< Ezekieli 19 >

1 “Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
Men gör en klagogråt öfver Israels Förstar;
2 na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
Och säg: Hvi ligger din moder lejinnan ibland lejinnorna, och uppföder sina ungar ibland de unga lejon?
3 Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
En af dem födde hon upp, och der vardt ett ungt lejon utaf, det vande sig till att rifva och uppäta menniskor.
4 Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
Då Hedningarna hörde sådant om det, grepo de det uti deras kulor, och förde det i kedjor in uti Egypti land.
5 Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
Då nu modren såg, sedan hon hade länge hoppats, att hennes hopp var borto, tog hon en annan af sina ungar, och gjorde der ett ungt lejon af.
6 Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
Då det vandrade ibland lejinnorna, vardt det ett ungt lejon, det också vandes till att rifva och uppäta menniskor.
7 Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
Det förderfvade deras hus och deras städer, så att landet, och hvad deruti var, grufvade sig för dess rytandes röst.
8 Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
Då lade Hedningarna sig af all land kringom det, och kastade ett nät öfver det, och grepo det i dess kulor;
9 Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
Och satte det uti ett galler, och förde det i kedjor till Konungen i Babel; och man lät förvara det, att dess röst intet mer skulle hörd varda på Israels bergom.
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
Din moder var lika som ett vinträ, som vid vatten planteradt var, och dess frukt och qvistar vuxo af det myckna vattnet;
11 Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
Att dess qvistar så starke vordo, att de till herraspiror dogde, och det vardt högt ibland vinträn. Och då man såg, att det så högt var och många qvistar hade,
12 Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
Vardt det i grymhet rifvet neder till jordena och förkastadt; östanväder förtorkade dess frukt, och dess starke qvistar vordo sönderbrutne, så att de borttorkades, och uppbrände vordo.
13 Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
Men nu är det planteradt i öknene, uti eno torro och törstigo lande.
14 Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”
Och en eld gick utaf dess starka qvistar, den förtärde dess frukt, så att der inge starka qvistar mer uppå äro till några herraspiro; det är en klagelig och jämmerlig ting.

< Ezekieli 19 >