< Ezekieli 22 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
TUHAN berbicara kepadaku, kata-Nya,
2 “Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? Mfanye ajue machukizo yake yote.
"Hai manusia fana, sudah siapkah engkau menghakimi kota yang penuh dengan pembunuh itu. Tunjukkanlah kepadanya segala perbuatannya yang menjijikkan."
3 Utasema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Huu ndiyo mji umbao umwagao damu kati yake ili kwamba mda wake ufike; mji ufanyao sanamu ili ujitie unajisi.
TUHAN Yang Mahatinggi menyuruh aku menyampaikan pesan ini kepada Yerusalem, "Engkau bersalah karena telah membunuh banyak dari pendudukmu sendiri, dan telah menajiskan dirimu dengan menyembah berhala-berhala buatanmu sendiri. Sebab itu saat penghakimanmu sudah dekat dan riwayatmu segera berakhir. Engkau Kubiarkan menjadi bahan ejekan dan tertawaan bagi bangsa-bangsa dan semua negeri.
4 Umekuwa na hatia kwa damu uliyoimwaga, na kufanya unajisi kwa sanamu ulizozitengeneza. Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia siku zako za mwisho. Kwa hiyo nitakufanya lawama kwa mataifa na kejeli katika uso wa kila nchi.
5 Wote walio karibu na wale walio mbali nawe watakudhihaki, wewe mji mchafu, ujulikanao kila mahali kwa sifa mbaya kama kujaa machafuko.
Engkau diolok-olok oleh negeri-negeri yang jauh dan dekat karena engkau terus-menerus melanggar hukum dan peraturan.
6 Tazama! Wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa nguvu yake, wamekuja kwako kumwaga damu.
Semua pemimpin Israel mengandalkan kekuatannya sendiri dan melakukan pembunuhan.
7 Wamefanya udanganyifu kwa baba na mama ndani yako, na wametenda yaliyo kinyume juu ya wageni kati yako. Wamewatenda vibaya yatima na wajane ndani mwako.
Tak seorang pun dari pendudukmu menghormati orang tuanya. Engkau menipu orang asing dan mengambil untung dari kesusahan janda dan yatim piatu.
8 Umevidharau vitu vyangu vitakatifu na kuinajisi Sabato yangu.
Tempat-tempat ibadah bagi-Ku kaunodai dan hari Sabat tidak kauindahkan.
9 Watu wasingiziaji wamekuja kati yako ili kumwaga damu, na hula juu ya milima. Hufanya uovu kati yako.
Di antara pendudukmu ada penghasut-penghasut yang suka memfitnah orang lain supaya dihukum mati. Ada juga yang suka makan daging yang sudah dikurbankan kepada berhala. Ada lagi yang suka berbuat cabul.
10 Uchi wa baba umefunuliwa ndani yako. Wamemtukana mwanamke mchafu ndani yako wakati wa uchafu wake.
Ada yang menggoda dan meniduri ibu tirinya, wanita yang sedang haid,
11 Watu waliofanya machukizo pamoja na wake za majirani zao, na watu wafanyao uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe; watu wawatukanao dada zao wenyewe-binti za baba zao wenyewe-haya yote yapo miongoni mwanu.
istri orang lain atau menantunya atau adiknya dari lain ibu.
12 Hawa watu huchukua rushwa kati yenu ili kumwaga damu. Umechukua faida na kuongeza riba nyingi sana, na umenisahau-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ada juga yang menjadi pembunuh bayaran, lintah darat dan pemeras orang-orang sebangsanya. Mereka semua telah melupakan Aku. Aku TUHAN Yang Mahatinggi telah berbicara.
13 Tazama! Kwa mkono wangu nimeipiga faida ambayo uliyoitengeneza kwa njia isiyo halali, na damu iliyo kati yako.
Tetapi sekarang Aku akan menghantam para perampok dan pembunuhmu.
14 Je! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? Mimi, Yahwe, nasema hivi, na nitalifanya.
Masih beranikah atau masih kuatkah engkau untuk mengangkat tanganmu setelah Aku selesai menghukum engkau? Aku, TUHAN Yang Mahatinggi telah berbicara dan Aku akan melaksanakan apa yang telah Kukatakan.
15 Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
Aku akan menceraiberaikan pendudukmu ke semua negeri dan bangsa, dan Aku akan menghentikan perbuatanmu yang jahat itu.
16 Hivyo utakuwa mchafu machoni mwa mataifa. Kisha utajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Engkau akan dihina oleh bangsa-bangsa lain, maka tahulah engkau bahwa Akulah TUHAN."
17 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
TUHAN berkata kepadaku,
18 “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa takataka kwangu. Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu. Watakuwa kama takataka ya fedha katika tanuu.
"Hai manusia fana, orang-orang Israel itu tidak berguna bagi-Ku. Mereka ibarat sampah logam campuran, seperti tembaga, timah, besi dan timah hitam yang tersisa setelah perak dimurnikan di dalam perapian.
19 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmekuwa kama takataka, kwa hiyo, tazama! Nataka kuwakusanya katikakati ya mji wa Yerusalemu.
Maka sekarang, Aku, TUHAN Yang Mahatinggi, mengatakan kepada mereka bahwa mereka sama seperti logam yang tidak berguna itu. Sebagaimana bijih perak, perunggu, besi, timah hitam dan timah putih dimasukkan ke dalam perapian untuk dimurnikan, begitu pula mereka akan Kukumpulkan dan Kubawa ke Yerusalem. Kemarahan-Ku yang hebat akan meleburkan mereka seperti api meleburkan bijih-bijih logam.
20 Kama kukusanya fedha na shaba, chuma, risasi na chuma kati ya tanuu ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha juu yake, nitawayeyusha. Hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu. Nitawaweka hapo na kufukutisha moto juu yake ili kuiyeyusha; hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu, na nitawaweka hapo na kuwayeyusha.
21 Basi nitawakusanya na kuwafukutia kwa moto wa hasira yangu juu yenu hivyo basi mtamwagwa kati yake.
Ya, Aku akan mengumpulkan mereka di Yerusalem, memasang api kemarahan-Ku di bawah mereka, sehingga mereka hancur lebur.
22 Kama kuyeyusha fedha kati ya tanuu, mtayeyushwa chini kati yake, na mtajua yakwamba mimi, Yahwe, nimemwaga ghdhabu yangu juu yenu!”'
Seperti perak dilebur di dalam perapian, begitu pula mereka akan dilebur di Yerusalem. Maka tahulah mereka bahwa Aku, TUHAN, telah melepaskan kemarahan-Ku ke atas mereka."
23 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
TUHAN berbicara lagi kepadaku, kata-Nya,
24 “Mwanadamu, mwambie, 'Wewe ni nchi ambayo haijasafishwa. Hakuna mvua siku ya hasira!
"Hai manusia fana, katakan kepada orang Israel bahwa tanah mereka najis, dan sebab itu Aku marah dan menghukumnya.
25 Kuna njama ya manabii wake kati yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo. Wamekula uhai na kuchukua utajiri wa thamani; wamewafanya wajane wengi ndani yake!
Para pemimpinnya seperti singa yang mengaum setelah menerkam mangsanya. Mereka membunuh rakyat, merampas semua harta dan kekayaan yang mereka temukan dan menyebabkan banyak wanita menjadi janda.
26 Makuhani wake hufanya kinyume na sheria yangu, na wamevinajisi vitu vyangu vitakatifu. Hawawezi kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya najisi. Wanaficha macho yao kutoka Sabato zangu hivyo basi nimetiwa unajisi kati yao.
Para imam Israel melanggar hukum-hukum-Ku dan mencemarkan benda-benda yang dikhususkan untuk-Ku. Mereka tidak membedakan mana yang halal dan mana yang haram. Juga mereka tidak mengajar rakyat untuk membedakan mana yang bersih dan mana yang najis menurut peraturan agama. Mereka tidak menghiraukan hari Sabat. Dengan demikian Aku dihina oleh bangsa Israel.
27 Wakuu wake ndani mwake wamekuwa kama mbwa mwitu wakirarua mawindo yao. Wamemwaga damu na kuharibu maisha, ili kupata faida kwa njia ya udanganyifu.
Pejabat-pejabat pemerintahnya seperti serigala yang merobek-robek mangsanya. Mereka melakukan pembunuhan hanya untuk mencari untung.
28 Manabii wake wamepakwa chokaa; wanaona maono ya uongo na kutabiri uongo kwao. Wanasema “Bwana Yahwe asema hivi”' wakati Yahwe hajanena.
Para nabi menyembunyikan dosa-dosa itu; mereka seperti orang yang mengapuri tembok yang kotor. Penglihatan-penglihatan mereka palsu, begitu juga ramalan-ramalan mereka. Mereka mengaku bahwa pesan yang mereka sampaikan adalah yang mereka terima dari TUHAN Yang Mahatinggi, padahal Aku sama sekali tidak berbicara kepada mereka.
29 Watu wa nchi wamewakandamiza kwa kutaka kwa nguvu na kuwanyang'anya kwa nguvu, na wamewatesa maskini na wahitaji, na kuwakandamiza wageni bila haki.
Orang-orang kaya menipu dan merampok. Mereka memperlakukan orang miskin dengan sewenang-wenang dan mengambil keuntungan dari orang asing.
30 Hivyo nimetafuta mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta na ambaye atakayeweza kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake kwa ajili ya nchi basi sitaweza kuiharibu, lakini sikuona mtu.
Di antara orang Israel itu, Aku mencari orang yang dapat mendirikan tembok, atau berdiri di tempat-tempat yang tembok-temboknya runtuh untuk mempertahankan negeri itu apabila Aku hendak menghancurkannya dalam luapan kemarahan-Ku; namun tak seorang pun yang Kutemukan.
31 Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao. Nitawamaliza kwa moto wa ghadhabu yangu na kuweka njia yao juu ya vichwa vyao wenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Sebab itu sekarang Kulepaskan kemarahan-Ku terhadap mereka, dan seperti api Aku akan membinasakan mereka karena segala perbuatan mereka. Aku TUHAN Yang Mahatinggi telah berbicara."