< Ezekieli 15 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
Un Tā Kunga vārds notika uz mani sacīdams:
2 “Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
Cilvēka bērns! Vai vīna koks pārāks par citu koku, vīna stīga, kas ir starp meža kokiem!
3 Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
Vai no tā ņem lietas koku, ko taisīt? Vai no tā ņem vadzi, pie tā pakārt kādu rīku?
4 Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
Redzi, ugunij to nodod par barību; uguns ēd viņa abus galus un apsvilina viņa vidu; vai tas vēl der kādai lietai?
5 Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
Redzi, kad tas vēl bija vesels, tad tas nederēja nekādai lietai, ne nu vēl, kad uguns to ēdis un apsvilinājis, vai no tā vēl ko var taisīt?
6 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
Tāpēc tā saka Tas Kungs Dievs: tā kā vīna koku starp meža kokiem Es nododu ugunij, lai to aprij, tā Es nodošu Jeruzālemes iedzīvotājus.
7 Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
Un Es pret tiem griezīšu Savu vaigu; no uguns tie iznākuši un uguns tos aprīs, lai jūs atzīstat, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es pret tiem griežu Savu vaigu.
8 Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Un Es darīšu to zemi par posta vietu, tāpēc ka tie visi no Manis atkāpušies, saka Tas Kungs Dievs.