< Ezekieli 22 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
2 “Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? Mfanye ajue machukizo yake yote.
“Nang hlang capa aw, lai na tloek aya? Thii aka long khopuei te lai na tloek aya? Anih te a tueilaehkoi boeih ming sak.
3 Utasema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Huu ndiyo mji umbao umwagao damu kati yake ili kwamba mda wake ufike; mji ufanyao sanamu ili ujitie unajisi.
Ka Boeipa Yahovah loh a thui he thui pah. Khopuei loh amah tue pai sak ham a laklung ah thii a long sak tih amah aka poeih ham mueirhol a saii.
4 Umekuwa na hatia kwa damu uliyoimwaga, na kufanya unajisi kwa sanamu ulizozitengeneza. Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia siku zako za mwisho. Kwa hiyo nitakufanya lawama kwa mataifa na kejeli katika uso wa kila nchi.
Na thii na hawk te na boe tih na mueirhol na saii long te m'poeih. Na khohnin ha tawn uh tih na kum te ha pawk coeng. Te dongah nang te namtom kah kokhahnah neh diklai pum kah soehsalkoi la kang khueh coeng.
5 Wote walio karibu na wale walio mbali nawe watakudhihaki, wewe mji mchafu, ujulikanao kila mahali kwa sifa mbaya kama kujaa machafuko.
Nang lamkah a yoei neh a hla loh nang te n'soehsal uh vetih, rhalawt ming dongah soekloeknah bae ni.
6 Tazama! Wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa nguvu yake, wamekuja kwako kumwaga damu.
Israel khoboei rhoek aih ke, a bantha neh na khuiah thii hawk ham hlang om coeng.
7 Wamefanya udanganyifu kwa baba na mama ndani yako, na wametenda yaliyo kinyume juu ya wageni kati yako. Wamewatenda vibaya yatima na wajane ndani mwako.
Manu napa te a vapsa tak uh tih na khuikah yinlai te hnaemtaeknah neh a saii uh. Na khui kah cadah neh nuhmai te namah khui ah na vuelvaek uh.
8 Umevidharau vitu vyangu vitakatifu na kuinajisi Sabato yangu.
Kai kah a cim te na hnaep uh tih ka Sabbath te na poeih uh.
9 Watu wasingiziaji wamekuja kati yako ili kumwaga damu, na hula juu ya milima. Hufanya uovu kati yako.
Thii hawk sak ham te na khuiah caemtuh hlang rhoek om uh. Na khuikah loh tlang ah a caak tih na khui ah khonuen rhamtat a saii uh.
10 Uchi wa baba umefunuliwa ndani yako. Wamemtukana mwanamke mchafu ndani yako wakati wa uchafu wake.
Pa kah a yah te na khuiah a poelyoe tih pumom kah a rhalawt neh na khuiah phaep uh.
11 Watu waliofanya machukizo pamoja na wake za majirani zao, na watu wafanyao uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe; watu wawatukanao dada zao wenyewe-binti za baba zao wenyewe-haya yote yapo miongoni mwanu.
Hlang he a hui yuu taengah tueilaehkoi a saii tih hlang he amah langa khaw khonuen rhamtat la a poeih. Hlang he a napa canu, amah ngannu khaw na khuiah a phaep.
12 Hawa watu huchukua rushwa kati yenu ili kumwaga damu. Umechukua faida na kuongeza riba nyingi sana, na umenisahau-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
A casai thii long sak ham na khuiah kapbaih a loh uh. A puehkan la na loh tih hnaemtaeknah neh na hui te na mueluem dongah kai he nan hnilh. He tah Ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
13 Tazama! Kwa mkono wangu nimeipiga faida ambayo uliyoitengeneza kwa njia isiyo halali, na damu iliyo kati yako.
Te dongah na mueluemnah la na saii tih na khui ah na thii a om te ka kut ka paeng pawn ni he.
14 Je! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? Mimi, Yahwe, nasema hivi, na nitalifanya.
Na lungbuei om cakhaw na kut a moem uh venim? Te khohnin ah kai loh nang te kan saii ni. Kai BOEIPA loh ka thui he ka saii ni.
15 Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
Nang te namtom taengah kan taek kan yak vetih diklai ah nang kan haeh ni. Te vaengah nang kah a tihnai te nang lamloh ka boeih sak ni.
16 Hivyo utakuwa mchafu machoni mwa mataifa. Kisha utajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Nang te namtom mikhmuh ah m'poeih uh vaengah BOEIPA kamah te nan ming bitni,” a ti.
17 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol te kai taengla koep ha pawk ol tih,
18 “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa takataka kwangu. Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu. Watakuwa kama takataka ya fedha katika tanuu.
“Hlang capa aw, Israel imkhui he a pum la kai taengah aek khuikah aek la poeh uh coeng. Rhohum neh samphae khaw, thicung neh kawnlawk khaw hmai-ulh khui ah cak aek la poeh coeng.
19 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmekuwa kama takataka, kwa hiyo, tazama! Nataka kuwakusanya katikakati ya mji wa Yerusalemu.
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Nangmih te aek la boeih poeh sak ham ni kai loh nangmih te Jerusalem khui la kan coi tangloeng ne.
20 Kama kukusanya fedha na shaba, chuma, risasi na chuma kati ya tanuu ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha juu yake, nitawayeyusha. Hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu. Nitawaweka hapo na kufukutisha moto juu yake ili kuiyeyusha; hivyo nitawakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu, na nitawaweka hapo na kuwayeyusha.
Cak neh rhohum, thi neh kawnlawk neh samphae te hmai-ulh khui la hmuh tih hmai dongah tlae hamla coinah om. Ka thintoek ah kan coi tih ka kosi neh kan tloeng vaengah na tlae uh bitni.
21 Basi nitawakusanya na kuwafukutia kwa moto wa hasira yangu juu yenu hivyo basi mtamwagwa kati yake.
Nangmih te kan calui tih ka thinpom hmai neh nang kang ueng thil vaengah a khui ah na tlae bitni.
22 Kama kuyeyusha fedha kati ya tanuu, mtayeyushwa chini kati yake, na mtajua yakwamba mimi, Yahwe, nimemwaga ghdhabu yangu juu yenu!”'
Hmai-ulh khui kah cak tlae bangla a khui ah na tlae van ni. Te vaengah BOEIPA kamah loh nangmih soah ka kosi ka hawk te na ming ni,” a ti.
23 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol kai taengah ha pawk tih,
24 “Mwanadamu, mwambie, 'Wewe ni nchi ambayo haijasafishwa. Hakuna mvua siku ya hasira!
“Hlang capa aw, a taengah thui pah. Khohmuen nang te n'caihcil pawt pai tih kosi khohnin ah khotlan tal.
25 Kuna njama ya manabii wake kati yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo. Wamekula uhai na kuchukua utajiri wa thamani; wamewafanya wajane wengi ndani yake!
A khui ah a tonghma rhoek kah lairhui khaw maeh aka baeh sathueng kah a kawk bangla om. Hinglu neh khohrhang a yoop tih nuhmai kah umponah aka rheth khaw a khui ah a ping sakuh.
26 Makuhani wake hufanya kinyume na sheria yangu, na wamevinajisi vitu vyangu vitakatifu. Hawawezi kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya najisi. Wanaficha macho yao kutoka Sabato zangu hivyo basi nimetiwa unajisi kati yao.
A khosoih rhoek loh ka olkhueng a poe tih ka hmuencim a poeih uh. Cimcaihnah neh rhongingnah te paekboe uh pawh. Rhalawt khaw, a cuemcaih khaw ming sak uh pawh. Ka Sabbath te a mik a him thil uh tih amih khui ah kai m'poeih.
27 Wakuu wake ndani mwake wamekuwa kama mbwa mwitu wakirarua mawindo yao. Wamemwaga damu na kuharibu maisha, ili kupata faida kwa njia ya udanganyifu.
A khui kah a mangpa rhoek khaw maeh aka nget uithang bangla thii aka hawk ham neh hinglu aka ngawn ham mueluemnah dongah mueluem uh.
28 Manabii wake wamepakwa chokaa; wanaona maono ya uongo na kutabiri uongo kwao. Wanasema “Bwana Yahwe asema hivi”' wakati Yahwe hajanena.
A tonghma rhoek loh amamih ham a rhorhap te a bol uh. Amamih ham a poeyoek la a hmuh uh. Hlang aka bi loh BOEIPA loh a thui pawt khaw ka Boeipa Yahovah kah a thui he laithae ni a. ti uh.
29 Watu wa nchi wamewakandamiza kwa kutaka kwa nguvu na kuwanyang'anya kwa nguvu, na wamewatesa maskini na wahitaji, na kuwakandamiza wageni bila haki.
Khohmuen kah pilnam te hnaemtaeknah neh a hnaemtaek uh tih huencannah neh a reth uh. Mangdaeng neh khodaeng a vuelvaek uh tih yinlai a hnaemtaek uh dongah tiktamnah om pawh.
30 Hivyo nimetafuta mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta na ambaye atakayeweza kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake kwa ajili ya nchi basi sitaweza kuiharibu, lakini sikuona mtu.
Vongtung biing tih khohmuen phae pawt ham a yueng la ka mikhmuh kah a puut ah aka pai hlang khaw amih lakli ah ka tlap dae ka hmu pawh.
31 Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao. Nitawamaliza kwa moto wa ghadhabu yangu na kuweka njia yao juu ya vichwa vyao wenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Te dongah ka kosi he amih soah ka hawk vetih ka thinpom hmai neh amih ka khah ni. Amih kah longpuei te amamih lu dongah ka thoeng sak ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni,” a ti.

< Ezekieli 22 >