< Ezekieli 18 >

1 Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
2 “Je mnamaana gani, ninyi mliotumia hii mithali kuhusiana na nchi ya Israeli na kusema, 'Wababa wamekula zabibu mbichi, na meno ya watoto imetiwa ganzi'?
« Pourquoi donc proférez-vous ce proverbe, au sujet du pays d’Israël: « Les pères mangent du verjus, et les dents des fils en sont agacées? »
3 Kama nishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hakutakuwa na fursa yoyote tena kwa ajili yenu kuitumia hii mithali katika Israeli.
Je suis vivant, — oracle du Seigneur Yahweh: Vous n’aurez plus lieu de proférer ce proverbe en Israël.
4 Tazama! Kila uhai ni mali yangu-uhai wa baba na uhai wa mwana pia, ni mali yangu! roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa!
Voici que toutes les âmes sont à moi: l’âme du fils comme l’âme du père est à moi; l’âme qui pèche sera celle qui mourra.
5 Itasemwaje kuhusu mtu mwenye haki na achukuaye yaliyo halali na haki-
Si un homme est juste et pratique le droit et la justice;
6 kama asipokula juu ya milima au kuinua macho yake kwa sananmu za nyumba ya Israeli, na hakumnajisi mke wa jirani yake, wala kumsemesha mwanamke katika kipindi chake cha mwezi, je! Yu mwenye haki?
s’il ne mange pas sur les montagnes et n’élève pas les yeux vers les idoles infâmes de la maison d’Israël; s’il ne déshonore pas la femme de son prochain et ne s’approche pas d’une femme pendant sa souillure;
7 Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakumkandamiza yeyote, na kumrudisha mdeni wake kwa kile kilichokuwa kimewekwa kwa ajili ya rehani, na hakuiba lakini kuwapatia chakula wenye njaa na kuwafunika uchi kwa nguo, je yu mwenye haki?
s’il n’opprime personne, s’il rend au débiteur son gage, s’il ne commet pas de rapines, s’il donne son pain à celui qui a faim et couvre d’un vêtement celui qui est nu;
8 Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakuchukua faida kubwa kwa ile pesa aliyokopa, na hakuchukua faida kubwa kwa kile alichokiuza?
s’il ne prête pas à usure et ne prend pas d’intérêt; s’il détourne sa main de l’iniquité; s’il juge selon la vérité entre un homme et un autre;
9 Amesemwa kwamba amechukua yaliyo halali na kuimarisha uaminifu kati ya watu. Kama huyo mtu akitembea katika sheria zangu na kuzishika hukumu zangu kufanya kwa uaminifu, kisha ahadi kwa ajili ya mtu mwenye haki ni hii: Ataishi hakika! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
s’il suit mes préceptes et observe mes lois, en agissant avec fidélité, celui-là est juste; il vivra — oracle du Seigneur Yahweh.
10 Lakini akizaa mwana mnyang'anyi mmwaga damu na kufanya mengi katika haya mambo kama yalivyotajwa hapa,
Mais cet homme engendre un fils violent, qui verse le sang et qui fait à son frère quelqu’une de ces choses,
11 hata kama baba yake hakufanya mojawapo katika haya mambo, lakini akala juu ya milima na akamnajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
— mais lui-même n’a pas fait toutes ces choses; — il mange sur les montagnes, il déshonore la femme de son prochain, il opprime le pauvre et le malheureux;
12 Huyu mtu huwakandamiza maskini na wahitaji, na huwakamata na kuwanyang'anya, na hawarudishii dhamana, na huyanua macho yake kwa sanamu na kufanya matendo maovu,
il commet des rapines, il ne rend pas le gage, il lève les yeux vers les idoles, il commet une abomination;
13 na hukopesha pesa kwa faida ya juu sana na kufanya faida kubwa juu ya anachokiuza, Je! huyo mtu ataishi? Hakika hataishi! Atakufa hakika na damu yake itakuwa juu yake kwa sababu amefanya haya mambo ya chuki.
il prête à usure et prend un intérêt, et il vivrait!... Il ne vivra pas; il a commis toutes ces abominations, il doit mourir; son sang sera sur lui.
14 Lakini Tazama! tuseme kuna mtu aliyezaa mwana, na mwana wake huona dhambi zote za baba yake alizozifanya, na kupitia kuziona, hakuyafanya hayo mambo.
Mais voici qu’un homme a engendré un fils; ce fils a vu tous les péchés qu’a commis son père; il les a vus et n’a rien fait de semblable.
15 Huyo mwana hakula juu ya milima, na hakuinua macho yake kwa sanamu za nyumba ya Israeli, na hakumtia unajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
Il n’a pas mangé sur les montagnes, il n’a pas levé les yeux vers les idoles infâmes de la maison d’Israël; il n’a pas déshonoré la femme de son prochain;
16 Yule mwana hakumkandamiza yeyote, au kutwaa dhamana, au kupoteza vitu, lakini badala yake kutoa chakula chake kwa wenye njaa na kuwafunika wenye uchi kwa nguo.
il n’a opprimé personne et n’a pas pris de gage, il n’a pas commis de rapines; il a donné son pain à l’affamé, il a couvert d’un vêtement celui qui était nu;
17 Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
il n’a pas fait peser sa main sur le pauvre, il n’a pris ni usure, ni intérêt; il a observé mes lois et suivi mes préceptes, — celui-là ne mourra pas pour l’iniquité de son père; il vivra certainement.
18 Baba yake, kwa kuwa aliwakandamiza wengine kwa nguvu nyingi na kumnyang'anya ndugu yake, na kufanya yasiyo mema miongoni mwa watu wake-tazama, atakufa katika uovu wake.
Son père qui a multiplié la violence, qui a pratiqué la rapine envers son frère et qui a fait ce qui n’était pas bien au milieu de son peuple, voici que lui, il mourra pour son iniquité.
19 Lakini ninyi husema, 'Kwa nini mwana asibebe uovu wa baba yake?' Kwa sababu mwana hubeba yaliyo halali na haki na kuzitunza amri zangu; huzifanya. Ataishi hakika!
Et vous dites: « Pourquoi le fils ne porte-t-il pas l’iniquité de son père? » Mais le fils a agi suivant le droit et la justice, il a observé tous mes préceptes et les a mis en pratique: il vivra certainement.
20 Yule atendaye dhambi, ndiye ambaye atakufa. Mwana hatabeba uovu wa baba yake, na baba hatabeba uovu wa mwana wake. Haki ya yule atendaye haki itakuwa juu yakwe mwenyewe, na uovu wa mwenye uovu utakuwa juu yake mwenyewe.
L’âme qui pèche, c’est elle qui mourra; le fils ne portera pas l’iniquité du père, et le père ne portera pas l’iniquité du fils; la justice du juste sera sur lui, et la méchanceté du méchant sera sur lui.
21 Lakini kama mwovu ageukapo kutoka dhambi zake zote alizofanya, na kuzitunza sheria zangu zote na kufanya yaliyo halali na haki, kisha hakika ataishi na hatakufa.
Quant au méchant, s’il se détourne de tous ses péchés qu’il commis, s’il observe tous mes préceptes et agit selon le droit et la justice, il vivra, il ne mourra pas.
22 Makosa yote aliyoyafanya hayatakumbukwa juu yake. Ataishi kwa hiyo haki aliyoitenda.
De toutes les transgressions qu’il a commises, on ne se souviendra plus; à cause de la justice qu’il a pratiquée, il vivra.
23 Je! Nitafurahia juu ya kifo cha mwovu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na sio katika kugeuka kwake kutoka njia yake ili kwamba aweze kuishi?
Prendrai-je plaisir à la mort du méchant, — oracle du Seigneur Yahweh? N’est-ce pas plutôt à ce qu’il se détourne de ses voies et qu’il vive?
24 Lakini kama mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki yake na kufanya maovu na kutenda machukizo kama machukizo yote ambayo mtu mwovu afanyayo, basi ataishi? Haki yake yote aliyoifanya haitakumbukwa wakati atakaponisaliti katika uhaini wake. Hivyo atakufa katika dhambi alizofanya.
Et si le juste se détourne de sa justice et qu’il commette l’iniquité, selon toutes les abominations que le méchant commet, — il les ferait et il vivrait!... — de toutes ses œuvres de justice qu’il a pratiquées, on ne se souviendra plus; à cause de la transgression dont il s’est rendu coupable et de son péché qu’il a commis, à cause de cela il mourra.
25 Lakini ninyi husema, 'Njia ya Bwana si sawa!' sikilizeni, nyumba ya Israeli! Je njia zangu haziko sawa? Je si njia ambazo haziko sawa?
Vous dites: « La voie du Seigneur n’est pas droite? » Ecoutez donc, maison d’Israël: Est-ce ma voie qui n’est pas droite? Ne sont-ce pas vos voies qui ne sont pas droites?
26 Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye makosa yake, na kufanya maovu na kufa kwa sababu ya hayo, kisha atakufa katika uovu ambao alioufanya.
Quand le juste se détourne de sa justice et commet l’iniquité, et que là-dessus il meurt, c’est à cause de l’iniquité qu’il à commise qu’il meurt.
27 Lakini wakati mtu mwovu ageukapo kutoka uovu wake alioufanya na kufanya yaliyo halali na haki, kisha ataulinda uhai wake.
Et si le méchant se détourne de sa méchanceté qu’il a pratiquée et qu’il agisse suivant le droit et la justice, il fera vivre son âme.
28 Kwa kuwa ameona na kugeuka kutokana na makosa yake yote ambayo aliyoyafanya. Hakika ataishi, na hatakufa.
S’il ouvre les yeux et se détourne de toutes ses transgressions qu’il a commises, il vivra certainement, et il ne mourra point.
29 Lakini nyumba ya Israeli husema, 'Njia ya Bwana haiko sawa!' Ni namna gani njia zangu si sawa, nyumba ya Israeli? Ni njia zenu ndizo si sawa.
Mais la maison d’Israël dit: « La voie du Seigneur n’est pas droite. » Sont-ce mes voies qui ne sont pas droites, maison d’Israël? Ne sont-ce pas vos voies qui ne sont pas droites?
30 Kwa hiyo nitamuhukumu kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake, nyumba ya Israeli! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. Tubuni na rudini kutoka kwenye makosa yenu yote ili kwamba wasiwe kikwazo cha uovu dhidi yenu.
C’est pourquoi je vous jugerai chacun selon ses voies, maison d’Israël, — oracle du Seigneur Yahweh. Détournez-vous et convertissez-vous de toutes vos transgressions, et l’iniquité ne deviendra pas votre ruine.
31 Tupilia mbali makosa yenu yote mliyoyafanya; jifanyieni moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, nyumba ya Israeli?
Rejetez loin de vous toutes les transgressions que vous avez commises; faites-vous un cœur nouveau et un esprit nouveau. Pourquoi mourriez-vous, maison d’Israël?
32 Kwa kuwa sifurahii kifo cha yule afaye-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo tubuni na muishi!”
Car je ne prends pas plaisir à la mort de celui qui meurt, — oracle du Seigneur Yahweh; convertissez-vous donc et vivez. »

< Ezekieli 18 >