< Ezekieli 22 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
2 “Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? Mfanye ajue machukizo yake yote.
« Et toi, fils de l’homme, jugeras-tu, jugeras-tu la ville de sang? Fais-lui connaître toutes ses abominations,
3 Utasema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Huu ndiyo mji umbao umwagao damu kati yake ili kwamba mda wake ufike; mji ufanyao sanamu ili ujitie unajisi.
et dis: Ainsi parle le Seigneur Yahweh: Ville qui répand le sang au dedans d’elle, pour que son temps vienne, et qui se couvre d’idoles infâmes pour se souiller!
4 Umekuwa na hatia kwa damu uliyoimwaga, na kufanya unajisi kwa sanamu ulizozitengeneza. Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia siku zako za mwisho. Kwa hiyo nitakufanya lawama kwa mataifa na kejeli katika uso wa kila nchi.
Par le sang que tu as répandu, tu t’es rendue criminelle; par les idoles infâmes que tu as faites, tu t’es souillée; et tu as ainsi avancé tes jours, et tu es parvenue au terme de tes années. C’est pourquoi je t’ai rendue un objet d’opprobre pour les nations et une risée dans tous les pays.
5 Wote walio karibu na wale walio mbali nawe watakudhihaki, wewe mji mchafu, ujulikanao kila mahali kwa sifa mbaya kama kujaa machafuko.
Ceux qui sont près et ceux qui sont loin de toi se moqueront de toi, souillée de réputation, grande en désordre!
6 Tazama! Wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa nguvu yake, wamekuja kwako kumwaga damu.
Voici que les princes d’Israël, chacun selon ses forces, sont occupés chez toi à répandre le sang.
7 Wamefanya udanganyifu kwa baba na mama ndani yako, na wametenda yaliyo kinyume juu ya wageni kati yako. Wamewatenda vibaya yatima na wajane ndani mwako.
Chez toi, on méprise père et mère; au milieu de toi, on maltraite l’étranger; chez toi, on opprime l’orphelin et la veuve.
8 Umevidharau vitu vyangu vitakatifu na kuinajisi Sabato yangu.
Tu méprises mon sanctuaire et tu profanes mes sabbats.
9 Watu wasingiziaji wamekuja kati yako ili kumwaga damu, na hula juu ya milima. Hufanya uovu kati yako.
Il y a chez toi des gens qui calomnient pour répandre le sang; chez toi, on mange sur les montagnes; on commet des énormités au milieu de toi.
10 Uchi wa baba umefunuliwa ndani yako. Wamemtukana mwanamke mchafu ndani yako wakati wa uchafu wake.
Chez toi, on découvre la nudité de son père; chez toi, on fait violence à la femme pendant sa souillure.
11 Watu waliofanya machukizo pamoja na wake za majirani zao, na watu wafanyao uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe; watu wawatukanao dada zao wenyewe-binti za baba zao wenyewe-haya yote yapo miongoni mwanu.
L’un commet l’abomination avec la femme de son prochain, un autre souille par l’impureté sa belle-fille chez toi, un autre fait violence à sa sœur, fille de son père.
12 Hawa watu huchukua rushwa kati yenu ili kumwaga damu. Umechukua faida na kuongeza riba nyingi sana, na umenisahau-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Chez toi, ou reçoit des présents pour répandre le sang; tu prends l’usure et un intérêt; tu dépouilles par la violence ton prochain; et moi, tu m’oublies, — oracle du Seigneur Yahweh.
13 Tazama! Kwa mkono wangu nimeipiga faida ambayo uliyoitengeneza kwa njia isiyo halali, na damu iliyo kati yako.
Mais voici que je frappe dans ma main à cause du gain déshonnête que tu as fait, et à cause du sang qui est au milieu de toi.
14 Je! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? Mimi, Yahwe, nasema hivi, na nitalifanya.
Ton cœur tiendra-t-il bon, tes mains seront-elles fermes aux jours où j’agirai contre toi? Moi, Yahweh, j’ai dit et j’agirai.
15 Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
Je te disperserai parmi les nations, je te sèmerai dans les pays, et j’ôterai de toi toute ta souillure,
16 Hivyo utakuwa mchafu machoni mwa mataifa. Kisha utajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
et tu seras profanée chez toi aux yeux des nations; et tu sauras que je suis Yahweh. »
17 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
18 “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa takataka kwangu. Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu. Watakuwa kama takataka ya fedha katika tanuu.
« Fils de l’homme, la maison d’Israël s’est changée pour moi en scories; eux tous sont de l’airain, de l’étain, du fer et du plomb au milieu du fourneau; ils sont devenus les scories de l’argent.
19 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmekuwa kama takataka, kwa hiyo, tazama! Nataka kuwakusanya katikakati ya mji wa Yerusalemu.
C’est pourquoi ainsi parle le Seigneur Yahweh: Parce que vous êtes tous devenus des scories, à cause de cela, voici que je vais vous rassembler au milieu de Jérusalem.
20 Kama kukusanya fedha na shaba, chuma, risasi na chuma kati ya tanuu ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha juu yake, nitawayeyusha. Hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu. Nitawaweka hapo na kufukutisha moto juu yake ili kuiyeyusha; hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu, na nitawaweka hapo na kuwayeyusha.
Comme ou met ensemble l’argent, l’airain, le fer, le plomb et l’étain au milieu d’un fourneau et qu’on souffle le feu sur le fourneau pour les fondre, ainsi je vous rassemblerai dans ma colère et mon courroux; je vous mettrai là et je vous fondrai.
21 Basi nitawakusanya na kuwafukutia kwa moto wa hasira yangu juu yenu hivyo basi mtamwagwa kati yake.
Je vous rassemblerai et je soufflerai sur vous, avec le feu de ma fureur, et vous serez fondus au milieu de Jérusalem.
22 Kama kuyeyusha fedha kati ya tanuu, mtayeyushwa chini kati yake, na mtajua yakwamba mimi, Yahwe, nimemwaga ghdhabu yangu juu yenu!”'
Comme on fond l’argent au milieu d’un fourneau, ainsi vous serez fondus au milieu d’elle; et vous saurez que moi, Yahweh, j’ai répandu mon courroux sur vous. »
23 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
24 “Mwanadamu, mwambie, 'Wewe ni nchi ambayo haijasafishwa. Hakuna mvua siku ya hasira!
« Fils de l’homme, dis-lui: Tu es une terre qui n’a pas été purifiée, qui n’a pas été lavée par la pluie, en un jour de colère.
25 Kuna njama ya manabii wake kati yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo. Wamekula uhai na kuchukua utajiri wa thamani; wamewafanya wajane wengi ndani yake!
Il y a au milieu d’elle une conspiration de ses prophètes. Comme un lion rugissant qui déchire sa proie, ils dévorent les âmes, ils s’emparent des biens et des trésors, ils multiplient ses veuves au milieu d’elle.
26 Makuhani wake hufanya kinyume na sheria yangu, na wamevinajisi vitu vyangu vitakatifu. Hawawezi kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya najisi. Wanaficha macho yao kutoka Sabato zangu hivyo basi nimetiwa unajisi kati yao.
Ses prêtres ont violé ma loi et profané mon sanctuaire; ils ne distinguent pas entre le saint et le profane; ils n’enseignent pas la différence entre celui qui est souillé et celui qui est pur; ils ferment leurs yeux sur mes sabbats, et je suis profané au milieu d’eux.
27 Wakuu wake ndani mwake wamekuwa kama mbwa mwitu wakirarua mawindo yao. Wamemwaga damu na kuharibu maisha, ili kupata faida kwa njia ya udanganyifu.
Ses chefs sont au milieu d’elle comme des loups qui déchirent leur proie, répandant le sang, perdant des âmes pour faire des gains.
28 Manabii wake wamepakwa chokaa; wanaona maono ya uongo na kutabiri uongo kwao. Wanasema “Bwana Yahwe asema hivi”' wakati Yahwe hajanena.
Et ses prophètes leur plâtrent tous ces crimes; ils ont des visions vaines et des oracles menteurs; ils disent: « Ainsi parle le Seigneur Yahweh «; et Yahweh n’a pas parlé.
29 Watu wa nchi wamewakandamiza kwa kutaka kwa nguvu na kuwanyang'anya kwa nguvu, na wamewatesa maskini na wahitaji, na kuwakandamiza wageni bila haki.
Le peuple du pays commet des violences et s’adonne à la rapine; ils foulent le malheureux et l’indigent, et font violence à l’étranger sans motif.
30 Hivyo nimetafuta mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta na ambaye atakayeweza kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake kwa ajili ya nchi basi sitaweza kuiharibu, lakini sikuona mtu.
J’ai cherché parmi eux un homme qui fit une clôture et qui se tint à la brèche devant moi pour le pays, afin que je ne détruise pas; et je ne l’ai pas trouvé.
31 Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao. Nitawamaliza kwa moto wa ghadhabu yangu na kuweka njia yao juu ya vichwa vyao wenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Et j’ai répandu sur eux mon courroux, et je les ai consumés par le feu de ma fureur, et j’ai fait retomber leurs œuvres sur leur tête, — oracle du Seigneur Yahweh. »

< Ezekieli 22 >