< Ezekieli 15 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
HERRENs Ord kom til mig således:
2 “Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
Menneskesøn! Hvad har Vinstokken forud for alle andre Træer, Ranken, som står iblandt Skovens Træer?
3 Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
Tager man Gavntræ deraf? Eller tager man deraf en Knag til at hænge alskens Redskaber på?
4 Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
Når den så oven i købet har været givet Ilden til Føde, så at Ilden har fortæret begge dens Ender, og Midten er svedet, duer den så til noget?
5 Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
Se, da den endnu var uskadt, brugtes den ikke til noget, endsige at den skulde kunne bruges til noget nu, da Ilden har fortæret den og den er svedet.
6 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
Derfor, så siger den Herre HERREN: Som det går Vinstokken blandt Skovens Træer, hvilke jeg giver Ilden til Føde, således giver jeg Jerusalems Indbyggere hen;
7 Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
jeg vender mit Åsyn imod dem; af Ilden slap de ud, men Ild skal dog fortære dem; og I skal kende, at jeg er HERREN, når jeg vender mit Åsyn imod dem.
8 Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Og jeg gør Landet øde, fordi de var troløse, lyder det fra den Herre HERREN.

< Ezekieli 15 >