< Ezekieli 19 >
1 “Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
Et toi, élève une complainte sur les princes d’Israël,
2 na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
et dis: Qu’était ta mère? Une lionne couchée parmi les lions, élevant ses petits au milieu des lionceaux.
3 Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
Et elle éleva un de ses petits; il devint un jeune lion et apprit à déchirer la proie; il dévora des hommes.
4 Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
Et les nations entendirent parler de lui; il fut pris dans leur fosse, et on le mena avec un anneau à ses narines dans le pays d’Égypte.
5 Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
Et quand elle vit qu’elle avait attendu [et] que son espoir avait péri, elle prit un [autre] de ses petits, [et] en fit un jeune lion;
6 Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
il marcha au milieu des lions, il devint un jeune lion et apprit à déchirer la proie; il dévora des hommes.
7 Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
Il connut leurs palais [désolés], et dévasta leurs villes, et le pays et tout ce qu’il contenait fut désolé par la voix de son rugissement.
8 Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
Alors, de [toutes] les provinces, les nations d’alentour se rangèrent contre lui, et étendirent sur lui leur filet: il fut pris dans leur fosse.
9 Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
Et elles le mirent dans une cage, avec un anneau à ses narines, et le menèrent au roi de Babylone; elles le menèrent dans une forteresse, afin que sa voix ne soit plus entendue sur les montagnes d’Israël.
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
Ta mère était comme une vigne, plantée près des eaux dans ton repos; elle était féconde et chargée de branches à cause des grandes eaux.
11 Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
Et elle avait des rameaux robustes pour des sceptres de dominateurs, et elle s’élevait haut au milieu de branches touffues, et elle était apparente par sa hauteur, par la multitude de ses rameaux.
12 Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
Mais elle fut arrachée avec fureur, jetée par terre, et le vent d’orient fit sécher son fruit; ses rameaux robustes ont été brisés et desséchés, le feu les a consumés.
13 Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
Et maintenant elle est plantée dans le désert, dans une terre sèche et aride.
14 Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”
Et un feu est sorti d’un rameau de ses branches [et] a consumé son fruit, et il n’y a pas en elle de rameau robuste, de sceptre pour dominer. C’est là une complainte, et ce sera une complainte.