< Ezekieli 27 >

1 Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
BAWIPA e lawk kai koe bout a pha teh,
2 “Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
tami capa, Taire khuinae kalung hah phueng haw.
3 na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
Taire koevah, oe nang talî teng e kho na sak nang, talî tengpam ram moi kapap dawk hno ouk ka yawt e, Bawipa Jehovah ni nang koevah hettelah lawk a dei, Oe nang Taire, meihawinae kuep hoi ka meihawi doeh na ti na ou.
4 Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
Na khori ni talî lungui vah a takhi katang doeh. Nang na kasakkung ni hoe na hawi sak poung doeh.
5 Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
Nang e thingpheknaw pueng teh Seir hmaica thing hoi sak teh, nange long rahim vah Lebanon thing kahawipoung e hah a la awh.
6 Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
Bashan lae kathennaw hoi long mawngnae a sak awh teh, Kittim tuilum hoi a la awh teh, kasaino hoi ratu thing hoi a sak awh.
7 Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
Izip ram dawk pathoup e loukloukkaang e hni a yap awh teh, Elisha tuilum koehoi a la awh e a van khu e hni, kamthim, paling hoi a sak.
8 Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
Nange long kamawngkung Zidon Aravadnaw doeh, Oe Taire nang long kamawngkung hah tami a lungkaangnaw doeh.
9 Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
Gebal kacue hoi kusatkathoum hah nange long kasakkungnaw doeh. Tuipui longnaw hoi, taminaw ni ahnimouh koe e pouknae ouk a hei awh.
10 Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
Nange Taran katukkung na ransahu Persia, Lydia, hoi Libianaw doeh. Bahling hoi sumluhuem hah a sin awh teh, nang na kapathoupkung lah a coung.
11 Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
Nange rapannaw dawkvah, na ransahu Arvadnaw hoi a kâcui awh, nange imrasang karingkung Gammadnaw ni bahlingnaw hah rapan petkâkalup lah a bang awh teh, nang na kapathoupkung lah ao awh.
12 Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
Hnopai moikapap na tawn dawkvah, Taire hah na hno yorankung doeh. na hnopai a ran e lahoi a kutnaw dawk a poe awh. Ngun, sum, samphei, konlawknaw hai,
13 Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
nange hno karankung Javan, Tubal, Mesheknaw teh nange hno yorankung doeh. Rahum hlaam hoi hnopai na tawn nahanelah, na ran pouh awh.
14 Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
Bethtogarmah koehoi marang tarantuknae hoi la hoi na hnopai hah a yoran awh.
15 Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
Nange na hno karankung teh Dedannaw doeh. Talî rai e hmuen tangkuem koe na hno yonae hmuen lah ao. Kasaino hoi Eboni nang koe a yonae hmuen lah ao.
16 Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
Hnopai moikapap na tawn awh dawkvah, Edom teh nang koe kâkuen e lah ao. Emerald talung aphu kaawm e hni paling pathoup e hni, loukloukkaang e, dingyin, âthi talung a yoran awh.
17 Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
Judah hoi Isarel hai nangmouh hoi na yoran awh teh, minnith cai hoi pannang, khotui hoi satui hoi thingtapi hoi a yoran awh.
18 Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
Hnopai moikapap a tawn kecu dawkvah, Damaskas hah nang koe yorankung lah ao. Helbon misurtui hoi tumuen hoi a kâthung awh.
19 Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
Uzal misurtui hah a sin awh teh, na hnopainaw hah a ran awh. Loukloukkaang e sum, nakzik hoi kacing hai a yoran awh e lah ao.
20 Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
Dedan kho teh, marang ka kâcui e ransanaw ni a hno hane kahawipoung e hnopai nang koe a yo awh.
21 Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
Arabia hoi Kebar siangpahrang hah nama koe a yoran lahoi a yo awh. Tuca hoi tutan, hmaetannaw hoi a yoran awh.
22 Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
Sheba hoi Raamah hno kayawtnaw doeh. Hmuitui, kahawipoung e naw hoi talung aphu kaawm e phunkuep hoi sui hoi a yoran awh.
23 Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
Haran, Kanneth, Eden, Sheba hno kayawtkungnaw doeh. Assiria hoi Kilmad hno kayawtkung hah nang koe yorannae kasaknaw doeh.
24 Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
Hotnaw niteh, kahawi e hnicu, hninaw hoi pathoup e hni, a em kaawm e hniphai hoi, ka khawpounge tangron vei e, ka khawpounge lah na hno kuemnae dawkvah a hruek awh.
25 Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
Tarshish long hah na hnopai kaphawtkung doeh. Moikapap na pâkhueng teh, talî dawkvah bawilennae hah na hmu.
26 Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
Nange long kamawngkung ni, talî tuicapa dawk a kâenkhai teh, Kanîtholae kahlî ni talî lungui vah kahmat lah a palek.
27 Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
Nang teh na rak hnin vah, na hnopainaw hoi hno na yonae naw hoi, na long dawk e taminaw long kamawngkung hoi, taminaw hoi kasakkung hno kayawtnaw hoi a ransanaw, nang koe kaawm e hoi a thung kaawm e pueng hoi, talî lungui be na bo awh han.
28 Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
Nange long kamawngnaw a hramnae pawlawk dawkvah, nang koe kaawm e hah a pâyaw awh.
29 Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
Long mawngnae ka kuen e pueng hoi, long dawk e taminaw hoi, talî dawk lam ka patue e pueng hah, a kum awh teh, tuiteng vah a kangdue awh.
30 Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
Nange kong dawk ka thai lah, lawk kacaipounglah lungmathoe laihoi a ka awh han. A lû dawk vaiphu kâphuen awh laihoi, vaiphu dawk a kâkaawk awh han.
31 Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
A samnaw hai a ngaw awh vaiteh, burihni a kâkhu awh vaiteh, lung ka mathout poung lahoi nang hanelah puenghoi a khuika awh han.
32 Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
Talai a lungui karawk e, khopui Taire kho api kho hoi maw a kâvan.
33 Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
Nang e hnopai pueng teh, talî lam lahoi a ceikhai navah, taminaw a lungtang sak awh, moikapap e hno na hnopai lahoi siangpahrangnaw na bawi sak.
34 Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
Atu teh, nang teh talî dawk thoseh, na yo han e hnopainaw hai thoseh, tuicapa e lungui a kâkhoe teh nang koe kaawmnaw pueng be a rak awh.
35 Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
Tuilum e tami pueng teh, hote hno dawk a kângai a ru awh. Siangpahrangnaw teh, a minhmai a paling awh teh, a pawngmuen rueng a thaw awh.
36 Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”
Alouklouke hno kayawtnaw ni nang na pacekpahleknae lawk a dei awh. Nang teh taki na tho poung toe, bout na kamphawng mahoeh toe, telah na khui na ka khai awh han, telah a ti.

< Ezekieli 27 >