< Ezekieli 15 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
In k meni je prišla Gospodova beseda, rekoč:
2 “Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
»Človeški sin: ›Kaj je trta boljša kakor katerokoli drevo ali kakor mladika, ki je med gozdnimi drevesi?
3 Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
Mar bo vzet njen les, da bi opravljal katerokoli delo? Ali bodo možje od nje vzeli klin, da bi nanj obesili katerokoli posodo?
4 Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
Glej, vržena je v ogenj za gorivo. Ogenj pogoltne oba njena konca in njena sreda je ožgana. Ali je primerna za kakršnokoli delo?
5 Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
Glej, ko je bila cela, ni bila primerna za nobeno delo. Kako veliko manj bo vendar ta primerna za kakršnokoli delo, ko jo je požrl ogenj in je ožgana?‹
6 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
Zato tako govori Gospod Bog: ›Kakor je trta med gozdnimi drevesi, ki sem jo izročil ognju za gorivo, tako bom izročil prebivalce Jeruzalema.
7 Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
Svoj obraz bom naravnal zoper njih. Šli bodo iz enega ognja, pa jih bo pogoltnil drug ogenj. In spoznali boste, da jaz sem Gospod, ko svoj obraz naravnam zoper njih.
8 Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Deželo bom naredil zapuščeno, ker so zagrešili prekršek, ‹ govori Gospod Bog.«

< Ezekieli 15 >