< Ezekieli 24 >

1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
Moreover, the word of Jehovah came to me in the ninth year, in the tenth month, in the tenth day of the month, and said:
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
Son of man, write the name of the day, even of this same day. The king of Babylon draweth near to Jerusalem this same day.
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
Utter a parable to the rebellious house, and say to them, Thus saith the Lord Jehovah: Set on a caldron, set it on, and also pour water into it.
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
Gather the pieces thereof into it, even every good piece, the thigh and the shoulder; fill it with the choice bones.
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
Take the choice of the flock, and make under it a pile for the bones, and make it boil well, that the bones therein may be seethed.
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
Wherefore thus saith the Lord Jehovah: Woe to the city of blood, to the caldron in which is rust, and whose rust goeth not out of it! bring it out piece by piece; let no lot fall upon it.
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
For blood is in the midst of her; upon the bare rock hath she shed it; she poured it not upon the ground, that it might be covered with dust.
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
To cause fury and to take vengeance, I have set the blood shed by her upon the bare rock, that it might not be covered.
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
Therefore thus saith the Lord Jehovah: Woe to the city of blood! Now will I make the pile for fire great.
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
Heap on wood, kindle the fire, cook the flesh, put in spices, and let the bones be burned.
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
Then set it empty upon the coals, that its brass may be hot and may burn, and that its impurity may be dissolved in it, and its rust be consumed.
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
It hath wearied me with labors, yet its thick rust goeth not from it; its rust remaineth in the midst of the fire.
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
In thy filthiness is gross wickedness, because, when I would have cleansed thee, thou wouldst not be cleansed. Thou shalt not be cleansed from thy filthiness any more, till I have quieted my fury toward thee.
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
I, Jehovah, have spoken it; it shall come to pass, and I will do it. I will not go back, neither will I spare, neither will I repent. According to thy ways and according to thy doings shall they judge thee, saith the Lord Jehovah.
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Also the word of Jehovah came to me, saying:
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
Son of man, behold, I take away from thee the desire of thine eyes with one blow; yet thou shalt not mourn, nor weep, nor shall thy tears run down.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
Sigh thou in silence, make no mourning for the dead; bind thy head-dress upon thee, and thy shoes on thy feet; cover not thy lips, and eat not the bread of wretched men.
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
So I spake to the people in the morning, and my wife died in the evening; and I did in the morning as I was commanded.
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
And the people said to me, Wilt thou not tell us what those things which thou doest denote to us?
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Then I answered them: The word of Jehovah came to me and said:
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Say to the house of Israel, Thus saith the Lord Jehovah: Behold, I will profane my sanctuary, the pride of your confidence, the desire of your eyes, and the longing of your souls; and your sons and daughters that are left to you shall fall by the sword.
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
And ye shall do as I have done; ye shall not cover your mouths, nor eat the bread of wretched men;
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
and your head-dresses shall be upon your heads, and your shoes upon your feet; ye shall not mourn nor weep; but ye shall pine away for your iniquities, and moan one to another.
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
Thus Ezekiel shall be to you a sign; according to all that he hath done shall ye do, when this cometh; and ye shall know that I am the Lord Jehovah.
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
And thou, son of man, behold, in the day when I take from them their strength, the joy of their glory, the desire of their eyes, and the longing of their souls, their sons and their daughters, in that day shall one
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
that is escaped come to thee, to cause thee to hear it with thine ears.
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
In that day shall thy mouth be opened to him that is escaped, and thou shalt speak, and be no more dumb; and thou shalt be a sign to them, and they shall know that I am Jehovah.

< Ezekieli 24 >