< Ezekieli 13 >

1 Tena, neno la Yahwe likanijia, kusema,
Och Herrans ord skedde till mig, och sade:
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wanaotabiri katika Israeli, na uwaambie wale wanotabiri nje ya fikra zao wenyewe, 'Lisikilizeni neno la Yahwe.
Du menniskobarn, prophetera emot Israels Propheter, och säg till dem som utaf sitt eget hjerta prophetera: Hörer Herrans ord.
3 Bwana Yahwe asema hivi: Ole wao manbii wajinga ambao wafwatao roho zao wenyewe, lakini wale wasioona kitu!
Detta säger Herren Herren: Ve dem galna Prophetomen, som sin egen anda följa, och hafva dock ingen syn.
4 Israeli, manabii zako wamekuwa kama mbeha kwenye aridhi iliyoharibiwa na vita.
O Israel! dine Propheter äro lika som räfvar i öknene.
5 Hamkwenda kwenye nyufa katika ukuta uliozunguka nyumba ya Israeli kwa ajili ya kuukarabati, ili kupigana katika vita katika siku ya Yahwe.
De träda icke framför gapet, och göra sig icke till en mur omkring Israels hus, och stå intet i stridene på Herrans dag.
6 Watu wameona uongo na kufanya utabiri wa uongo, wale wasemao, “Hivi na hivi ndvyo Yahwe asemavyo.” Yahwe hajawatuma, lakini hata hivyo wamewafanya watu kutumaini kwamba ujumbe wao utakuwa kweli.
Deras syner äro intet, och deras Prophetie är icke utan lögn; de säga: Herren hafver det sagt; ändock Herren hafver intet sändt dem, och vinnlägga sig, att de kunna hålla sin ord vid magt.
7 Je hamkusikia maono ya uongo na kufanya utabiri wa uongo, ninyi msemao, “Hivi na hivi ndivyo Yahwe asemavyo” Wakati mimi mwenyewe sikuongea?'
Äro icke edra syner intet, och edor Prophetie alltsammans lögn? Och I sägen likväl: Herren hafver det sagt; ändock jag det intet sagt hafver.
8 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmesikia maono ya uongo na kuwaambia uongo-kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo dhidi yenu:
Derföre säger Herren Herren alltså: Efter I prediken det, der intet af varder, och propheteren lögn, så vill jag till eder, säger Herren Herren.
9 Mkono wangu utakuwa juu yenu ninyi manabii mliodanganya maono na wale waliofanya unabii wa uongo. Hawatakuwepo kwenye kusanyiko la watu wangu, au kuandikishwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli; hawataenda kwenye nchi ya Israeli. Kwa kuwa mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!
Och min hand skall komma öfver de Propheter, som predika det, der intet utaf varder, och prophetera lögn; de skola intet vara uti mins folks församling, och uti Israels hus tal icke beskrefne varda, eller komma uti Israels land; och I skolen förnimma, att jag är Herren Herren;
10 Kwa sababu hiyo, na kwa sababu wamewaongoza watu wangu kuwapotosha na kusema, “Amani!” wakati hakuna amani, wanajenga ukuta ambao wataupaka rangi ya chokaa.'
Derföre, att de förföra mitt folk, och säga: Frid, ändock der är ingen frid; folket bygger upp väggena; men de bestryka henne med lös kalk.
11 Waambie wale wanaopaka chokaa ukuta, 'Utaanguka chini; kutakuwa na mvua ya kufurika, na nitaleta mvua ya mawe kuufanya uanguke chini, na upepo wa dhoruba kupuliza hata kuuvunja chini.
Säg till de bestrykare, som med lösom kalk bestryka, att det varder affallandes; ty ett slagregn varder kommandes, och stort hagel fallandes, och en väderhvirfvel skall storma deruppå.
12 Tazama, ukuta utaanguka chini. Je wengine hawakuwaambia, “Iko wapi chokaa mliyoipaka juu yake?”
Si, så skall väggen falla; hvad gäller, man varder då till eder sägandes: Hvar är nu den bestrykningen, som I strukit hafven?
13 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitaleta upepo wa dhoruba katika ghadhabu yangu, na kutakuwa na mafuriko ya mvua kwenye ghadhabu yangu! Mvua ya mawe katika ghadhabu yangu itauharibu kabisa.
Detta säger Herren Herren: Jag skall låta storma en väderhvirfvel i mine grymhet, och ett slagregn i mine vrede, och stora hagelstenar i barm, de skola allt omkullslå.
14 Kwa kuwa nitaurarua chini ukuta ambao mlioufunika kwa chokaa, na nitaubomoa hata kwenye nchi na kuifunua misingi yake. Hivyo utaanguka, nanyi nyote mtaangamizwa katikati ya huo.
Och så skall jag omkullslå väggena, den I med lös kalk bestrukit hafven, och kasta henne till jordena, så att man skall se hennes grundval, att hon nedre ligger; och I skolen också derinne förgås, och förnimma att jag är Herren.
15 Ndivyo nitakavouangamiza kwa ghadhabu yangu ukuta na wale walioupaka chokaa. Nitawaambia, “Ukuta hautaonekana tena, wala watu wanaoupaka chokaa-
Alltså skall jag fullkomna mina grymhet på väggene, och uppå dem som henne med lösom kalk bestryka, och säga till eder: Här är hvarken vägg eller bestrykare.
16 manabii wa Israeli wale waliotabiri kuhusu Yerusalemu na wale waliokuwa wameona amani kwa ajili yake. Lakini hakuna amani! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Detta äro Israels Propheter, som till Jerusalem prophetera, och predika om frid, ändock der ingen frid är, säger Herren Herren.
17 Hivyo wewe, mwanadamu, weka uso wako dhidi ya binti za watu wako wale wanaotabiri kwa akili zao wenyewe, na kutabiri dhidi yao.
Och du menniskobarn, ställ ditt ansigte emot döttrarna i ditt folk, hvilka prophetera utaf sitt hjerta; och prophetera emot dem,
18 Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa wanawake washonao hiziri kwenye kila sehemu ya mkono wao na kutengeza vitambaa vya shela kwa ajili ya vichwa vyao kwa kila kipimo, ili kuwinda watu. Je mtawawinda watu wangu ila kuokoa maisha yenu wenyewe?
Och säg: Detta säger Herren Herren: Ve eder, som gören menniskomen hyende under armarna, och örnagott under hufvuden, både ungom och gamlom, till att fånga själar; när I nu hafven fångat själarna i mitt folk, så sägen I dem lif till;
19 Ninyi mmenikufuru mbele ya watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na vipande vya mkate, kuwaua watu ambao hawakutakiwa kufa, na kuyalinda maisha ya wale ambao hawatakiwi kuendelea kuishi, kwa sababu ya uongo wenu kwa watu wangu walio wasikiliza.
Och ohelgen mig i mitt folk, för en hand full med bjugg, och för en beta bröd, dermed att I dömen de själar till döds, som dock intet dö skulle, och dömen dem till lifs, som dock icke lefva skulle, genom edra lögn ibland mitt folk, som lögn gerna hörer.
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Niko kinyume dhidi ya hirizi ambazo mlizozitumia kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege. Naam, nitazichana kutoka kwenye mikono yenu; na wale watu mlio watega kama ndege-nitawaacha waende huru.
Derföre säger Herren Herren: Si, jag vill till edor hyende, der I själarna med gripen och förtrösten, och skall rycka dem bort undan edra armar, och de själar, som I gripen och förtrösten, lösa göra;
21 Nitavichana mbali vitambaa vya shela na kuwaokoa watu wangu kutoka kwenye mikono yangu, kwa hiyo hawatategwa tena kwenye mikono yenu. Mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
Och skall sönderrifva edor örnagott, och fria mitt folk utur edra hand, att I intet mer skolen gripa dem; och I skolen förnimma, att jag; är Herren;
22 Kwa sababu mmeuvunja moyo wa mtu mwenye haki kwa uongo, ingawa hata mimi sikutamani kuvunjwa kwake moyo, na kwa sababu mmemtia moyo badala yake matendo ya mtu mwovu ili kwamba asitaweze kurudi kutoka kwenye njia yake kuokoa maisha yake-
Derföre, att I falskeliga bedröfven de rättfärdigas hjerta, hvilka jag intet bedröfvat hafver, och hafven styrkt de ogudaktigas händer, så att de intet omvända sig ifrå sitt onda väsende, på det de måtte lefvande blifva.
23 kwa hiyo hamtayaona tena maono ya uongo au kuendelea kufanya utabiri, kwa kuwa nitawaokoa watu wangu kutoka kwenye mkono wako. Nanyi mtajua kwamba mimi ni Yahwe.'”
Derföre skolen I intet mer predika onyttiga läro, eller prophetera; utan jag skall fria mitt folk utur edra händer, och I skolen förnimma, att jag är Herren.

< Ezekieli 13 >