< Ezekieli 21 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
2 “Mwanadamu, weka uso wako kuelekea Yerusalemu, na neno juu ya patakatifu; tabiri juu ya nchi ya Israeli.
“Hlang capa, na maelhmai te Jerusalem la khueh lah. Te phoeiah rhokso te cip thil lamtah Israel khohmuen te tonghma thil laeh.
3 Sema juu ya nchi ya Israeli, 'Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako! Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako!
Te vaengah Israel khohmuen te thui pah. BOEIPA loh he ni a thui. Kai loh ka cunghang a capang lamloh nang kam bong thil vetih nang lamkah aka dueng neh aka halang khaw ka saii pawn ni.
4 Ili niwakatilie mbali wote, mwenye haki na mwovu kutoka kwako, upanga wangu utatoka kwenye ala yake juu ya wote wenye mwili kutoka kusini hata kaskazini.
Ka cunghang he a capang lamloh thoeng tangloeng vetih nang lamkah pumsa hlang boeih tah aka dueng khaw, aka halang khaw tuithim lamloh tlangpuei due ka saii ni.
5 Kisha wote wenye mwili watajua yakwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake. Hautarudi tena!'
Te vaengah kai BOEIPA loh ka cunghang a capang lamloh ka bong phoeiah koep ka sang pawt te pumsa hlang boeih loh a ming uh ni.
6 Kwa hiyo, mwanadamu, gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako! Katika uchungu gumia mbele ya macho yao!
Te dongah hlang capa nang te cinghen a khaemnah hil huei lamtah hmuetphawt neh amih mikhmuh ah huei pah.
7 Kisha itatokea kwamba watakuuliza, 'Kwa sababu gani unalia?' Kisha utasema, 'Kwa sababu ya habari inayokuja, kwa kuwa kila moyo utakuwa dhaifu, na kila mkono utasita! Kila roho itazimia, na kila goti litatiririrka kama maji. Tazama! Inakuja na itakuwa kama hivi! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Nang te, 'Balae tih na huei,’ a ti vaengah, 'Olthang ha pawk dongah ni, 'ti nah. Te vaengah lungbuei boeih paci vetih kut khaw boeih tahah ni. Mueihla boeih ueih vetih khuklu boeih tui la poeh ni. Ka Boeipa Yahovah kah olphong tah ha pawk tih om coeng ke,” a ti.
8 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol tah kai taengah koep ha pawk tih,
9 “Mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana asema hivi: sema: Upanga! Upanga! Utachongwa na kusuguliwa!
“Hlang Capa aw tonghma lamtah thui laeh. 'Boeipa loh he ni a thui, cunghang te cunghang haat la huen laeh,’ ti nah.
10 Utanolewa ili kushiriki katika machinjio makubwa! Utasuguliwa ili uwe kama mng'ao wa radi! Je! Tufanye furaha katika fimbo ya mwana wa mfalme? Upanga ujao huchukia kila hiyo fimbo!
Rhaek la a om due a haat la a huen daengah ni maeh khaw a ngawn eh. Thing cungkuem aka sit ka capa kah mancai te ngaingaih puei sih.
11 Hivyo upanga utatolewa kwa ajili ya kusuguliwa, na kisha kushikika kwa mkono! Upanga umechongwa na umesuguliwa na utatolewa kwenye mkono wa yule auaye!'
Huen ham neh a kut dongah pom ham a paek dongah cunghang haat coeng. Te dongah aka ngawn kut dongah paek ham a huen coeng.
12 Ita msaada na omboleza, mwanadamu! Kwa kuwa upanga umekuja juu ya watu wangu! Uko juu ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa dhidi ya upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo, piga paja lako!
Hlang capa aw pang lamtah rhung laeh. Ka pilnam neh Israel khoboei boeih te a om thil coeng. Ka pilnam neh aka om khaw cunghang dongla a voeih coeng. Te dongah na hlit te tum laeh.
13 Kwa kuwa kuna kujaribiwa, lakini itakuwaje kama fimbo ya kifalme haitakuwepo tena? -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Loepdak ngawn cakhaw mancai te sawtsit koinih ta? om khueng mahpawh. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
14 Basi wewe, mwanadamu, tabiri, na piga makofi, kwa kuwa upanga utakushambulia hata mara tatu! Upanga kwa wale watakaochinjwa! Utakuwa upanga kwa ajili ya kuchinjia, ukiwatoboa pande zote!
Te dongah hlang capa nang tonghma lamtah kut neh kut ngawn laeh. cunghang khaw a pathum la rhaep laeh. Amih te aka ngawn kah cunghang soah aka ngawn cunghang loh vael khungdaeng saeh.
15 Ili kuyeyusha mioyo yao na kuongeza kuanguka kwao, nimeweka machinjio ya upanga juu ya malango! Ole! Umeundwa kama mng'ao wa radi, umetengwa kwa ajili ya kuua!
Te daengah ni lungbuei paci vetih a vongka tom ah hmuitoel khaw a suplup eh. Anunae Maeh sah ham khopha bangla a saii tih a hnut cunghang hmui kang khueh coeng.
16 Wewe, upanga! Nyooka upande wa kuume! Nyooka upande wa kushoto! Nenda popote ulipoelekeza uso wako.
Saih lamtah bantang phai, melam khaw na maelhmai te banvoei la khueh lamtah tuentah uh.
17 Kwa kuwa pia nitapiga mikono yangu miwili kwa pamoja (makofi), na kisha nitaleta ghadhabu yangu kwa waliobakia! Mimi, Yahwe, nimesema hivi!”
Kai khaw ka kut neh ka kut te ka ngawn daengah ni ka kosi ka hlam eh. He tah BOEIPA kamah long ni ka thui,” a ti.
18 Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
Te phoeiah BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
19 “Sasa wewe, mwanadamu, teua njia mbili kwa ajili ya upanga wa mfalme wa Babeli upate kuja. Njia hizo mbili zitaanza katika nchi moja, na kibao cha barabarani kitamwonyesha mmoja wao kama kuuelekea mji.
“Nang hlang capa aw Babylon manghai kah cunghang ha pawk ham longpuei rhoi te namah loh khueh laeh. Khohmuen pakhat lamloh ha thoeng rhoi saeh lamtah khopuei longpuei longcui ah kutngo suen la suen saeh.
20 Onyesha njia moja kwa ajili ya jeshi la Wababeli kuja Raba, mji wa Waamoni. Onyesha nyingine kuelekea jeshi la Yuda na mji wa Yerusalemu, ambayo imeimarishwa.
cunghang ha pawk ham longpuei te Ammon koca Rabbah taengah khaw, Judah taeng neh Jerusalem vong cak taegnah khaw khueh pah.
21 Kwa kuwa mfalme wa Babeli atasimama kwenye makutano ya barabara, kwenye njia panda, ili kufanya uganga. Alitingisha mishale na kuuliza mwelekeo kutoka kwa sanamu na atalichunguza ini.
Babylon manghai te longpuei caehtung kah longpuei longcoi rhoi ah bihma bi sak ham om ni. Te vaengah thaltang dongah a tap phoeiah sithui te a dawt vetih a thin duela a hmuh ni.
22 Katika mkono wake wa kuume kutakuwa na dalili kuhusu Yerusalemu, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya hiyo, kufungua kinywa chake kupanga kuchinja, kutoa sauti ya vita, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya malango, kujenga ngazi, na kusimamisha wima minara ya boma.
Tedae bihma tah Jerusalem te maehdoelh la khueh ham, ngawnkung taengah a ka ang sak ham, tamlung ol huel ham, vongka ah maehdoelh khueh ham, tanglung lun ham neh buep khoeng ham a bantang la a om pah ni.
23 Itaonekana kuwa ishara isiyofaa katika macho ya wale walio katika Yerusalemu, wale walioapa kiapo kwa Wababeli! Lakini mfalme atawashtaki kwa kuvunja sheria ya mkataba ili kuwabariki!
Tedae amih taengah a bi khaw, amih mikhmuh ah a poeyoek la a bi bangla om ni. Amih taengah olhlo neh aka toemngam khaw thaesainah tuuk pah ham aka poek ni te.
24 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote! Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu mtakamatwa kwa mkono wa adui yenu!
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Nangmih te namamih kathaesainah poek sak ham, na boekoeknah hliphen ham, na tholhnah phoe ham, nangmih kah khoboe rhamlang boeih dongah nangmih thoelh ham a kut neh n'tuuk uh ni.
25 Kama wewe, mchafu na mtawala mwovu wa Israeli, ambaye siku ya hukumu imekuja, na ambaye mda wa kufanya uovu umekoma,
Nang Israel khoboei hlang rhong neh halang aw, thaesainah a bawtnah tue kah a khohnin ha pawk coeng.
26 Bwana Yahwe asema hivi kwako: Toa kilemba na vua taji! Mambo hayatakuwa tena kama yalivyokuwa! Kiinue kilicho chini na kiinue kilichoinuka!
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Lupong te pit lamtah rhuisam khaw dul laeh. Te tlam moenih. Aka toem he sang tih aka sang te a kunyun sak.
27 Uharibifu! Uharibifu! Nitaiharibu! Haitakuwa tena hadi atakapokuja yeye ambaye ameteuliwa kutekeleza hukumu.
Paletnah, paletnah, paletnah te ka khueh ni. Laitloeknah te anih taengla a pawk due he khaw om pawt vetih anih te ka paek ni.
28 Basi wewe, mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi hawa ni watu wa Amoni kuhusiana na ujio wa aibu yao: Upanga, upanga umechirwa! Umenolewa kwa ajili ya kuchinja, hivyo utakuwa kama kimuli muli cha radi!
Nang hlang capa tonghma lamtah thui pah. Ka Boeipa Yahovah loh a thui he Ammon koca neh amih kokhahnah kawng ni. Te dongah, “cunghang, cunghang te phong lamtah rhaek bangla maeh hlap ham huen laeh.
29 Wakati manabii wameona maono ya uongo juu yako, wakati watakapofanya matambiko kuuijia kwa uongo juu yako, huu upanga utaanguka chini juu ya shingo za mwovu ambao wako karibu kuuawa, ambao siku ya ghadhabu imekuja na ambao mda wa uovu unakaribia kuisha.
Nang ham te a poeyoek la a hmuh tih nang te laithae neh halang rhok kah a rhawn ah voeih ham ni nang te m'bi. Thaesainah a bawtnah tue kah a khohnin ha pawk coeng.
30 Rudisha upanga kwenye gala yake. Katika mahali ulipoumbwa, katika nchi ya chimbuko lako, nitakuhukumu!
A capang khui la sang laeh. Na suen nah hmuen kah namah tuikong khohmuen ah nang te lai kan tloek ni.
31 Nitamwaga hasira yangu juu yako! Nitapuliza upepo wa moto wa ghadhabu juu yako na kukuweka kwenye mkono wa watu wakatili, watu wajuao kuangamiza!
Nang soah ka kosi ka hawk vetih ka thinpom hmai neh nang kan sat thil ni. Nang te kutthai kut al hlang rhoek kut ah kutcaihnah la kan tloeng ni.
32 Utakuwa kuni kwa ajili ya moto! Damu yako itakuwa kati ya nchi. Hutakumbukwa tena, kwa kuwa mimi, Yahwe nimesema hivi!”'
Hmai ham te toihthing la na poeh vetih na thii te khohmuen khui ah om ni. BOEIPA kamah loh ka thui coeng dongah nang m'poek uh mahpawh,” a ti.