< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
and to come (in): come to(wards) me human from old: elder Israel and to dwell to/for face: before my
2 Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
3 “Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
son: child man [the] human [the] these to ascend: establish idol their upon heart their and stumbling iniquity: crime their to give: put before face their to seek to seek to/for them
4 Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
to/for so to speak: speak with them and to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God man man from house: household Israel which to ascend: establish [obj] idol his to(wards) heart his and stumbling iniquity: crime his to set: make before face his and to come (in): come to(wards) [the] prophet I LORD to answer to/for him (to come (in): come *Q(K)*) in/on/with abundance idol his
5 Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
because to capture [obj] house: household Israel in/on/with heart their which be a stranger from upon me in/on/with idol their all their
6 Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
to/for so to say to(wards) house: household Israel thus to say Lord YHWH/God to return: repent and to return: repent from upon idol your and from upon all abomination your to return: turn back face your
7 Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
for man man from house: household Israel and from [the] sojourner which to sojourn in/on/with Israel and to dedicate from after me and to ascend: establish idol his to(wards) heart his and stumbling iniquity: crime his to set: put before face his and to come (in): come to(wards) [the] prophet to/for to seek to/for him in/on/with me I LORD to answer to/for him in/on/with me
8 Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
and to give: put face my in/on/with man [the] he/she/it and to set: make him to/for sign: indicator and to/for proverb and to cut: eliminate him from midst people my and to know for I LORD
9 Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
and [the] prophet for to entice and to speak: speak word I LORD to entice [obj] [the] prophet [the] he/she/it and to stretch [obj] hand: power my upon him and to destroy him from midst people my Israel
10 Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
and to lift: guilt iniquity: punishment their like/as iniquity: punishment [the] to seek like/as iniquity: punishment [the] prophet to be
11 Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
because not to go astray still house: household Israel from after me and not to defile still in/on/with all transgression their and to be to/for me to/for people and I to be to/for them to/for God utterance Lord YHWH/God
12 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
13 “Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
son: child man land: country/planet for to sin to/for me to/for be unfaithful unfaithfulness and to stretch hand: power my upon her and to break to/for her tribe: supply food: bread and to send: depart in/on/with her famine and to cut: eliminate from her man and animal
14 kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
and to be three [the] human [the] these in/on/with midst her Noah (Daniel *Q(K)*) and Job they(masc.) in/on/with righteousness their to rescue soul: life their utterance Lord YHWH/God
15 Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
if living thing bad: harmful to pass in/on/with land: country/planet and be bereaved her and to be devastation from without to pass from face: because [the] living thing
16 kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
three [the] human [the] these in/on/with midst her alive I utterance Lord YHWH/God if: surely no son: child and if: surely no daughter to rescue they(masc.) to/for alone them to rescue and [the] land: country/planet to be devastation
17 Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
or sword to come (in): bring upon [the] land: country/planet [the] he/she/it and to say sword to pass in/on/with land: country/planet and to cut: eliminate from her man and animal
18 kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
and three [the] human [the] these in/on/with midst her alive I utterance Lord YHWH/God not to rescue son: child and daughter for they(masc.) to/for alone them to rescue
19 Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
or pestilence to send: depart to(wards) [the] land: country/planet [the] he/she/it and to pour: pour rage my upon her in/on/with blood to/for to cut: eliminate from her man and animal
20 kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
and Noah (Daniel *Q(K)*) and Job in/on/with midst her alive I utterance Lord YHWH/God if: surely no son: child if: surely no daughter to rescue they(masc.) in/on/with righteousness their to rescue soul: life their
21 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
for thus to say Lord YHWH/God also for four judgment my [the] bad: harmful sword and famine and living thing bad: harmful and pestilence to send: depart to(wards) Jerusalem to/for to cut: eliminate from her man and animal
22 Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
and behold to remain in/on/with her survivor [the] to come out: send son: child and daughter look! they to come out: come to(wards) you and to see: see [obj] way: conduct their and [obj] wantonness their and to be sorry: comfort upon [the] distress: harm which to come (in): bring upon Jerusalem [obj] all which to come (in): bring upon her
23 Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
and to be sorry: comfort [obj] you for to see: see [obj] way: conduct their and [obj] wantonness their and to know for not for nothing to make: do [obj] all which to make: do in/on/with her utterance Lord YHWH/God

< Ezekieli 14 >