< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
Og der kom Mænd af Israels Ældste til mig og sade for mit Ansigt.
2 Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
Og Herrens Ord kom til mig saaledes:
3 “Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
Du Menneskesøn! disse Mænd have givet deres Afguder Plads i deres Hjerte, og hvad der var dem Anstød til at synde, have de stillet for deres Ansigt; skulde jeg vel lade mig adspørge for dem?
4 Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
Derfor tal med dem, og sig til dem: Saa siger den Herre, Herre: Enhver Mand af Israels Hus, som giver sine Afguder Plads i sit Hjerte og stiller, hvad der var ham Anstød til at synde, for sit Ansigt og saa kommer til Profeten: For ham vil jeg, Herren, lade mig bringe til at svare desangaaende, nemlig angaaende hans Afguders Mangfoldighed,
5 Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
for at jeg kan gribe Israels Hus ved deres Hjerte, fordi de vege fra mig alle sammen ved deres Afguder.
6 Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
Derfor sig til Israels Hus: Saa siger den Herre, Herre: Omvender eder, og vender eder bort fra eders Afguder, ja, vender eders Ansigter bort fra alle eders Vederstyggeligheder!
7 Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
Thi naar en Mand af Israels Hus eller af de fremmede, som opholde sig i Israel, skiller sig fra mig og giver sine Afguder Plads i sit Hjerte og stiller, hvad der var ham Anstød til at synde, for sit Ansigt og saa kommer til Profeten for at adspørge mig for sig: Ham vil jeg, Herren, lade mig bringe til at give et Svar fra mig selv.
8 Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
Og jeg vil rette mit Ansigt imod denne Mand og ødelægge ham, at han bliver til et Tegn og til et Ordsprog, og jeg vil udrydde ham af mit Folks Midte; og I skulle fornemme, at jeg er Herren.
9 Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
Men naar Profeten lader sig overtale og taler noget, da har jeg, Herren, ladet denne Profet overtales; og jeg vil udrække min Haand over ham og ødelægge ham ud af mit Folk Israels Midte.
10 Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
Og de skulle bære deres Misgerning; som hans Misgerning er, der adspørger, saa skal Profetens Misgerning være,
11 Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
for at de af Israels Hus ikke mere skulle fare vild fra mig ej heller besmitte sig mere med nogen af deres Overtrædelser; men de skulle være mit Folk, og jeg skal være deres Gud, siger den Herre, Herre.
12 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
Og Herrens Ord kom til mig saaledes:
13 “Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
Du Menneskesøn! naar et Land synder imod mig, saa at det bliver troløst imod mig, og jeg udrækker min Haand over det og formindsker Brøds Forraad for det, og jeg sender Hunger i det og udrydder Menneske og Fæ deraf,
14 kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
men der var disse tre Mænd, Noa, Daniel Og Job derudi: Da skulde disse alene redde deres Sjæl ved deres Retfærdighed, siger den Herre, Herre.
15 Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
Naatr jeg lader vilde Dyr gaa igennem Landet, og de berøve Folk deres Børn, og det blev øde, saa at ingen gaar der igennem for Dyrenes Skyld,
16 kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
men hine tre Mænd vare derudi, saa sandt jeg lever, siger den Herre, Herre: De skulde hverken redde Sønner eller Døtre; de selv alene skulde reddes, men Landet vorde øde.
17 Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
Eller naar jeg lader Sværdet komme over det samme Land, og jeg siger: Sværd! du skal fare igennem Landet, og jeg udrydder Menneske og Fæ deraf,
18 kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
men hine tre Mænd vare derudi, saa sandt jeg lever, siger den Herre, Herre: De skulde ikke redde Sønner eller Døtre; men de alene skulde reddes.
19 Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
Eller naar jeg sender Pest i det samme Land og udøser min Harme over det med Blod, saa at jeg udrydder Menneske og Fæ deraf,
20 kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
men Noa, Daniel og Job vare derudi, saa sandt jeg lever, siger den Herre, Herre: De skulde hverken redde Søn eller Datter; men de skulde redde deres egen Sjæl ved deres Retfærdighed.
21 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
Thi saa siger den Herre, Herre: Meget mere, naar jeg sender mine fire grumme Straffedomme over Jerusalem, nemlig: Sværd og Hunger og vilde Dyr og Pest for at udrydde Menneske og Fæ deraf,
22 Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
og se, der bliver nogle undkomne tilovers, som bortføres, Sønner og Døtre: Se, de skulle gaa ud til eder, og I skulle se deres Vej og deres Gerninger; og I skulle trøste eder over den Ulykke, som jeg lod komme over Jerusalem, ja, alt det, som jeg lod komme over den.
23 Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Og de skulle trøste eder, naar I se deres Vej og deres Gerninger; og I skulle erkende, at jeg intet har gjort uden Grund af alt det, som jeg gjorde derudi, siger den Herre, Herre.

< Ezekieli 14 >