< Ezekieli 22 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
I doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 “Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? Mfanye ajue machukizo yake yote.
A ty, synu człowieczy, czy zechcesz sądzić, czy zechcesz sądzić to krwawe miasto? Uświadom mu więc wszystkie jego obrzydliwości.
3 Utasema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Huu ndiyo mji umbao umwagao damu kati yake ili kwamba mda wake ufike; mji ufanyao sanamu ili ujitie unajisi.
Powiedz: Tak mówi Pan BÓG: O miasto, które rozlewasz krew u siebie, aby przyszedł [twój] czas, i czynisz sobie bożki przeciwko sobie, aby się nimi plugawić.
4 Umekuwa na hatia kwa damu uliyoimwaga, na kufanya unajisi kwa sanamu ulizozitengeneza. Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia siku zako za mwisho. Kwa hiyo nitakufanya lawama kwa mataifa na kejeli katika uso wa kila nchi.
Przez krew, którąś przelało, jesteś winne, i przez swoje bożki, któreś robiło, jesteś skalane, i tyś sprawiło, że przybliżyły się twoje dni, tyś doszło do swoich lat. Dlatego wydam cię [na] pohańbienie narodom i na pośmiewisko wszystkim ziemiom.
5 Wote walio karibu na wale walio mbali nawe watakudhihaki, wewe mji mchafu, ujulikanao kila mahali kwa sifa mbaya kama kujaa machafuko.
Ci, którzy są blisko, i ci, którzy są daleko od ciebie, będą się z ciebie naśmiewać, o [miasto] złej sławy i pełne zgiełku.
6 Tazama! Wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa nguvu yake, wamekuja kwako kumwaga damu.
Oto książęta Izraela, każdy był w tobie, po to, aby [całą] siłą krew rozlewać.
7 Wamefanya udanganyifu kwa baba na mama ndani yako, na wametenda yaliyo kinyume juu ya wageni kati yako. Wamewatenda vibaya yatima na wajane ndani mwako.
W tobie ojca i matkę znieważają, u ciebie czynią krzywdę przybyszowi, w tobie uciskają sierotę i wdowę.
8 Umevidharau vitu vyangu vitakatifu na kuinajisi Sabato yangu.
Wzgardzasz moimi świętymi rzeczami i zbezczeszczasz moje szabaty.
9 Watu wasingiziaji wamekuja kati yako ili kumwaga damu, na hula juu ya milima. Hufanya uovu kati yako.
W tobie są oszczercy w celu rozlania krwi, w tobie jadają na górach, u ciebie popełniają czyny haniebne.
10 Uchi wa baba umefunuliwa ndani yako. Wamemtukana mwanamke mchafu ndani yako wakati wa uchafu wake.
W tobie odkrywa się nagość ojca, w tobie hańbią oddaloną z powodu jej nieczystości.
11 Watu waliofanya machukizo pamoja na wake za majirani zao, na watu wafanyao uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe; watu wawatukanao dada zao wenyewe-binti za baba zao wenyewe-haya yote yapo miongoni mwanu.
Jeden popełnia obrzydliwość z żoną swego bliźniego, drugi sprośnie plami swoją synową, inny zaś u ciebie hańbi swoją siostrę, córkę swego ojca.
12 Hawa watu huchukua rushwa kati yenu ili kumwaga damu. Umechukua faida na kuongeza riba nyingi sana, na umenisahau-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
W tobie biorą dary za rozlanie krwi, pobierasz lichwę i odsetki, wyzyskujesz swego bliźniego przez ucisk i zapominasz o mnie, mówi Pan BÓG.
13 Tazama! Kwa mkono wangu nimeipiga faida ambayo uliyoitengeneza kwa njia isiyo halali, na damu iliyo kati yako.
Dlatego oto ja klasnąłem w swą dłoń z powodu twego [nieuczciwego] zysku, któreś zdobyło, i z powodu krwi, którą u ciebie rozlano.
14 Je! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? Mimi, Yahwe, nasema hivi, na nitalifanya.
Czy twoje serce wytrzyma? Czy twoje ręce będą na tyle mocne w dniach, kiedy ja będę miał z tobą sprawę? Ja, PAN, to powiedziałem i uczynię.
15 Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
Rozproszę cię między poganami i rozrzucę cię po ziemiach, i usunę z ciebie twoją nieczystość.
16 Hivyo utakuwa mchafu machoni mwa mataifa. Kisha utajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
I będziesz splugawione na oczach pogan, i poznasz, że ja jestem PANEM.
17 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Potem doszło do mnie słowo PANA mówiące:
18 “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa takataka kwangu. Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu. Watakuwa kama takataka ya fedha katika tanuu.
Synu człowieczy, dom Izraela zamienił mi się w żużel; wszyscy [są] miedzią, cyną, żelazem i ołowiem w środku pieca; stali się żużlem srebra.
19 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmekuwa kama takataka, kwa hiyo, tazama! Nataka kuwakusanya katikakati ya mji wa Yerusalemu.
Dlatego tak mówi Pan BÓG: Ponieważ wy wszyscy staliście się żużlem, oto zgromadzę was w środku Jerozolimy.
20 Kama kukusanya fedha na shaba, chuma, risasi na chuma kati ya tanuu ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha juu yake, nitawayeyusha. Hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu. Nitawaweka hapo na kufukutisha moto juu yake ili kuiyeyusha; hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu, na nitawaweka hapo na kuwayeyusha.
[Jak] gromadzi się srebro, miedź, żelazo, ołów i cynę wewnątrz pieca, aby rozdmuchano na nie ogień, by je roztopić, tak was zgromadzę w swojej zapalczywości i w swoim gniewie, złożę was i roztopię.
21 Basi nitawakusanya na kuwafukutia kwa moto wa hasira yangu juu yenu hivyo basi mtamwagwa kati yake.
Tak, zgromadzę was i rozdmucham na was ogień swojej zapalczywości i zostaniecie roztopieni w jej środku.
22 Kama kuyeyusha fedha kati ya tanuu, mtayeyushwa chini kati yake, na mtajua yakwamba mimi, Yahwe, nimemwaga ghdhabu yangu juu yenu!”'
Jak topi się srebro w środku pieca, tak i wy zostaniecie roztopieni w jej środku; i poznacie, że ja, PAN, wylałem na was swoją zapalczywość.
23 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Ponadto doszło do mnie słowo PANA:
24 “Mwanadamu, mwambie, 'Wewe ni nchi ambayo haijasafishwa. Hakuna mvua siku ya hasira!
Synu człowieczy, mów do niej: Ty jesteś ziemią nieoczyszczoną i nieobmytą deszczem w dniu mojej zapalczywości.
25 Kuna njama ya manabii wake kati yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo. Wamekula uhai na kuchukua utajiri wa thamani; wamewafanya wajane wengi ndani yake!
W środku tej [ziemi znajduje się] spisek jej proroków, podobni są oni do ryczącego lwa, co rozdziera zdobycz. Pożerają dusze, zabierają bogactwa i kosztowności i mnożą wdowy pośród niej.
26 Makuhani wake hufanya kinyume na sheria yangu, na wamevinajisi vitu vyangu vitakatifu. Hawawezi kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya najisi. Wanaficha macho yao kutoka Sabato zangu hivyo basi nimetiwa unajisi kati yao.
Jej kapłani złamali moje prawo i plugawią moje święte rzeczy. Nie czynią różnicy między tym, co święte, a tym, co pospolite, nie rozsądzają między nieczystym a czystym. Ponadto zakrywają sobie oczy przed moimi szabatami, tak że doznaję zniewagi pośród nich.
27 Wakuu wake ndani mwake wamekuwa kama mbwa mwitu wakirarua mawindo yao. Wamemwaga damu na kuharibu maisha, ili kupata faida kwa njia ya udanganyifu.
Jej książęta pośród niej są jak wilki rozdzierające zdobycz, rozlewające krew i tracące dusze, aby zdobyć nieuczciwy zysk.
28 Manabii wake wamepakwa chokaa; wanaona maono ya uongo na kutabiri uongo kwao. Wanasema “Bwana Yahwe asema hivi”' wakati Yahwe hajanena.
A jej prorocy tynkują słabym tynkiem, głosząc złudne widzenia i wróżąc im kłamstwo, mówiąc: Tak mówi Pan BÓG, choć PAN nie mówił.
29 Watu wa nchi wamewakandamiza kwa kutaka kwa nguvu na kuwanyang'anya kwa nguvu, na wamewatesa maskini na wahitaji, na kuwakandamiza wageni bila haki.
Lud tej ziemi dopuszcza się ucisku i dokonuje grabieży; krzywdzi ubogiego i nędznego i bezprawnie uciska cudzoziemca.
30 Hivyo nimetafuta mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta na ambaye atakayeweza kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake kwa ajili ya nchi basi sitaweza kuiharibu, lakini sikuona mtu.
I szukałem wśród nich męża, który by naprawił mur i stanął w wyłomie przede mną w obronie ziemi, abym jej nie zniszczył. Ale nie znalazłem żadnego.
31 Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao. Nitawamaliza kwa moto wa ghadhabu yangu na kuweka njia yao juu ya vichwa vyao wenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Wylałem więc na nich swój gniew, wyniszczyłem ich ogniem swojej zapalczywości. Złożyłem [im] na głowę ich własną drogę, mówi Pan BÓG.

< Ezekieli 22 >