< Ezekieli 24 >
1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
Un Tā Kunga vārds notika uz mani devītā gadā, desmitā mēnesī, desmitā mēneša dienā, sacīdams:
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
Cilvēka bērns, uzraksti sev šīs dienas, šīs pašas dienas vārdu: Bābeles ķēniņš šai dienā ir apmeties pret Jeruzālemi.
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
Saki līdzību pret to atkāpēju sugu un saki uz tiem: tā saka Tas Kungs Dievs: cel podu pie uguns, cel to klāt, ielej arīdzan ūdeni iekšā.
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
Saliec tos gabalus tur iekšā, visus labos gabalus, cisku un pleci, pildi to ar tiem visulabākiem kauliem.
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
Ņem no visulabākām avīm un iekuri arī uguni apakš tiem kauliem, lai labi vārās, un kauli, kas iekšā, lai labi izvārās.
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
Tādēļ tā saka Tas Kungs Dievs: Ak vai tai asins pilsētai, tam podam, kas sarūsējis un kam rūsa negrib noiet. Gabalu pēc gabala ņem ārā, meslus par to nemet.
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
Jo viņas asinis ir viņas vidū, viņa tās ir izlējusi uz kailas klints un tās nav izgāzusi zemē, ka pīšļi tās apklātu.
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
Sūtīt bardzību un parādīt atriebšanu, Es viņas asinis esmu licis izliet uz kailas klints, ka netop apklātas.
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
Tādēļ tā saka Tas Kungs Dievs: Ak vai, tai asins pilsētai! Arī es kurināšu uguni lielu.
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
Pienesi daudz malkas, iededzini uguni, savāri gaļu, un zāļo to ar zālēm, un lai tie kauli savārās.
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
Pēc tam cel viņu tukšu uz oglēm, lai tas top karsts un lai viņa varš nodeg sarkans un viņa netīrums, kas tur iekšā, izkūst, un viņa rūsa top izdeldēta.
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
Viņš dara lielu pūliņu, un viņa rūsa negrib noiet, viņa rūsa pastāv ugunī
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
Tavas negantās nešķīstības dēļ; tādēļ ka Es tevi esmu šķīstījis, un tu neesi palikusi šķīsta, tad tu no savas nešķīstības vairs netapsi šķīsta, kamēr Es Savu bardzību pie tevis bušu izdarījis.
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Es Tas Kungs to esmu runājis, tā būs, un to Es darīšu, Es no tā neatstāšos un nesaudzēšu un neapželošos; pēc taviem ceļiem un pēc taviem darbiem tevi sodīs, saka Tas Kungs Dievs.
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Un Tā Kunga vārds notika uz mani sacīdams:
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
Cilvēka bērns, redzi, Es atņemšu tavu acu jaukumu caur vienu sitienu; tomēr tev nebūs žēloties nedz raudāt nedz asaras izliet.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
Nopūties klusiņām, necel raudas par mirušiem. Bet uzsien savu cepuri un apvelc savas kurpes kājās, neaptin savu muti, tev arī nebūs ēst raudu maizi.
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
Tā es runāju uz tiem ļaudīm no rīta, un vakarā mana sieva nomira. Un es darīju no rīta, kā man bija pavēlēts.
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
Tad tie ļaudis uz mani sacīja: vai tu negribi mums stāstīt, kādēļ mums šīs lietas rāda, ka tu tā dari?
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Un es uz tiem sacīju: Tā Kunga vārds uz mani noticis sacīdams:
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Saki Israēla namam: tā saka Tas Kungs Dievs: redzi, Es sagānīšu Savu svēto vietu, jūsu lepno stiprumu, jūsu acu jaukumu un jūsu dvēseļu mīlību, un jūsu dēli un jūsu meitas, ko jūs esat atstājuši, kritīs caur zobenu.
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
Tad jūs darīsiet, kā Es esmu darījis, muti jūs neaptīsiet un raudu maizi neēdīsiet.
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
Un jūsu cepures būs uz jūsu galvām un jūsu kurpes jūsu kājās. Jūs nežēlosities nedz raudāsiet, bet iznīksiet savos noziegumos, un vaidēsiet cits pret citu.
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
Tā Ecehiēls jums būs par zīmi; itin kā viņš darījis, tā jūs darīsiet; kad tas notiks, tad jūs samanīsiet, ka Es esmu Tas Kungs Dievs.
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
Un tu, cilvēka bērns, vai tas nebūs tai dienā, kad Es no tiem atņemšu viņu drošumu, viņu slavu un prieku, viņu acu jaukumu un viņu dvēseles mīlību, viņu dēlus un viņu meitas,
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
Tai dienā nāks pie tevis viens, kas izglābies un to tavām ausīm stāstīs.
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
Tai dienā tava mute atvērsies kā arī tam izglābtam, un tu runāsi un nebūsi vairs mēms. Tā tu būsi par brīnuma zīmi un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs.