< Ezekieli 24 >

1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
Or la parole du Seigneur me fut adressée en la neuvième année, au dixième mois, au dixième jour du mois, disant:
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
Fils d’un homme, écris pour toi le nom de ce jour, auquel le roi de Babylone s’est fortifié contre Jérusalem, le jour d’aujourd’hui.
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
Et tu proposeras en figure à la maison provocatrice une parabole, et tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Mets une marmite sur le feu; mets-la, dis-je, et verse de l’eau dedans.
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
Rassembles-y des morceaux de viande, toutes les bonnes parties, la cuisse et l’épaule, les endroits choisis et pleins d’os.
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
Prends la bête la plus grasse, fais aussi au-dessous une pile de ses os; elle a bouilli à gros bouillons, et ses os ont cuit entièrement au milieu de la marmite.
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
À cause de cela, voici ce que dit le Seigneur Dieu: Malheur à la cité de sang, à la marmite rouillée et dont la rouille ne s’est pas détachée; jettes-en toutes les pièces de viande les unes après les autres; on n’a pas jeté le sort sur elle.
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
Car son sang est au milieu d’elle; c’est sur une pierre très lisse qu’elle l’a répandu: elle ne l’a pas répandu sur la terre, parce qu’il aurait pu être couvert par la poussière.
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
Afin donc d’amener une indignation sur elle, et de tirer une vengeance complète, j’ai répandu son sang sur une pierre très lisse, pour qu’il ne fût pas couvert.
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
À cause de cela, voici ce que dit le Seigneur Dieu: Malheur à la cité de sang, dont je ferai moi-même un grand bûcher.
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
Entasse les os que je brûlerai par le feu; toutes les chairs seront consumées, et tout ce qui compose la marmite sera cuit, et les os se fondront.
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
Mets-la aussi vide sur des charbons ardents, afin qu’elle s’échauffe et que son airain se liquéfie, que son ordure se fonde au milieu d’elle, et que sa rouille se consume.
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
On a sué avec beaucoup de peine pour la nettoyer, mais sa rouille considérable n’a pas été enlevée même par le feu.
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
Ton impureté est exécrable; parce que j’ai voulu te purifier, et tu n’as pas été purifiée de tes ordures; aussi tu ne seras pas purifiée avant que je fasse reposer mon indignation sur toi.
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Moi le Seigneur j’ai parlé: Le temps viendra et j’agirai; je ne passerai pas outre, et je n’épargnerai pas, et je ne m’apaiserai pas, mais selon Les voies et selon tes inventions je te jugerai, dit le Seigneur.
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
Fils d’un homme, voici que moi je t’enlève ce qui est désirable à tes yeux, en le frappant d’une plaie, et tu ne te lamenteras pas, et tes larmes ne couleront pas.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
Gémis en silence, tu ne feras pas le deuil des morts: que ta couronne soit liée sur ta tête, et ta chaussure sera à tes pieds, et tu ne couvriras pas d’un voile ton visage, et tu ne mangeras pas les mets de ceux qui sont dans le deuil.
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
Je parlai donc au peuple le matin, et ma femme mourut le soir; et je fis le matin comme Dieu m’avait ordonné.
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
Et le peuple me dit; Pourquoi ne nous indiquez-vous pas ce que signifie ce que vous faites?
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et je leur répondis: La parole du Seigneur m’a été adressée, disant:
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Dis à la maison d’Israël: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que moi je souillerai mon sanctuaire, l’orgueil de votre empire, et le désir de vos yeux, et l’objet de la frayeur de votre âme; vos fils et vos filles que vous avez laissés tomberont sous le glaive.
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
Et vous ferez comme j’ai fait: vous ne couvrirez pas d’un voile votre visage, et vous ne mangerez pas les mets de ceux qui sont dans le deuil.
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
Vous aurez des couronnes sur vos têtes, et une chaussure à vos pieds; vous ne vous lamenterez pas et vous ne pleurerez pas; mais vous sécherez dans vos iniquités, et chacun gémira sur son frère.
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
Et Ezéchiel sera pour vous un signe; selon tout ce que j’ai fait, vous ferez, lorsque sera venu le temps; et vous saurez que je suis le Seigneur Dieu.
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
Et loi, fils d’un homme, voici qu’au jour où je leur ôterai leur force, et la gloire de leur dignité, et le désir de leurs yeux, et ce sur quoi se reposent leurs âmes, leurs fils et leurs filles;
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
En ce jour-là viendra un fuyard vers toi, pour te donner des nouvelles;
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
En ce jour-là, dis-je, ta bouche s’ouvrira avec celui qui a fui; et tu lui parleras, et tu ne demeureras plus dans le silence; tu seras pour eux un signe; et vous saurez que je suis le Seigneur.

< Ezekieli 24 >