< Ezekieli 19 >

1 “Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
and you(m. s.) to lift: loud dirge to(wards) leader Israel
2 na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
and to say what? mother your lioness between: among lion to stretch in/on/with midst lion to multiply whelp her
3 Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
and to ascend: establish one from whelp her lion to be and to learn: learn to/for to tear prey man to eat
4 Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
and to hear: hear to(wards) him nation in/on/with pit: grave their to capture and to come (in): bring him in/on/with hook to(wards) land: country/planet Egypt
5 Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
and to see: see for to wait: hope to perish hope her and to take: take one from whelp her lion to set: make him
6 Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
and to go: walk in/on/with midst lion lion to be and to learn: learn to/for to tear prey man to eat
7 Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
and to know widow his and city their to destroy and be desolate land: country/planet and fullness her from voice: sound roaring his
8 Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
and to give: put upon him nation around: side from province and to spread upon him net their in/on/with pit: grave their to capture
9 Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
and to give: put him in/on/with cage in/on/with hook and to come (in): bring him to(wards) king Babylon to come (in): bring him in/on/with stronghold because not to hear: hear voice his still to(wards) mountain: mount Israel
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
mother your like/as vine in/on/with blood your upon water to transplant be fruitful and thickly branched to be from water many
11 Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
and to be to/for her tribe: stick strength to(wards) tribe: staff to rule and to exult height his upon between cord and to see: see in/on/with height his in/on/with abundance branch his
12 Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
and to uproot in/on/with rage to/for land: soil to throw and spirit: breath [the] east to wither fruit her to tear and to wither tribe: stick strength her fire to eat him
13 Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
and now to transplant in/on/with wilderness in/on/with land: country/planet dryness and thirst
14 Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”
and to come out: issue fire from tribe: stick alone: pole her fruit her to eat and not to be in/on/with her tribe: stick strength tribe: staff to/for to rule dirge he/she/it and to be to/for dirge

< Ezekieli 19 >