< Ezekieli 20 >
1 Ikawa ikaja katika mwaka wa saba, siku ya kumi ya mwezi wa tano, wazee wa Israeli wakaja kumuuliza Yahwe na kuketi mbele yangu.
A kum sarinae thapa yung panga, hnin hra navah, Isarel kacuenaw ni BAWIPA pacei awh hanelah a tho awh teh, ka hmalah a tahung awh.
2 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Hahoi BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
3 “mwanadamu, tangaza kwa wazee wa Israeli na uwaambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Je! Mmekuja kuniuliza swali? Kama niishivyo, sitaulizwa swali na ninyi! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
tami capa, Isarel kacuenaw hah dei pouh. Ahnimouh koe Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, Nangmanaw ni kai lawk na pacei hanelah na ka tho awh e na ou. Ka hring e patetlah nangmouh ni na pacei awh hanelah kaawm hoeh, telah Bawipa Jehovah ni a dei tet pouh.
4 Je! Utawahukumu? Utamuhukumu, mwanadamu? Wajulishe kuhusu machukizo ya baba zao.
Lawk na ceng mahoeh na maw, tami capa lawkceng haw, a napanaw panuetthonae hah panuek sak awh.
5 Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku niliyoichagua Israeli na kuinua mkono wangu kuapa kiapo kwa uzao wa nyumba ya Yakobo, na kufanya kujulikana mimi mwenyewe kwao katika nchi ya Misri, wakati nilipoinua mkono wangu kuapa kiapo kwao. Nalisema, “Mimi ni Yahwe Mungu wenu”-
Hahoi ahni koevah, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Isarelnaw ka rawinae hnin koehoi, Jakop imthung ka rawi e naw koevah, kut ka dâw totouh Izip ram dawk ahnimouh koe ka kâpanue sak. Ahnimouh koe ka kut hah ka dâw teh, kai heh BAWIPA na Cathut doeh telah ka ti pouh.
6 siku hiyo niliinua mkono wangu kuapa kiapo kwa ajili yao kwamba nitawatoa kutoka nchi ya Misri kwenye nchi ambayo niliyokuwa nimeichagua kwa umakini kwa ajili yao. Ilikuwa ikitiririka maziwa na asali; ilikuwa nzuri sana utukufu miongoni mwa nchi mbali mbali.
Hot hnin dawk Izip ram hoi na tâcokhai teh ahnimouh han ram ka hruek pouh e khotui hoi sanutui a lawngnae ram, ram pueng thung dawk ram kahawipoung e ram koe kâenkhai hanelah ka kut ka dâw na hnin dawkvah,
7 Nikawaambia, “Kila mtu atupilie mabli mambo ya machukizo kutoka mbele ya macho yake na sanamu za Misri. Msijitie unajisi; mimi ni Yahwe Mungu wenu.”
ahnimouh koe tami pueng ni na mit hoi na hmu awh e hno panuettho e hah pahnawt awh nateh, Izip ram e meikaphawk hoi kâkhinsak hanh awh. Kai heh BAWIPA na Cathut lah ka o telah ka dei.
8 Lakini wameasi juu yangu hawakuwa tayari kunisikiliza. Kila mtu hakutupilia mbali mambo ya machukizo kutoka mbele ya macho yake wala kwa ajili ya sanamu za Misri, hivyo nikaona nimwage ghadhabu yangu juu yao kukamilisha hasira yangu miongoni mwao katikati ya nchi ya Misri.
Hateiteh kai hah na taran awh. Ka lawk ngai awh hoeh. Tami pueng e a mithmu vah hno panuettho e hai pahnawt awh laipalah hottelah hoi a lathueng vah ka lungkhueknae hah kamnue sak hanelah Izip ram thung roeroe vah, ka rabawk payon han na ou telah ka ti.
9 Nilifanya kwa ajili ya jina langu ili lisinajisiwe katika macho ya mataifa ambao walikaa pamoja nao. Nilijifanya mwenyewe kujulikana kwao, katika macho yao, kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.
Hateiteh, a onae Jentelnaw e a mithmu vah, ka min a pathoe thai awh hoeh nahan, ka kâroe teh, Izip ram hoi ahnimouh tâcokhai hanelah ahnimae mithmu vah ka panue sak.
10 Basi nikawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta kwenye jangwa.
Hatdawkvah, Izip ram tâco takhai hanelah, ka dei teh kahrawngum vah ka kâenkhai.
11 Kisha nikawapa amri zangu na kufanya maagizo yangu kujulikana kwao, kwa kila mwanadamu atakayezishika ataishi.
Ka phung lam hah ka poe teh, ka lawkcengnae ka hmu sak, hot hah tami ni tarawi pawiteh hottelah hoi a hring awh han.
12 Pia nikawapatia Sabato zangu kama ishara kati yangu na wao, ili wajue kwamba mimi ni Yahwe niwafanyao wawe watakatifu.
Hothloilah kai BAWIPA heh ahnimouh kathoungsakkung doeh tie a panue thai awh nahan, ka sabbath hai maimae rahak vah mitnout lah ka poe.
13 Lakini nyumba ya Israeli imeasi dhidi yangu jangwani. Hawakuenenda katika amri zangu; badala yake, wameyakataa maagizo yangu, ambayo mwanadamu ataishi kama akiyatii. Wamezinajisi Sabato zangu sana, basi nikasema nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani ili kuwamalliza.
Hateiteh, Isarel imthungnaw teh kahrawng vah kai na taranlahoi taran a thaw awh. Ka phunglawknaw hah tarawi awh hoeh. Ka lawkcengnae tarawi vaiteh hringnae lah kaawm hane hah a pahnawt awh. Kaie sabbath hai puenghoi a tapoe awh. Hottelah hoi kahrawngum vah ahnimouh he pahma hanelah ka lungkhueknae ka rabawk sin mahoeh na ou, telah a ka ti.
14 Lakini nilifanya kwa ajili ya jina langu hivyo lisinajisiwe katika macho ya mataifa, ambao niliwatoa mbele ya macho yao kutoka Misri.
Ka tâcokhai lahun nah, mit hoi kahmawtnaw e hmalah ka raphoe hoeh nahan, ka mit kâkaram lahoi ka kâroe.
15 Basi mimi mwenyewe pia nimeinua mkono wangu kuapa kiapo kwao jangwani sitawarudisha kwenye nchi ile niliyokuwa naenda kuwapatia, nchi inayotiririkayo maziwa na asali, ambayo ilikuwa nzuri sana ambayo ni nzuri kati ya nchi zote.
Hottelah hoehpawiteh, kahrawngum vah ka poe e khoitui hoi sanutui a lawngnae, ram pueng hlak kahawipoung e ram dawk kâenkhai mahoeh telah ka kut ka dâw totouh ka ti.
16 Nimeapa hivi kwa sababu walikataa maagizo yangu na kutotembea katika amri zangu, na wazikufuru Sabato zangu.
Ka lawkcengnae a pahnawt awh teh, ka phunglawknaw hah tarawi awh hoeh. Kaie sabbath hah a tapoe awh. Bangkongtetpawiteh, a lungthin teh meikaphawk koelah pou a kamlang awh.
17 Lakini jicho langu likawahurumia kutokana na uharibifu na sikuwaangamiza jangwani.
Hateiteh, he pahma hoeh nahanelah, ka mit a pasai teh kahrawngum hai he ka raphoe hoeh.
18 Nikawaambia watoto wao jangwani, “Msitembee kutokana na amri za wazazi wenu; msiweke maagizo yao au kujinajisi wenyewe kwa sanamu.
Hatei, kahrawngum vah a catounnaw koe, na mintoenaw e phunglawknaw hah, tarawi awh hanh, a lawkcengnae hai pâkuem awh hanh, hoehpawiteh a meikaphawknaw hoi hai kamhnawng awh hanh.
19 Mimi ni Yahwe Mungu wenu, tembeeni katika amri zangu; tunzeni maagizo yangu na kuyatii.
Kai teh BAWIPA na Cathut lah ka o, ka phunglawknaw tarawi awh nateh, ka lawkcengnae hah pâkuem awh nateh dawn awh.
20 Zitunzeni Sabato zangu takatifu ili kwamba zitakuwa ishara kati yangu na ninyi, hivyo basi mtajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wenu.”
BAWIPA na Cathut lah ka o tie na panue thai awh nahanelah, kaie sabbath hah tarawi awh nateh, maimae rahak vah mitnoutnae lah ao han telah ka ti.
21 Lakini watoto wao waliniasi. Hawakutembea kwenye sheria zangu au kushika maagizo yangu, ambazo mwanadamu ataishi kama akizitii. Wamezinajisi Sabato zangu, hivyo nimeamua kumwaga ghadhabu yangu juu yao kutimiza ghadhabu yangu dhidi yao katika jangwa.
Hatei, a catounnaw taran a thaw awh teh, ka phunglawk tarawi laipalah, lawk ka dei e tami ni kâhruetcuet lahoi a sak teh, a hring nahanelah kaawm e hah tarawi hanelah pâkuem awh hoeh. Kaie sabbath hai a tapoe awh. Kahrawngum vah kaie lungkhueknae kamnue sak hane lahoi ahnimae lathueng vah ka lungkhueknae hah ka rabawk sin payon han na ou, telah ka ti.
22 Lakini niliurudisha mkono wangu na kutenda kwa ajili ya jina langu, hivyo lisitiwe unajisi katika macho ya mataifa ambao mbele ya macho yao niliwatoa Waisraeli.
Hatei, ka kut ka hno teh, ka tâcokhai lahun nah kahmawtkung miphunnaw mithmu vah, pâmit lah o hoeh nahan, ka min kecu dawk ka kâroe.
23 Mimi mwenyewe pia nimeuinua mkono wangu kuapa juu yao jangwani, kwamba nitawatawanya kati ya maifa na kuwatawanya miongoni mwa nchi mabali mbali.
Hothloilah miphunnaw koevah, ahnimouh kâkayei sak vaiteh, ram tangkuem dawk kâkayei sak han telah kahrawngum vah kut ka dâw totouh ka dei toe.
24 Nimeamua kufanya hivi kwa kuwa hawakuzitii amri zangu, na tangu walipo zikataa sheria zangu na kuzinajisi Sabato zangu. Macho yao yalizitamani sanamu za baba zao.
Bangkongtetpawiteh, ka lawkcengnae tarawi awh laipalah, ka phunglawknaw noutna awh hoeh. Kaie sabbath hah a tapoe awh teh, a na mintoenaw e meikaphawk koelah a kangvawi awh.
25 Kisha niliwapa amri ambazo hazikuwa nzuri, na maagizo ambayo hawakuweza kuishi kwayo.
Hatdawkvah, a hring thai awh hoeh nahan lawkcengnae hoi phunglam kahawihoehe hah kai ni hai ka poe van.
26 Nikawafanya unajisi kwa zawadi zao wakati walipofanya dhabihu za kila limbuko la tumbo la uzazi na kutupa kwenye moto. Nalifanya hivi ili kuwaogofya hivyo wangeweza kujua kwamba mimi ni Yahwe!'
A camin pueng hmai dawk thueng hanelah, phung lah a tawn awh e thuengnae kecu dawk ahnimouh phurinbenpaha lah ka o sak teh, BAWIPA lah ka o tie a panue thai awh nahan, ahnimouh kakhin sak telah ati.
27 Kwa hiyo, mwanadamu, waambie nyumba ya Israeli na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika hili pia baba zenu walinikufuru wakati walipokuwa sio waaminifu kwangu.
Hatdawkvah, tami capa, Isarel imthung koe lawk dei nateh, ahnimouh koe Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, kai koe yuemkamcuhoeh lah a onae dawk hai na mintoenaw ni na dudam awh rah.
28 Wakati nilipowaleta kwenye nchi ambayo niliyokuwa nimewaapia kuwapatia, na kisha popote walipoona jiwe lolote refu na mti wenye majani, walitoa sadaka zao, walinikasirisha kwa sadaka zao, na huko pia walichoma ubani wao wa kunukia na kumwaga sadaka zao za kinywaji.
Ahnimouh poe hane ka kut ka dâw teh, thoe ka bo e ram hoi ka thokhai toteh, mon hoi thingbu ka rung poung a hmu awh nah tangkuem vah, thuengnae a poe awh teh, lungkhuek sak hanelah kaawm e hmaisawi thuengnae naw hah a poe awh. Hmuitui hai hote hmuen koe a thueng awh teh, nei thuengnae hai a awi awh.
29 Kisha nikawaambia, “Nini maana ya mahali palipoinuka ambapo mmeleta sadaka huko?” Hivyo jina lake linaitwa Bana hata leo.'
Kai ni ahnimouh koe ouk na ceinae hmuenrasang hah bang nama telah ka ti, hottelah hoi sahnin totouh bamah telah ati.
30 Kwa hiyo waambie nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Je! Kwa nini unajinajisi mwenyewe kwa njia za baba zako? Kwahiyo kwa nini unatenda kama makahaba, kutafuta kwa ajili ya mambo ya machukizo?
Hatdawkvah Isarel imthung koevah dei haw, Bawipa Jehovah ni telah a dei, na mintoenaw patetlah mahoima kâkhinsak teh panuettho e lam koelah na kâyawt awh nahoehmaw.
31 Kwa kuwa wakati mtoapo zawadi zenu na kuwaweka watoto wenu kwenye moto, siku hii mnajitia unajisi pamoja na sanamu zenu zote. Kwa hiyo kwa nini niwaache mniulize mimi, nyumba ya Israeli? Kama niishivyo-Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-Sitawaacha mniulize swali.
Bangkongtetpawiteh, na hmu awh na thueng awh toteh, na canaw hmai dawk na phum awh teh, sahnin totouh na meikaphawknaw dawk na kâkhinsak awh hoeh na maw, hottelah nangmanaw ni pouknae na hei awh hanelah ao na maw. Oe Isarel imthungnaw kai ka hring e patetlah na pacei awh hanelah kai kaawm hoeh telah Bawipa Jehovah ni a dei.
32 Mawazo yanayoumbika kwenye moyo wako hayatatokea kamwe. Mmesema, “Ngoja tuwe kama mataifa mengine, kama koo za nchi nyingine waabuduo mti na jiwe.”
Maimouh tengpam e Jentelnaw hoi Jentelnaw patetlah thing hoi talung bawk hanelah doeh telah na lungthin hoi na ti awh han eiteh, khoeroe coung thai mahoeh.
33 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-Nitatawala hakika juu yenu kwa mkono wenye nguvu, mkono ulionyooshwa, na ghadhabu itakayomwagwa juu yenu.
Kai ka hring e patetlah thaonae kut hoi, kut dâw nah laihoi, lungkhueknae kamnue sak e lahoi, na uk awh han, telah Bawipa Jehovah ni ati.
34 Nitawatoa kutoka kwa watu wengine na kuwakusanya kutoka kwenye nchi mlizotawanyika ndani mwao. Nitafanya hivi kwa mkono hodari na kwa ghadhabu iliyomwagika.
Miphunnaw thung hoi na tâcokhai han, na kâkayeinae ram thung hoi thaonae kut hoi kutdawnae hoi, lungkhueknae, ka rabawk vaiteh bout na pâkhueng han.
35 Kisha nitawaleta kwenye jangwa la watu, na huko nitawahukumu uso kwa uso.
Kahrawngkadi kaawm e koevah, na kâenkhai awh vaiteh, haw vah ka mithmu lah lawk na ceng awh han.
36 Kama nilivyo wahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, hivyo pia nitawahukumu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Izip ram kingdinae koe na mintoenaw lawk ka ceng e patetlah nangmouh koehai ka sak han telah Bawipa Jehovah ni ati.
37 Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, na nitawafanya kutii maagizo yangu ya agano.
Sonron rahim vah na ceisak awh teh, lawkkamnae kateknae a rahim na ceikhai awh han.
38 Nitawasafisha kutoka miongoni mwenu maasi na wale ambao walionichukiza. Nitawatoa kutoka nchi ambayo wanayoishi kama wageni, lakini hawataingia kwenye nchi ya Israeli. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Nangmouh thung hoi tarankathawnaw hoi kai taranlahoi kâeknae hah a onae ram koe hoi ka tâcokhai vaiteh, ka thoung sak han. Hateiteh, Isarel ram dawk kâen awh mahoeh. Hottelah BAWIPA lah ka o tie a panue awh han.
39 Basi kwenu, nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Kila mmoja wenu ataenda kwa sanamu zake mwenyewe. Muwaabudu kama mtakataa kunisikiliza, lakini hamtalikufuru tena jina langu takatifu kwa zawadi zenu na sanamu zenu.
Nangmouh hai Oe Isarel imthungnaw, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Ka lawk na ngai awh hoeh nahane pawiteh, atuhoi hai namamae meikaphawk lengkaleng bawk awh yawkaw, hatei kathounge ka min heh na poehno awh e lahoi, meikaphawknaw hno e lahoi na khin sak awh mahoeh.
40 Kwa kuwa juu ya mlima wangu mtakatifu, juu ya kilele cha mlima wa Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-wote wa nyumba ya Israeli mtaniabudu huko katika nchi. Nitabarikiwa kwa kutaka sadaka zenu huko, na pia malimbuko yenu ya shukrani pamoja na vitu vyenu vyote vitakatifu.
Bangkongtetpawiteh, kaie mon kathoung, Isarel a rasangnae mon dawkvah, hawvah Isarel imthungnaw hoi ram thung e pueng, hote ram dawk kaie thaw a tawk awh han toe. Hatdawkvah, ahnimae lathueng ka lung ahawi han. Hawvah, na poehno e hoi na thuengnae hoi na ya awh e hno pueng hah ka dâw han.
41 Nitawapokea kama harufu nzuri ya ubani wakati nitakapowatoa kutoka wale watu na kuwakusanya toka nchi ambazo mlizotawanyika. Nitajifunua mimi mwenyewe kama mtakatifu ndani yenu kwa ajili ya mataifa waone.
Miphunnaw thung hoi, na tâco sak awh toteh, ram tangkuem hoi na kâkayeinae thung hoi, bout na pâkhueng awh toteh, hmuitui patetlah na dâw awh han. Miphunnaw e a mithmu vah nangmouh koe ka thoungnae a kamnue han toe, telah Bawipa Jehovah ni a dei.
42 Kisha, wakati nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, kwenye nchi ambayo niliuinulia mkono wangu kuapa kuwapatia baba zenu, mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Isarel ram na mintoenaw koe ka kut ka dâw teh, thoe ka bo e lahoi ka kam e thung vah na kâenkhai awh navah, BAWIPA lah ka o e hah na panue awh han.
43 Kisha mtazikumbuka njia zenu mbaya huko, na matendo yenu yote machafu mliyoyafanya wenyewe, na mtajichukia wenyewe katika macho yenu kwa matendo yenu yote maovu mliyoyafanya.
Hawvah, na hringnuen hoi na tawk sak awh e na kâkhinsaknae pueng hah, na panue awh vaiteh, hawihoehnae na sak awh e pueng dawk, namamae na mithmu roeroe vah na kâpanuet awh han.
44 Hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe nifanyapo haya kwenu kwa ajili ya jina langu, sio kwa njia zenu mbaya au matendo yenu mabovu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Oe Isarel imthungnaw nangmae na yonae naw, nangmouh na thoenae na tawksaknae, kai ni nangmouh lawk na ceng mahoeh. Ka min kecu dawk nangmae lathueng ka sak toteh, BAWIPA lah ka o tie nangmouh ni na panue awh han, telah Bawipa Jehovah ni ati.
45 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Hothloilah, BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
46 “Mwanadamu, weka uso wako kuelekea nchi za kusini, na kuongea juu ya kusini; tabiri juu ya msitu wa Negebu.
tami capa, akalah kangvawi haw, akalae taranlahoi dei haw, akalae ratu taranlahoi dei haw.
47 Uuambie msitu wa Negebu, 'Hivi ndivyo Yahwe asemavyo-Bwana Yahwe asema hivi: Tazama, nitaweka moto ndani yako. Utakula kila mti mbichi na kila mti mkavu ndani yako. Miali ya moto haitazimika; na kila uso utokao kusini hata kaskazini utateketezwa kwa moto.
Akalae ram dawk kaawm e ratu koe patuen na dei pouh hane teh, BAWIPA e lawk thai haw, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, khenhaw! nang dawk hmai ka patawi vaiteh, na thung e thing kahring pueng hoi thingke pueng hai be a kak han, ka kang e hmai roum mahoeh, a ka lahoi atunglah totouh, kai na ka taran pueng hah be a kak awh han.
48 Kisha watu wote wenye mwili watajua yakwamba mimi ni Yahwe nimeuwasha moto, na hautazimika.”'
Moithangnaw ni kai BAWIPA heh hmai katâcawtsakkung doeh tie hah a hmu awh vaiteh, hmai roum mahoeh ati, telah tet pouh telah ati.
49 Kisha nimesema, Ee! Bwana Yahwe, Wananisema mimi, 'Je! yeye sio mwenye kusema mafumbo?”'
Hottelah kai ni Aiyoe! Bawipa Jehovah, bangnue rumramnae doeh a dei na tet payon vaih telah ka ti.