< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
And men from [the] elderly of Israel come to me, and sit before me.
2 Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
And there is a word of YHWH to me, saying,
3 “Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
“Son of man, these men have caused their idols to go up on their heart, and they have put the stumbling-block of their iniquity before their faces; am I inquired of at all by them?
4 Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
Therefore, speak with them, and you have said to them, Thus said Lord YHWH: Everyone of the house of Israel who causes his idols to go up to his heart, and sets the stumbling-block of his iniquity before his face, and has gone to the prophet—I, YHWH, have given an answer to him for this, for the abundance of his idols,
5 Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
in order to catch the house of Israel by their heart, in that they have become estranged from off Me by their idols—all of them.
6 Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
Therefore say to the house of Israel, Thus said Lord YHWH: Turn back, indeed, turn back from your idols, and turn back your faces from all your abominations,
7 Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
for everyone of the house of Israel, and of the sojourners who sojourn in Israel, who is separated from after Me, and causes his idols to go up to his heart, and sets the stumbling-block of his iniquity before his face, and has come to the prophet to inquire of him concerning Me, I, YHWH, have answered him for Myself;
8 Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
and I have set My face against that man, and made him for a sign, and for allegories, and I have cut him off from the midst of My people, and you have known that I [am] YHWH.
9 Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
And the prophet, when he is enticed, and has spoken a word—I, YHWH, have enticed that prophet, and have stretched out My hand against him, and have destroyed him from the midst of My people Israel.
10 Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
And they have borne their iniquity: as the iniquity of the inquirer, so is the iniquity of the prophet;
11 Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
so that the house of Israel does not wander from after Me anymore, nor are they defiled with all their transgressions anymore, and they have been to Me for a people, and I am to them for God—a declaration of Lord YHWH.”
12 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
And there is a word of YHWH to me, saying,
13 “Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
“Son of man, when the land sins against Me to commit a trespass, and I have stretched out My hand against it, and broken the staff of bread for it, and sent famine into it, and cut off man and beast from it—
14 kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
and [despite] these three men [that] have been in its midst: Noah, Daniel, and Job—they [only] deliver their own soul by their righteousness,” a declaration of Lord YHWH.
15 Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
“If I cause an evil beast to pass through the land, and it has bereaved, and it has been a desolation, without any passing through because of the beast—
16 kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
[despite] these three men in its midst—[as] I live,” a declaration of Lord YHWH, “they deliver neither sons nor daughters; they alone are delivered, and the land is a desolation.
17 Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
Or [if] I bring a sword in against that land, and I have said: Sword, pass over through the land, and I have cut off man and beast from it—
18 kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
and [despite] these three men in its midst—[as] I live,” a declaration of Lord YHWH, “they do not deliver sons and daughters, for they alone are delivered.
19 Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
Or [if] I send pestilence to that land, and I have poured out My fury against it in blood, to cut off man and beast from it—
20 kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
and [despite] Noah, Daniel, and Job, in its midst—[as] I live,” a declaration of Lord YHWH, “they deliver neither son nor daughter; they, by their righteousness, [only] deliver their own soul.”
21 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
For thus said Lord YHWH: “Although My four severe judgments—sword, and famine, and wild beast, and pestilence—I have sent to Jerusalem, to cut off man and beast from it,
22 Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
yet, behold, there has been left an escape in it, who are brought forth, sons and daughters, behold, they are coming forth to you, and you have seen their way, and their doings, and have been comforted concerning the calamity that I have brought in against Jerusalem, all that which I have brought in against it.
23 Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
And they have comforted you, for you see their way and their doings, and you have known that I have not done all that which I have done in her for nothing,” a declaration of Lord YHWH.

< Ezekieli 14 >