< Ezekieli 19 >
1 “Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
“Sen İsrail önderleri için şu ağıtı yak
2 na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
ve de ki, “‘Annen neydi? Aslanlar arasında dişi bir aslan! Genç aslanlar arasında yatar, Yavrularını beslerdi.
3 Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
Büyüttüğü yavrulardan biri Genç bir aslan oldu. Avını kapıp parçalamayı öğrendi, İnsan yiyen bir aslan oldu.
4 Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
Haberi uluslar arasında duyuldu. Kurdukları tuzağa düştü, Onu çengellerle Mısır'a sürüklediler.
5 Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
Dişi aslan bekledi, umudunun boşa çıktığını görünce, Yavrularından başka birini alıp Genç bir aslan olarak yetiştirdi.
6 Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
Yavru aslanlar arasında dolaşmaya başladı, Genç bir aslan oldu. Avını kapıp parçalamayı öğrendi, İnsan yiyen bir aslan oldu.
7 Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
Onların kalelerini yıktı, Kentlerini viraneye çevirdi. Ülkede yaşayan herkes Onun kükreyişinden dehşete düştü.
8 Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
Çevredeki uluslar üzerine geldiler, Ağlarını gerdiler, Onu tuzağa düşürdüler.
9 Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
Çengel takıp onu kafese koydular Ve Babil Kralı'na götürdüler. İsrail dağlarında kükreyişi bir daha duyulmasın diye Onu gözetim altında tuttular.
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
“‘Annen su kıyısındaki bağında Dikilmiş bir asma gibiydi. Bol su sayesinde dal budak saldı, Ürün verdi.
11 Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
Dalları kral asası olacak kadar güçlendi. Asma boy attı, Bulutlara dek yükseldi. Yüksekliği ve dallarının çokluğu Herkesçe görüldü.
12 Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
Ama onu öfkeyle kökünden söküp yere attılar. Doğu rüzgarı ürününü kuruttu. Güçlü dalları koparılıp kurudu, Ateş onları yakıp yok etti.
13 Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
Şimdi çöle, Kurak, susuz bir yere dikildi.
14 Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”
Gövdesi ateş aldı, Filizini, ürününü yakıp yok etti. Kral asası olacak kadar güçlü dalı kalmadı.’ Bu bir ağıttır ve ağıt olarak kalacaktır.”