< Ezekieli 15 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
Hiti hin kahenga Pakaija kon in thukhat ahung lhunge.
2 “Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
“Mihem chapa, lengpigui chu thingphung toh iti kitekah thei ding ham? Lengpi gui hi thingphung tahbeh man bang banga kimang thei ding hinam?
3 Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
Hiche lengpigui thing chu thilkeuva kisem theija belho leh haipeh ho khaina kisem thei ding hinam?
4 Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
Ahipoi, tiding thing in bou akimangjin, hiche jeng jong chu bailam tah in acajou loichel jin ahi.
5 Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
Lengpigui chu meiya akiti masang hihen, akiti jou hijongleh pannabei ahibouve.
6 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
Chule hiche hi thanei tah Pakai thusei ahi. Jerusalem mite chu gammang thingphung lah a keh langpigui tobangbep bou ahiuve. Pannabei ahiuva kipatna chu keiman akavam dinga meilah a kalelut dingu ahi.
7 Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
Keiman meilah a kon in sohcha jong leu meikou dangkhat lah a lhalut kit thou thou ding ahi. Keiman amaho douna kaki hei teng, nangin keima hi Pakai kahi chu nahet doh ding ahi.
8 Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Kamite hi keija dinga tahsan umlou ahi jeh uva gamsung chu mihem chenna lou gam'a kasem ding tia,” keima thanei tah Pakaiyin kasei ahi.

< Ezekieli 15 >