< Ezekieli 27 >
1 Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
2 “Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
Nang hlang capa Tyre ham rhahlung phueih pah laeh.
3 na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
Tyre te thui pah. Tuipuei khotlak kah khosa, khosa neh sanglak tom kah pilnam thenpom rhoek aw, ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Tyre nang loh, “Kai tah sakthen boeih ni,” na ti.
4 Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
Tuipuei tuilung kah na thoh na khorhi loh na sakthen a soep sak.
5 Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
Namah ham te Senir lamkah hmaical neh na sak tih, na cungkui la saii ham te Lebanon lamkah lamphai thingphael ni boeih a loh uh.
6 Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
Bashan lamkah thingnu na lawngkaih la a saii uh tih, na longlaeng khaw Kittim sanglak lamkah ta-aw vueino ni a. saii uh.
7 Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
Egypt lamkah rhaekva neh hnitang na hniyan la om. Hni thim te nang ham rholik la om tih Elishah sanglak lamkah daidi te na dakda la om.
8 Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
Sidon neh Arvad khosa rhoek te nang aka tinghil puei la om uh. Tyre nang kah hlangcueih rhoek te nang soah na sangphoboei la om uh.
9 Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
Gebal patong neh a hlangcueih khaw nang sokah na puut aka bing la om uh. Tuipuei sangpho boeih neh a sangphobibi rhoek khaw na thenpomhno dongah rhikhang ham nang taengah om uh.
10 Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
Persia, Lud neh Put na caem la om uh. Na caemtloek hlang rhoek loh nang dongah photling neh lumuek a bang uh tih na rhuepomnah te a paek uh.
11 Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
Arvad neh Helekh hlang rhoek loh na kaepvai kah na vongtung dongah, na rhaltoengim khuiah aka om Gammadim loh a photling te na vongtung dongah a bang uh tih a kaepvai ah na sakthen neh a soep sak.
12 Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
Boeirhaeng boeih neh cak khaw, thi khaw samphae neh kawnlawk khaw na kum dongah Tarshish loh nang taengah thenpom tih na kawn te a thung uh.
13 Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
Javan, Tubal neh Meshek loh nang taengah hlang kah hinglu neh thenpom uh tih na thenpomhno te rhohum hnopai neh a thung uh.
14 Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
Togarmah imkhui lamkah marhang neh marhang caem khaw, muli-marhang khaw na kawn neh a thung uh.
15 Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
Dedan hlang rhoek khaw nang taengah thenpom uh. Na kut dongkah hnoyoih neh sanglak tom loh maeh ki vueino khaw, rhining thing khaw na kutdoe la ham mael uh.
16 Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
Na bibi khaw a cung dongah Aram khaw nang taengah thenpom tih khocillung neh daidi khaw, rhaekva neh baibok khaw, maerhuhlung neh aithilung khaw na kawn neh a thung uh.
17 Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
Judah neh Israel khohmuen khaw nang taengah thenpom uh tih, Minnith cang neh cangtha khaw, khoitui neh situi, thingpi khaw na thenpomhno neh a thung uh.
18 Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
Na kutngo khaw cung tih Helbon misurtui neh tumul a bok dongkah boeirhaeng boeih khaw a khawk dongah Damasku khaw nang taengah thenpom coeng.
19 Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
Vedan neh Uzal lamkah Javan loh thi met te na kawn la han khuen uh tih valaeng neh singkaek khaw na thenpomhno la a om sak.
20 Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
Dedan loh leng dongkah baidok himbai neh nang taengah thenpom coeng.
21 Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
Arabia neh amih Kedar khoboei boeih loh na kut dongah thenpom uh. A khuiah tuca neh tutal neh kikong neh nang taengah thenpom uh.
22 Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
Aka thenpom Sheba neh Raamah khaw nang taengah thenpom uh. Thenkoek botui boeih neh lung vang boeih khaw sui khaw na kawn la m'paek uh.
23 Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
Haran neh Kanneh neh Eden kah aka thenpom Sheba, Assyria neh Kilmad khaw na thenpom.
24 Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
Amih loh nang himbai then neh, hni-awn a thim, rhaekva neh, pangcik hniphaih rhuihet a hlin neh na hnoyoihhmuen ah a kuehluek la n'thenpom uh.
25 Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
Tarshish sangpho nang na thenpomhno yiin vaengah na khawk coeng tih tuipuei tuilung ah muep n'thangpom.
26 Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
Nang aka kaih loh nang te tui len khuila m'pawk puei dae khothoeng yilh loh tuipuei tuilung ah nang n'rhek sak.
27 Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
Na boeirhaeng neh na kawn khaw, na thenpomhno, na sangphobibi neh na sangphoboei khaw, na puut aka bing neh na thenpomhno rhi aka khang khaw, namah khuikah na caemtloek hlang boeih khaw, na laklung kah na hlangping boeih khaw na cungkunah khohnin ah tah tuipuei tuilung ah cungku uh ni.
28 Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
Na sangphoboei kah pang ol ah na khocaak rhoek khaw hinghuen uh ni.
29 Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
Lawngkaih aka pom sangphobibi boeih khaw a sangpho lamloh suntla uh vetih tuipuei sangphoboei boeih khaw lan ah pai uh ni.
30 Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
Nang te a ol neh n'yaak sak uh vetih bungbung pang ni. Laipi a lu soah a phul vetih hmaiphu dongah bol uh ni.
31 Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
Nang kongah lungawng la kuet uh vetih tlamhni a yil uh ni. Hinglu kah khahing loh khahing rhaengsaelung neh nang soah rhap uh ni.
32 Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
Nang soah amih kah rhahlung rhaengsaenah a phueih uh vetih nang te, 'Tyre bang neh tuipuei tuilung ah aka rhawp bang he unim?' tila rhaengsae uh ni.
33 Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
Na kawn te tuipuei lamloh na khuen tih pilnam khaw muep na cung sak. Na boeirhaeng kah cangpai, na thenpomhno neh diklai manghai na boei sak.
34 Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
Tuipuei loh na thenpomhno neh tui dung ah n'khah coeng tih na khui kah na hlangping khaw boeih cungku uh.
35 Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
Sanglak kah khosa boeih nang soah hal uh tih a manghai rhoek khaw hlithae kah a yawn bangla maelhmai tal uh.
36 Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”
Mueirhih la na om dongah pilnam taengkah aka thenpom nang te n'hlip thil tih kumhal duela na phoe voel mahpawh,” a ti.