< Ezekieli 15 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
son: child man what? to be tree: wood [the] vine from all tree: wood [the] branch which to be in/on/with tree [the] wood
3 Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
to take: take from him tree: wood to/for to make to/for work if: surely yes to take: take from him peg to/for to hang upon him all article/utensil
4 Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
behold to/for fire to give: give to/for food [obj] two end his to eat [the] fire and midst his to scorch to prosper to/for work
5 Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
behold in/on/with to be he unblemished: complete not to make: do to/for work also for fire to eat him and to scorch and to make: do still to/for work
6 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
to/for so thus to say Lord YHWH/God like/as as which tree: wood [the] vine in/on/with tree [the] wood which to give: give him to/for fire to/for food so to give: give [obj] to dwell Jerusalem
7 Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
and to give: put [obj] face my in/on/with them from [the] fire to come out: come and [the] fire to eat them and to know for I LORD in/on/with to set: make I [obj] face my in/on/with them
8 Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
and to give: make [obj] [the] land: country/planet devastation because be unfaithful unfaithfulness utterance Lord YHWH/God