< Ezekieli 2 >

1 Akanambia, “Mwana wa adamu, simama kwa miguu yako; kisha nitaongea na wewe.”
and to say to(wards) me son: child man to stand: stand upon foot your and to speak: speak [obj] you
2 Kisha, alipokuwa akiongea na mimi, Roho akaingia ndani yangu na ikaniweka kwenye miguu yangu, na nikamsikia akiongea na mimi.
and to come (in): come in/on/with me spirit like/as as which to speak: speak to(wards) me and to stand: stand me upon foot my and to hear: hear [obj] to speak: speak to(wards) me
3 Akanambia, “Mwana wa adamu, nakutuma kwa watu wa Israeli, kwa mataifa yanayoasi ambayo yameasi dhidi yangu-wote wao na babu zao wameasi juu yangu hata hivi leo!
and to say to(wards) me son: child man to send: depart I [obj] you to(wards) son: descendant/people Israel to(wards) nation [the] to rebel which to rebel in/on/with me they(masc.) and father their to transgress in/on/with me till bone: same [the] day [the] this
4 Vizazi vyao vina sura za kikaidi na mioyo migumu. Nakutuma wewe kwenda kwao, na utawaambia, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
and [the] son: descendant/people severe face and strong heart I to send: depart [obj] you to(wards) them and to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God
5 Labda watasikia au hawatasikia. Ni nyumba za uasi, lakini angalau watajua kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.
and they(masc.) if to hear: hear and if to cease for house: household rebellion they(masc.) and to know for prophet to be in/on/with midst their
6 Wewe, mwanadamu, usiwaogope au maneno yao. Usiogope, ingawa utakuwa pamoja na mitemba na miiba na ijapokuwa unaishi na nge. Usiogope maneno yao au kuvunjika moyo kwa nyuso zao, kwa kuwa ni nyumba zenye kuasi.
and you(m. s.) son: child man not to fear from them and from word their not to fear for thorn and briar with you and to(wards) scorpion you(m. s.) to dwell from word their not to fear and from face their not to to be dismayed for house: household rebellion they(masc.)
7 Lakini utawaambia maneno yangu, labda watasikia au hapana, kwa sababu ni waasi mno.
and to speak: speak [obj] word my to(wards) them if to hear: hear and if to cease for rebellion they(masc.)
8 Lakini wewe, mwanadamu, silikiliza kile nisemacho kwako. Usiwe muasi kama nyumba za uasi. Fungua mdomo wako na ule kile ninachotaka kukupa!”
and you(m. s.) son: child man to hear: hear [obj] which I to speak: speak to(wards) you not to be rebellion like/as house: household [the] rebellion to open lip your and to eat [obj] which I to give: give to(wards) you
9 Kisha nikaona, na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu; ndani yake kulikuwa na hati ya kukunja.
and to see: see and behold hand to send: reach to(wards) me and behold in/on/with him scroll scroll: book
10 Akaikinjua mbele yangu; ilikuwa imeandikwa pande zote mbele na nyuma, na yalikuwa yameandikwa maombolezo kwenye hiyo hati ya kukunja, na huzuni, na ole.
and to spread [obj] her to/for face: before my and he/she/it to write face: before and back and to write to(wards) her dirge and moaning and woe

< Ezekieli 2 >