< Ezekieli 23 >
1 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, Kulikuwa na wanawake wawili, binti za mama mmoja.
son: child man two woman daughter mother one to be
3 Walifanya ukahaba katika Misri katika kipindi cha ujana wao. Walitenda kama makahaba huko. Maziwa yao yalikuwa yamebana na ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko.
and to fornicate in/on/with Egypt in/on/with youth their to fornicate there [to] to bruise breast their and there to press breast virginity their
4 Majina yao yalikuwa Ohola-dada mkubwa-na Oholiba-dada yake mdogo. Kisha wakawa wangu na kuzaa wana na binti. Majina yao yalikuwa yakimaanasha hivi: Ohola maana yake Samaria, na Oholiba maana yake Yerusalemu.
and name their Oholah [the] great: old and Oholibah sister her and to be to/for me and to beget son: child and daughter and name their Samaria Oholah and Jerusalem Oholibah
5 Lakini Ohola alifanya kama kahaba hata alipokuwa wangu; aliwatamani wapenzi wake, kwa kuwa Waashuri na nguvu,
and to fornicate Oholah underneath: under me and to lust upon to love: lover her to(wards) Assyria near
6 liwali aliyekuwa amevaa urijuana, na kwa ajili ya maafisa wake, waliokuwa hodari na wanaume wa kuvutia, wote walikuwa waendesha farasi.
to clothe blue governor and ruler youth delight all their horseman to ride horse
7 Hivyo akajitoa yeye mwenyewe kama kahaba kwao, kwa watu bora wa Ashuru, na alijitia mwenyewe uchafu pamoja na kila mmoja aliyekuwa amemtamani-pamoja na sanamu zake zote.
and to give: give fornication her upon them best son: descendant/people Assyria all their and in/on/with all which to lust in/on/with all idol their to defile
8 Kwa kuwa hakuacha tabia zake za kihaba nyuma katika Misri, wakati walipolala naye wakati alipokuwa msichana mdogo, wakati walipoanza kwanza kupapasa ubikira wa maziwa yake, wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi wao juu yake.
and [obj] fornication her from Egypt not to leave: forsake for [obj] her to lie down: have sex in/on/with youth her and they(masc.) to press breast virginity her and to pour: pour fornication their upon her
9 Kwa hiyo nilimtia kwenye mkono wa wapenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru kwa kuwa aliwatamani.
to/for so to give: give her in/on/with hand: power to love: lover her in/on/with hand: power son: descendant/people Assyria which to lust upon them
10 Wakamfunua uchi wake. Wakawachukua wana wake na binti, na wakamuua kwa upanga, na akawa aibu kwa wanawake wengine, hivyo wakapitisha hukumu juu yake.
they(masc.) to reveal: uncover nakedness her son: child her and daughter her to take: take and [obj] her in/on/with sword to kill and to be name to/for woman and judgment to make: do in/on/with her
11 Dada yake Oholiba akaliona hili, lakini aliyatamani zaidi na kufanya kama kahaba hata zaidi kuliko dada yake.
and to see: see sister her Oholibah and to ruin lust her from her and [obj] fornication her from fornication sister her
12 Aliwatamanai Waashuru, mabosi na watawala waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi. Wote walikuwa hodari, wote vijana wa kuvutia.
to(wards) son: descendant/people Assyria to lust governor and ruler near to clothe perfection horseman to ride horse youth delight all their
13 Nikaona kwamba alikuwa amefanya uchafu mwenyewe. Ilikuwa kama kwa wadada wote.
and to see: see for to defile way: conduct one to/for two their
14 Kisha akaongeza ukahaba wake tena zaidi. Aliona watu waume waliokuwa wamechorwa juu ya kuta, michoro ya Wakaldayo iliyochorwa kwa rangi nyekundu,
and to add: again to(wards) fornication her and to see: see human to engrave upon [the] wall image (Chaldea *Q(k)*) to decree in/on/with vermilion
15 waliovaa mikanda kuzunguka viuno vyao, na vilemba virefu juu ya vichwa vyao. Wote walikuwa na mwonekano wa maafisa wa jeshi la waendesha farasi, mfano wa wana wa Wababeli, ambao asili ya nchi ni Ukaldayo.
belted girdle in/on/with loin their to overrun turban in/on/with head their appearance officer all their likeness son: descendant/people Babylon Chaldea land: country/planet relatives their
16 Na mara macho yake yalipowaona, aliwatamani, hivyo akawatuma wajumbe wake kwao katika Ukaldayo.
(and to lust [emph?] *Q(K)*) upon them to/for appearance eye her and to send: depart messenger to(wards) them Chaldea [to]
17 Kisha Wababeli wakaja katika kitanda chake cha tamaa, na walimfanya unajisi kwa uzinzi wao. Kwa kile alichokuwa amekifanya alifanya unajisi, basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha.
and to come (in): come to(wards) her son: descendant/people Babylon to/for bed beloved: love and to defile [obj] her in/on/with fornication their and to defile in/on/with them and to dislocate/hang soul: myself her from them
18 Alionyesha matendo yake ya ukahaba na alionyesha uchi wake, hivyo roho yangu ikagauka kutoka kwake, kama roho yangu ilivyogeuka kutoka kwa dada yake.
and to reveal: uncover fornication her and to reveal: uncover [obj] nakedness her and to dislocate/hang soul: myself my from upon her like/as as which be alienated soul: myself my from upon sister her
19 Kisha alifanya matendo mengi zaidi ya ukahaba, akakumbuka na kutafakari siku za ujana wake, wakati alipotenda kama kahaba katika nchi ya Misri.
and to multiply [obj] fornication her to/for to remember [obj] day youth her which to fornicate in/on/with land: country/planet Egypt
20 Basi akawatamani wapenzi wake, ambao sehemu zao za siri zilikuwa kama zile za punda, na kile kizaliwacho hutoka kilikuwa kama wale farasi.
and to lust [emph?] upon concubine their which flesh donkey flesh their and discharge horse discharge their
21 Hivi ndivyo ulivyofanya matendo ya aibu ya ujana wako, wakati Wamisri walipopapasa chuchu zako kuyaminya maziwa ya ujana wako.
and to reckon: visit [obj] wickedness youth your in/on/with to press from Egypt breast your because breast youth your
22 Kwa hiyo, Oholiba, Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitawarudisha wapenzi wako dhidi yako. Wale ambao uliowarudisha, nitawaleta juu yako kutoka kila upande.
to/for so Oholibah thus to say Lord YHWH/God look! I to rouse [obj] to love: lover you upon you [obj] which be alienated soul: myself your from them and to come (in): bring them upon you from around: side
23 Wababeli na Wakaldayo wote, Pekodi, Shoa, na Koa, na Waashuru wote pamoja nao, hodari, vijana wa kutamanika, magavana na maamiri jeshi, wote ni maafisa na watu wote wenye sifa, wote wenye kuendesha farasi.
son: descendant/people Babylon and all Chaldea Pekod and Shoa and Koa all son: descendant/people Assyria with them youth delight governor and ruler all their officer and to call: call by to ride horse all their
24 Watakuja juu yako kwa silaha, na kwa magari ya farasi na mikokoteni, na kundi kubwa la watu. Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako pande zote. Nitawapatia nafasi kukuadhibu, na watakuadhibu kwa matendo yao.
and to come (in): come upon you weapon chariot and wheel and in/on/with assembly people shield and shield and helmet to set: make upon you around: side and to give: give to/for face: before their justice: judgement and to judge you in/on/with justice: judgement their
25 Kwa kuwa nitaweka hasira yangu ya wivu juu yako, na watashughulika na wewe kwa hasira. Watakukatilia mbali pua zako na masikio yako, na masalia yako wataanguka kwa upanga. Watawachukua wana wako na binti zako, na masalia yako watateketea kwa moto.
and to give: give jealousy my in/on/with you and to make: do with you in/on/with rage face: nose your and ear your to turn aside: remove and end your in/on/with sword to fall: kill they(masc.) son: child your and daughter your to take: take and end your to eat in/on/with fire
26 Watakuvua nguo zako na kuchukua mapambo yako ya vito.
and to strip you [obj] garment your and to take: take article/utensil beauty your
27 Hivyo nitaiondoa tabia yako ya aibu kutoka kwako na matendo yako ya kikahaba kutoka nchi ya Misri. Hutainua macho yako kuwaelekea kwa sahauku, na hutaikumbuka Misri tena.'
and to cease wickedness your from you and [obj] fornication your from land: country/planet Egypt and not to lift: look eye your to(wards) them and Egypt not to remember still
28 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitakutia katika mkono wa wale uwachukiao, kukurudisha kwenye mkono wa wale ambao uliokuwa umewarudisha.
for thus to say Lord YHWH/God look! I to give: give you in/on/with hand: power which to hate in/on/with hand: power which be alienated soul: myself your from them
29 Watashughulika pamoja nawe kwa chuki; watachukua milki zako zote na kukutelekeza uchi na kukuweka wazi. Uchi wa aibu ya ukahaba wako utafunuliwa, tabia yako ya aibu na uzinzi wako.
and to make: do with you in/on/with hating and to take: take all toil your and to leave: forsake you naked and nakedness and to reveal: uncover nakedness fornication your and wickedness your and fornication your
30 Haya mambo yatafanyika kwako kwa kuwa umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa kwazo umetiwa unajisi kwa sanamu zao.
to make: do these to/for you in/on/with to fornicate you after nation upon which to defile in/on/with idol their
31 Umetembea katika njia za dada yako, hivyo nitaweka kikombe chake cha adhabu kwenye mkono wako.'
in/on/with way: conduct sister your to go: went and to give: give cup her in/on/with hand your
32 Bwana Yahwe asema hivi, 'Utakinywea kikombe cha dada yako ambacho ni kirefu na kikubwa. Utakuwa dhihaka na kutawaliwa na dharau-hiki kikombe kimejaa kiasi kikubwa.
thus to say Lord YHWH/God cup sister your to drink [the] deep and [the] broad: wide to be to/for laughter and to/for derision much to/for to sustain
33 Utajazwa kwa ulevi na huzuni, kikombe cha ushangao na uharibifu; kikombe cha dada yako Samaria.
drunkenness and sorrow to fill cup horror: appalled and devastation cup sister your Samaria
34 Utakinywea na kubakia kitupu; kisha utakivunja vunja na kuyararua maziwa yako kuwa vipande vipande. Kwa kuwa nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
and to drink [obj] her and to drain and [obj] earthenware her to break bones and breast your to tear for I to speak: speak utterance Lord YHWH/God
35 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu umenisahau na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako, basi pia utachukua matokeo ya tabia zako za aibu na matendo ya uasherati.”'
to/for so thus to say Lord YHWH/God because to forget [obj] me and to throw [obj] me after the back your and also you(f. s.) to lift: bear wickedness your and [obj] fornication your
36 Yahwe akanambia, “Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba? Basi waambie matendo yao ya machukizo,
and to say LORD to(wards) me son: child man to judge [obj] Oholah and [obj] Oholibah and to tell to/for them [obj] abomination their
37 kwa kuwa wamefanya uzinzi, na kwa kuwa kuna damu juu ya vichwa vyao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, na wamewaweka hata wana wao kwenye moto, kama chakula cha sanamu zao.
for to commit adultery and blood in/on/with hand their and with idol their to commit adultery and also [obj] son: child their which to beget to/for me to pass to/for them to/for food
38 Kisha waliendelea kufanya hivi kwa ajili yangu: Wamepafanya patakatifu pangu unajisi, na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu.
still this to make: do to/for me to defile [obj] sanctuary my in/on/with day [the] he/she/it and [obj] Sabbath my to profane/begin: profane
39 Kwa kuwa walipokuwa wamewachinjia watoto wao kwa ajili ya sanamu zao, kisha wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi! Hivyo tazama! Hivi ndivyo walivyofanya kati ya nyumba yangu.
and in/on/with to slaughter they [obj] son: child their to/for idol their and to come (in): come to(wards) sanctuary my in/on/with day [the] he/she/it to/for to profane/begin: profane him and behold thus to make: do in/on/with midst house: home my
40 Mmewatuma watu kutoka mbali, ambao wajumbe waliwatuma-sasa tazama. Wakaja kweli, ambao uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito.
and also for to send: depart to/for human to come (in): come from distance which messenger to send: depart to(wards) them and behold to come (in): come to/for which to wash: wash to paint eye your and to adorn ornament
41 Huko ulikaa kwenye kitanda kizuri na kwenye meza iliyokuwa imepangwa mbele yake ulikuwa umeweka ubani na mafuta yangu.
and to dwell upon bed glorious and table to arrange to/for face: before her and incense my and oil my to set: put upon her
42 Hivyo sauti za watu zilikuwa zimemzunguka; pamoja na watu wa kila aina, hata walevi waliletwa kutoka jangwani, na wakawavalisha vikuku mikononi mwao na mataji mazuri juu ya vichwa vyao.
and voice: sound crowd at ease in/on/with her and to(wards) human from abundance man to come (in): bring (Sabeans *Q(K)*) from wilderness and to give: put bracelet to(wards) hand their and crown beauty upon head their
43 Kisha nikasema juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi, 'Sasa watazini pamoja naye, na yeye pamoja nao.'
and to say to/for old adultery (now to fornicate *Q(K)*) fornication her and he/she/it
44 Wakamwingilia na kulala naye kama watu wamwingiliavyo kahaba. Katika njia hii walilala Ohola na Oholiba, waliokuwa wanawake wazinzi.
and to come (in): come to(wards) her like/as to come (in): come to(wards) woman to fornicate so to come (in): come to(wards) Oholah and to(wards) Oholibah woman [the] wickedness
45 Lakini watu wenye haki watapitisha hukumu na kuwaadhibu kama wazinzi, na watawaadhibu kwa hukumu kwa wale wamwagao damu, kwa sababu wao ni wazinzi na damu iko mikononi mwao.
and human righteous they(masc.) to judge [obj] them justice: judgement to commit adultery and justice: judgement to pour: kill blood for to commit adultery they(fem.) and blood in/on/with hand their
46 Hivyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitainua kundi la watu juu yao na kuwatoa kuwa kitisho na kuteka nyara.
for thus to say Lord YHWH/God to ascend: attack upon them assembly and to give: make [obj] them to/for horror and to/for plunder
47 Kisha hilo kundi la watu litawapiga kwa mawe na kuwakatilia chini kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti na kuzichoma nyumba zao.
and to stone upon them stone assembly and to create [obj] them in/on/with sword their son: child their and daughter their to kill and house: home their in/on/with fire to burn
48 Kwa kuwa nitaondoa tabia ya aibu kutoka kwenye nchi na nidhamu wanawake wote hivyo hawatatenda kama makahaba.
and to cease wickedness from [the] land: country/planet and to discipline all [the] woman and not to make like/as wickedness your
49 Hivyo wataweka tabia yenu ya aibu juu yenu. Mtachukua hatia ya dhambi zenu pamoja na sanamu zenu, na kwa njia hii mtajua yakuwa mimi ni Bwana Yahwe.”
and to give: pay wickedness your upon you and sin idol your to lift: guilt and to know for I Lord YHWH/God