< Ezekieli 22 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
RAB bana şöyle seslendi:
2 “Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? Mfanye ajue machukizo yake yote.
“İnsanoğlu, Yeruşalim'i yargılayacak mısın? Kan döken bu kenti yargılayacak mısın? Öyleyse bütün iğrenç uygulamalarını ona bildir.
3 Utasema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Huu ndiyo mji umbao umwagao damu kati yake ili kwamba mda wake ufike; mji ufanyao sanamu ili ujitie unajisi.
Şöyle diyeceksin: ‘Egemen RAB diyor ki: Ey kendi içinde kan dökerek yıkımını hazırlayan, putlar yaparak kendini kirleten kent!
4 Umekuwa na hatia kwa damu uliyoimwaga, na kufanya unajisi kwa sanamu ulizozitengeneza. Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia siku zako za mwisho. Kwa hiyo nitakufanya lawama kwa mataifa na kejeli katika uso wa kila nchi.
Döktüğün kan yüzünden suçlu bulundun, yaptığın putlarla kirlendin. Böylece günlerin yaklaştı, yıllarının sonuna ulaştın. Bu yüzden seni uluslara alay konusu edeceğim, bütün ülkelerin gözünde seni gülünç duruma düşüreceğim.
5 Wote walio karibu na wale walio mbali nawe watakudhihaki, wewe mji mchafu, ujulikanao kila mahali kwa sifa mbaya kama kujaa machafuko.
Ey adı kötüye çıkmış, kargaşa dolu kent, yakındakiler de uzaktakiler de seninle alay edecekler.
6 Tazama! Wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa nguvu yake, wamekuja kwako kumwaga damu.
“‘İşte içindeki her İsrail önderi yetkisini kullanarak kan döküyor.
7 Wamefanya udanganyifu kwa baba na mama ndani yako, na wametenda yaliyo kinyume juu ya wageni kati yako. Wamewatenda vibaya yatima na wajane ndani mwako.
Senin içinde anneye, babaya kötü davrandılar, yabancıya baskı yaptılar, öksüze, dul kadına haksızlık ettiler.
8 Umevidharau vitu vyangu vitakatifu na kuinajisi Sabato yangu.
Benim kutsal eşyalarıma saygısızlık ettin, Şabat günlerimi hiçe saydın.
9 Watu wasingiziaji wamekuja kati yako ili kumwaga damu, na hula juu ya milima. Hufanya uovu kati yako.
Kan dökmek için iftira edenler, dağlarda putlara kurban edilen hayvanları yiyenler, kendilerini şehvete kaptıranlar senin içinde yaşıyor.
10 Uchi wa baba umefunuliwa ndani yako. Wamemtukana mwanamke mchafu ndani yako wakati wa uchafu wake.
Babalarının karılarıyla yatanlar, âdet gören dinsel açıdan kirli kadınlarla cinsel ilişki kuranlar senin içinde yaşıyor.
11 Watu waliofanya machukizo pamoja na wake za majirani zao, na watu wafanyao uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe; watu wawatukanao dada zao wenyewe-binti za baba zao wenyewe-haya yote yapo miongoni mwanu.
Senin içinde kimi komşusunun karısıyla iğrenç şeyler yaptı; kimi utanmadan gelinini kirletti; kimi öz kızkardeşiyle ilişki kurdu.
12 Hawa watu huchukua rushwa kati yenu ili kumwaga damu. Umechukua faida na kuongeza riba nyingi sana, na umenisahau-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Senin içinde kan dökmek için rüşvet aldılar. Faiz aldın, tefecilik yaptın, zorbalıkla komşularından haksız kazanç sağladın. Beni unuttun. Egemen RAB böyle diyor.
13 Tazama! Kwa mkono wangu nimeipiga faida ambayo uliyoitengeneza kwa njia isiyo halali, na damu iliyo kati yako.
“‘Edindiğiniz haksız kazançtan, içinizde döktüğünüz kandan ötürü ellerimi birbirine vuracağım.
14 Je! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? Mimi, Yahwe, nasema hivi, na nitalifanya.
Sizinle uğraşacağım gün cesaretiniz kalacak mı? Elleriniz güçlü olabilecek mi? Bunu ben RAB söylüyorum ve dediğimi yapacağım.
15 Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
Sizi uluslar arasına dağıtıp ülkelere süreceğim. Sizdeki ruhsal kirliliğe son vereceğim.
16 Hivyo utakuwa mchafu machoni mwa mataifa. Kisha utajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Ulusların gözünde aşağılanacak ve benim RAB olduğumu anlayacaksınız.’”
17 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
RAB bana şöyle seslendi:
18 “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa takataka kwangu. Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu. Watakuwa kama takataka ya fedha katika tanuu.
“İnsanoğlu, İsrail halkı benim için cüruf gibi oldu. Hepsi potada tunç, kalay, demir, kurşundur; gümüşün cürufudur.
19 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmekuwa kama takataka, kwa hiyo, tazama! Nataka kuwakusanya katikakati ya mji wa Yerusalemu.
Bundan ötürü Egemen RAB şöyle diyor: ‘Hepiniz cüruf gibi olduğunuz için sizi Yeruşalim'in ortasına toplayacağım.
20 Kama kukusanya fedha na shaba, chuma, risasi na chuma kati ya tanuu ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha juu yake, nitawayeyusha. Hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu. Nitawaweka hapo na kufukutisha moto juu yake ili kuiyeyusha; hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu, na nitawaweka hapo na kuwayeyusha.
Eritmek için ateşi üfleyerek gümüşü, tuncu, demiri, kurşunu, kalayı nasıl potaya atıyorlarsa, ben de öfkemle, kızgınlığımla sizi toplayacak, kentin ortasına koyup eriteceğim.
21 Basi nitawakusanya na kuwafukutia kwa moto wa hasira yangu juu yenu hivyo basi mtamwagwa kati yake.
Sizi toplayacak, öfkemin ateşini üzerinize üfleyeceğim; siz de kentin içinde eriyip yok olacaksınız.
22 Kama kuyeyusha fedha kati ya tanuu, mtayeyushwa chini kati yake, na mtajua yakwamba mimi, Yahwe, nimemwaga ghdhabu yangu juu yenu!”'
Gümüş potada nasıl erirse, siz de kentin içinde öyle eriyeceksiniz. O zaman üzerinize kızgınlığını dökenin ben, RAB olduğumu anlayacaksınız.’”
23 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
RAB bana şöyle seslendi:
24 “Mwanadamu, mwambie, 'Wewe ni nchi ambayo haijasafishwa. Hakuna mvua siku ya hasira!
“İnsanoğlu, ülkeye de ki, ‘Sen öfke günü temizlenmemiş, üzerine yağmur yağmamış bir ülkesin.’
25 Kuna njama ya manabii wake kati yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo. Wamekula uhai na kuchukua utajiri wa thamani; wamewafanya wajane wengi ndani yake!
Önderleri kükreyen, avını parçalayan aslan gibi orada düzen kurdular. Canlara kıydılar, hazineler, değerli nesneler aldılar, birçok kadını dul bıraktılar.
26 Makuhani wake hufanya kinyume na sheria yangu, na wamevinajisi vitu vyangu vitakatifu. Hawawezi kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya najisi. Wanaficha macho yao kutoka Sabato zangu hivyo basi nimetiwa unajisi kati yao.
Kâhinleri yasamı hiçe saydılar, kutsal eşyalarımı kirlettiler, kutsalla bayağı arasındaki ayrımı yapmadılar, kirliyle temiz arasındaki farkı öğretmediler, Şabat günlerimden gözlerini çevirdiler. Kutsallığımı önemsemediler.
27 Wakuu wake ndani mwake wamekuwa kama mbwa mwitu wakirarua mawindo yao. Wamemwaga damu na kuharibu maisha, ili kupata faida kwa njia ya udanganyifu.
Yöneticileri avını parçalayan kurt gibidir. Haksız kazanç elde etmek için kan döküyor, canlara kıyıyorlar.
28 Manabii wake wamepakwa chokaa; wanaona maono ya uongo na kutabiri uongo kwao. Wanasema “Bwana Yahwe asema hivi”' wakati Yahwe hajanena.
Peygamberleri uydurma görümlerle, yalan fal açarak bu suçları gizlediler; ben RAB konuşmadığım halde, ‘Egemen RAB şöyle diyor’ diyorlar.
29 Watu wa nchi wamewakandamiza kwa kutaka kwa nguvu na kuwanyang'anya kwa nguvu, na wamewatesa maskini na wahitaji, na kuwakandamiza wageni bila haki.
Ülke halkı baskı uyguladı, soygunculuk etti. Düşküne, yoksula baskı yaptı, yabancıya haksız yere kötü davrandı.
30 Hivyo nimetafuta mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta na ambaye atakayeweza kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake kwa ajili ya nchi basi sitaweza kuiharibu, lakini sikuona mtu.
“İçlerinde duvarı örecek, gedikte durup önümde ülkeyi savunacak, onu yerle bir etmemi engelleyecek bir adam aradım, ama hiç kimseyi bulmadım.
31 Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao. Nitawamaliza kwa moto wa ghadhabu yangu na kuweka njia yao juu ya vichwa vyao wenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Bunun için öfkemi üzerlerine boşaltacak, kızgınlığımla onları yakıp yok edeceğim. Yaptıklarını kendi başlarına getireceğim.” Egemen RAB böyle diyor.