< Ezekieli 27 >

1 Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
And the word of Yahweh came unto me, saying:
2 “Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
Thou, therefore, son of man, Take up over Tyre a dirge;
3 na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
And thou shalt say unto Tyre, O thou that dwellest by the entrances of the sea, Thou merchant of the peoples unto many shores, — Thus, saith My Lord, Yahweh, O Tyre, Thou saidst, I, am the perfection of beauty!
4 Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
In the heart of the seas, were thy bounds, —Thy builders perfected thy beauty:
5 Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
With fir-trees from Senir, but they for thee all the two-decked vessels, — Cedar from Lebanon, fetched they, to make masts for thee:
6 Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
With oaks from Bashan, made they thine oars, — Thy benches, made they of ivory, inlaid with boxwood, From the shores of the West:
7 Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
Of fine linen with embroidered work from Egypt, was thy sail, To serve thee for ensign, — Blue and purple from the shores of Aeolis became thine awning:
8 Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
the inhabitants of Zidon and Arvad, Became rowers for thee, — Thine own skilled men O Tyre, were within thee, They were thy sailors:
9 Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
the elders of Byblus and the skilled men thereof, were within thee, Thy calkers, — All the ships of the sea and their mariners, were within thee, To carry on thy traffic,
10 Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
They of Persia and Lud and Phut were in thine army, Thy men of war, — Shield and helmet, hung they up within thee, They set forth thy splendour:
11 Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
The sons of Arvad: with thine army, were upon thy walls round about, And valorous in thy towers, — Their shields, hung they up on thy walls round about, They perfected thy beauty:
12 Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
Tarshish was a trader of thine. For the abundance of all wealth, — With silver iron. tin and lead, Took they part in thy traffic:
13 Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
Javan. Tubal and Meshech, They were merchants of thine, — With the persons of men and vessels of bronze, Shared they in thy barter:
14 Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
Some of the house of Togarmah, with horses and horsemen and mules, Took part in thy traffic:
15 Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
the sons of Dedan were merchants of thine, Many, isles, took the merchandise of thy hand, —Horns of ivory and ebony, gave they back to thee in exchange:
16 Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
Syria, was a trader of thine For the abundance of thy manufactures, - With carbuncle and purple and embroidery and fine linen and coral and rubies, Took they part in thy traffic:
17 Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
Judah and the land of Israel, They, were merchants of thine, — With the wheat of Minnith and the sweets of pannag and honey and oil and balsam, Shared they in thy barter:
18 Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
Damascus was a trader of thine For the multitude of thy manufactures For the multitude of all wealth, - With the wine of Helbon and white wool:
19 Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
Wedan and Javan, from Uzal, Brought into thy traffic, — Steel, cassia and calamus, Were, in thy merchandise:
20 Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
Dedan was a merchant of thine, - With spreading wraps for riding:
21 Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
Arabia and all the princes of Kedar, They, were traders at thy service, — With lambs and rams and he-goats, With these, were they traders of thine:
22 Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
The merchants of Sheba and Raamah, They were merchants of thine, — With the chief of all spices and with every kind of precious stone and gold, Took they part in thy traffic:
23 Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
Haran and Canneh and Eden, the merchants of Sheba, —Asshur. Chilmad, Were merchants of thine:
24 Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
Those were thy merchants for gorgeous garments, for wrappings of blue and embroidery, and for treasure-chests of variegated cloth, —for cords, twisted and strong, in thy market:
25 Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
the ships of Tarshish, were thy masts Carrying on thy barter, So wast thou filled and becamest very glorious In the heart of the seas.
26 Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
Into mighty waters, have they brought thee, the rowers—even thee, — the east wind, hath broken thee In the heart of the seas:
27 Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
Thy wealth and thy wares, thy merchandise thy mariners, and thy sailors, -thy calkers and the barterers of thy merchandise and all thy men of war who are in thee and in all thy gathered host which is in thy midst Shall fall into the heart of the seas, In the day of thy fall.
28 Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
At the sound of the outcry of thy pilots, the coasts shall quake:
29 Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
Then shall come down from their ships all that handle the oar, mariners, all the sailors of the sea— Upon the land, shall they take up their station;
30 Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
And make loud [lament] over thee, with their voice, And make biter outcry, - And shall lift up dust on their heads, In ashes, shall roll themselves;
31 Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
And shall make bald for thee a baldness And gird them with sackcloth, — And shall weep for thee in bitterness of soul A bitter lamentation;
32 Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
And shall take up for thee in their Wailing: a dirge, And shall chant over thee, - Who is like Tyre? Like the Sent One in the midst of the sea?
33 Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
By the going forth of thy commodities out of the seas, Thou didst satisfy many peoples, By the multitude of thy wares and of thy merchandise, Thou didst enrich the kings of the earth.
34 Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
Now, thou art wrecked out of the seas In the depths of waters, — Thy merchandise and all thy gathered host In thy midst, have fallen.
35 Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
All the dwellers in the coastlands, Are astounded over thee, - And their kings have been made to shudder a shuddering, To be troubled in countenance.
36 Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”
The traders among the peoples, have hissed over thee: A terror, hast thou become, And, art not, Unto times age-abiding.

< Ezekieli 27 >