RAB şöyle diyor: “‘Ey Sur, güzellikte kusursuzum dedin.
4 Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
Sınırların denizin bağrındaydı, Kurucuların güzelliğini doruğa ulaştırdılar.
5 Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
Bütün kerestelerini Senir'in çam ağaçlarından yaptılar, Sana direk yapmak için Lübnan'dan sedir ağaçları aldılar.
6 Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
Küreklerini Başan meşelerinden, Güverteni Kittim kıyılarından getirilen Selvi ağaçlarından yaptılar, Fildişiyle süslediler.
7 Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
Mısır'ın işlemeli ince keteninden yelkenin, Bayrağın oldu senin. Güvertenin gölgeliği Elişa kıyılarının Lacivert, mor kumaşındandı.
8 Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
Kürekçilerin Saydalı ve Arvatlı'ydı, Gemicilerin, içindeki becerikli kişilerdi, ey Sur.
9 Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
Gemilerindeki gedikleri onaranlar Geval'ın deneyimli, usta adamlarıydı. Denizdeki bütün gemiler ve denizciler Mallarını değiş tokuş etmek için sana geldiler.
10 Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
Persli, Ludlu, Pûtlu askerler Ordunda hizmet etti. Kalkanlarını, miğferlerini Duvarlarına astılar, Sana görkem kazandırdılar.
11 Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
Arvat'tan, Helek'ten gelen adamlar Çepeçevre duvarlarını korudular. Gammat'tan gelen adamlar Kulelerinde beklediler. Kalkanlarını duvarlarına astılar. Güzelliğini doruğa ulaştırdılar.
12 Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
“‘Tarşiş seninle ticaret yaptı, Sende her çeşit mal vardı. Mallarına karşılık Sana gümüş, demir, kalay, kurşun verdiler.
13 Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
Yâvan, Tuval, Meşek seninle ticaret yaptı, Mallarına karşılık Sana köle ve tunç kaplar verdiler.
14 Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
Beyttogarma halkı Mallarına karşılık Sana at, savaş atı, katır verdi.
15 Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
Rodos halkı seninle ticaret yaptı. Birçok kıyı halkı senin müşterindi. Senden aldıkları mala karşılık Fildişi ve abanoz verdiler.
16 Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
Sende çok çeşit ürün olduğundan, Edom seninle ticaret yaptı. Mallarına karşılık Sana firuze, mor kumaş, işlemeli giysiler, İnce keten, mercan, yakut verdiler.
17 Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
Yahuda ve İsrail seninle ticaret yaptı. Mallarına karşılık Sana Minnit buğdayı, darı, bal, zeytinyağı, pelesenk verdiler.
18 Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
Ürünlerinin çeşitliliği, malının bolluğundan ötürü Şam seninle ticaret yaptı. Mallarına karşılık Sana Helbon şarabıyla Sahar yünü, Uzal'dan getirilmiş şarap tekneleri verdi. Sana getirilen mallar arasında İşlenmiş demir, tarçın, güzel kokulu kamış vardı.
19 Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
20 Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
Dedan halkı mallarına karşılık Sana eyerlik kumaş verdi.
21 Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
Arabistan ve Kedar önderleri müşterindi, Mallarına karşılık Sana kuzu, koç, teke verdiler.
22 Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
Saba ve Raama tüccarları seninle ticaret yaptı, Mallarına karşılık Sana her çeşit baharatın en iyisini, değerli taşlar, altın verdiler.
23 Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
Harran, Kanne, Eden, Saba, Aşur, Kilmat tüccarları Seninle ticaret yaptı.
24 Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
Pazarlarındaki mallara karşılık Güzel giysiler, lacivert kumaş, işlemeler, Sık dokunmuş, iplerle sarılmış renkli halılar verdiler.
25 Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
Ticaret gemileri senin mallarını taşıdı, Denizin bağrında büyük yükle doldun.
26 Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
Kürekçilerin seni açık denizlere götürdü, Ama doğu rüzgarı Denizin bağrında parçaladı seni.
27 Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
Gemin kazaya uğrayacağı gün, Zenginliğin, malların, ticari eşyaların, Gemicilerin, kılavuzların, kalafatçıların, Seninle ticaret yapanlar, Askerlerin ve gemide olan herkes Denizin derinliklerine batacak.
28 Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
Gemicilerinin bağırışından Kıyılar titreyecek.
29 Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
Kürekçiler gemilerini bırakacak, Gemicilerle kılavuzlar kıyıda duracak.
30 Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
Yüksek sesle haykırıp Senin için acı acı ağlayacaklar; Başlarına toprak serpecek, Külde yuvarlanacaklar.
31 Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
Senin yüzünden başlarını tıraş edecek, Çul kuşanacaklar. Senin için acı acı ağlayacak, Yas tutacaklar.
32 Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
Ağlayıp yas tutarken, Senin için bir ağıt yakacaklar: Her yanı denizle çevrili Sur Kenti gibi Susturulmuş bir kent var mı?
33 Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
Malların denizaşırı ülkelere vardığında Birçok ulusu doyurdun, Büyük zenginliğin, çeşit çeşit malınla Dünya krallarını zenginleştirdin.
34 Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
Şimdiyse denizde, suların derinliklerinde Darmadağın oldun, Malların ve çalışanlarının tümü Seninle birlikte battı.
35 Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
Kıyı halkları Başına gelenlere şaştılar; Krallarının tüyleri korkudan diken diken oldu, Yüzleri sarardı.
36 Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”
Ulusların arasındaki tüccarlar, Başına gelenlere şaşacaklar; Sonun korkunç oldu. Bir daha var olmayacaksın.’”