< Ezekieli 12 >

1 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwana wa adamu, unaishi kwenye nyumba ya uasi, wana macho ya kuona lakini hawaoni; na wana masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa sababu wao ni nyumba iliyoasi.
son: child man in/on/with midst house: household [the] rebellion you(m. s.) to dwell which eye to/for them to/for to see: see and not to see: see ear to/for them to/for to hear: hear and not to hear: hear for house: household rebellion they(masc.)
3 Kwa hiyo wewe mwanadamu, andaa mambo yako kwa ajili ya uhamisho, na anza kuondoka mchana usoni kwao, kwa kuwa nitakuhamisha kwenye uso wao kutoka sehemu yao kwenda sehemu nyingine. Labda wataanza kuona, kuwa wao ni nyumba ya uasi.
and you(m. s.) son: child man to make to/for you article/utensil captivity and to reveal: remove by day to/for eye: seeing their and to reveal: remove from place your to(wards) place another to/for eye: seeing their perhaps to see: examine for house: household rebellion they(masc.)
4 Utatoa vitu vyako kwa ajili ya kuhamisha mchana katika macho yao; toka jioni kwenye macho yao kama ambavyo uendavyo kwenye uhamisho.
and to come out: send article/utensil your like/as article/utensil captivity by day to/for eye: seeing their and you(m. s.) to come out: come in/on/with evening to/for eye: seeing their like/as exit captivity
5 Chimba shimo ukutani kwenye uso wa macho yao, na ingia ndani yake.
to/for eye: seeing their to dig to/for you in/on/with wall and to come out: send in/on/with him
6 Kwenye macho yao, chukua vitu vyako kwenye mabega yako, na uwalete kwenye giza. Funika uso wako kama ishara kwenye nyumba ya Israeli.”
to/for eye: seeing their upon shoulder to lift: raise in/on/with darkness to come out: send face your to cover and not to see: see [obj] [the] land: country/planet for wonder to give: make you to/for house: household Israel
7 Hivyo nikafanya hivyo, kama nilivyokuwa nimeamriwa. Nikatoa vitu vya uhamisho wakati wa mchana, na katika jioni nikachimba shimo hata kwenye ukuta kwa mkono. Nikachukua vitu vyangu kwenye giza, na kuviweka juu kwenye bega langu katika macho yao.
and to make: do so like/as as which to command article/utensil my to come out: send like/as article/utensil captivity by day and in/on/with evening to dig to/for me in/on/with wall in/on/with hand in/on/with darkness to come out: send upon shoulder to lift: bear to/for eye: seeing their
8 Kisha neno la Yahwe likanijia asubuhi, likisema,
and to be word LORD to(wards) me in/on/with morning to/for to say
9 Mwanadamu, je nyumba ya Israeli, ile ni nyumba ya uasi, hawakukwambia, 'Unafanya nini?'
son: child man not to say to(wards) you house: household Israel house: household [the] rebellion what? you(m. s.) to make: do
10 Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: hili tendo la kinabii linamhuusu mwana wa mfalme wa Yerusalemu, na nyumba yote ya Israeli walio kati yao.'
to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God [the] leader [the] oracle [the] this in/on/with Jerusalem and all house: household Israel which they(masc.) in/on/with midst their
11 Sema, 'Mimi ni ishara kwenu. Kama nilivyofanya, itafanyika kwao; watakwenda uhamishoni na kuwa wafungwa.
to say I wonder your like/as as which to make: do so to make: do to/for them in/on/with captivity in/on/with captivity to go: went
12 Yule mwana wa mfalme aliye miongoni mwao atavibeba vitu vyake kwenye bega lake katika giza, na ataenda zake kupitia kwenye ukuta. Watachimba kwenye ukuta na kutoa vitu vyao nje. Atafunika uso wake, hivyo hataona nchi kwa macho yake.
and [the] leader which in/on/with midst their to(wards) shoulder to lift: raise in/on/with darkness and to come out: come in/on/with wall to dig to/for to come out: send in/on/with him face his to cover because which not to see: see to/for eye he/she/it [obj] [the] land: country/planet
13 Nitausambaza wavu wangu juu yake naye atanaswa kwenye mtego wangu; kisha nitamleta Babeli, ncha ya Wakaldayo, lakini hataiona. Atafia huko.
and to spread [obj] net my upon him and to capture in/on/with net my and to come (in): bring [obj] him Babylon [to] land: country/planet Chaldea and [obj] her not to see: see and there to die
14 Pia nitatawatawanya katika kila mwelekeo wale wote waliomzunguka wanaomsaidia na jeshi lake lote, na nitaufuata upanga nyuma yao.
and all which around him (helper his *Q(K)*) and all band his to scatter to/for all spirit: breath and sword to empty after them
15 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapo watawanya kwenye nchi zote.
and to know for I LORD in/on/with to scatter I [obj] them in/on/with nation and to scatter [obj] them in/on/with land: country/planet
16 Lakini nitaacha kuwaangamiza watu wachache kutoka miongoni mwao kutoka kwenye upanga, njaa, na tauni, hivyo wanaweza kukumbuka maovu yao yote katika nchi zao nilipowachukulia, hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
and to remain from them human number from sword from famine and from pestilence because to recount [obj] all abomination their in/on/with nation which to come (in): come there and to know for I LORD
17 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
18 “Mwanadamu, kula mkate wako kwa kutetemeka, na kunywa maji yako kwa mtetemo na hofu.
son: child man food: bread your in/on/with quaking to eat and water your in/on/with quivering and in/on/with anxiety to drink
19 Kisha waambie watu wa nchi, 'Bwana Yahwe asema hivi kuhusiana na wale wakaao Yerusalemu, na nchi ya Israeli: Watakula mikate yao kwa kutetemeka na kunywa maji yao wakiwa wanatetemeka, kwa kuwa nchi itaporwa vitu vyote viijazavyo kwa sababu ya kuwa kinyume na waishio huko.
and to say to(wards) people [the] land: country/planet thus to say Lord YHWH/God to/for to dwell Jerusalem to(wards) land: soil Israel food: bread their in/on/with anxiety to eat and water their in/on/with horror to drink because be desolate land: country/planet her from fullness her from violence all [the] to dwell in/on/with her
20 Hivyo ile miji iliyokuwa wenyeji itachukuliwa, na nchi itakuwa ukiwa; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
and [the] city [the] to dwell to destroy and [the] land: country/planet devastation to be and to know for I LORD
21 Tena neno la Yahwe likanijia, likisema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
22 “Mwanadamu, je ni mithali gani hii mlio nayo katika nchi ya Israeli mliyoisema, 'Siku zimerefushwa, na kila ono linaanguka'?
son: child man what? [the] proverb [the] this to/for you upon land: soil Israel to/for to say to prolong [the] day and to perish all vision
23 Kwa hiyo, waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Nitaweka mwisho wa hii mithali, na watu wa Israeli hawataitumia tena.' Waambie, 'Siku zi karibu wakati kila ono litatimizwa.
to/for so to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God to cease [obj] [the] proverb [the] this and not to use a proverb [obj] him still in/on/with Israel that if: except if: except to speak: speak to(wards) them to present: come [the] day and word: promised all vision
24 Kwa kuwa hakutakuwa na maono ya uongo yoyote wala upendeleo wa mgawanyiko kati ya nyumba ya Israeli.
for not to be still all vision vanity: false and divination smooth in/on/with midst house: household Israel
25 Kwa kuwa mimi Yahwe! Nimesema, na nitayatiza yale maneno nilyoyasema. Hakuna kitu kitakacho chelewesha. Kwa kuwa nitaongea hili neno katika siku zenu, nyumba ya uasi, na nitalitimiza! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.””
for I LORD to speak: speak [obj] which to speak: speak word and to make: do not to draw still for in/on/with day your house: household [the] rebellion to speak: speak word and to make: do him utterance Lord YHWH/God
26 Tena neno la Yahwe likanijia, likisema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
27 “Mwanadamu! Tazama, nyumba ya Israeli imesema, 'Lile ono alionalo ni kwa siku nyingi kutoka sasa, na ametabiri kipindi kilicho mbali sana.'
son: child man behold house: household Israel to say [the] vision which he/she/it to see to/for day many and to/for time distant he/she/it to prophesy
28 Kwa hiyo waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Neno langu halitacheleweshwa sana, lakini lile neno nililoliongea litatimizwa-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.'”
to/for so to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God not to draw still all word my which to speak: speak word and to make: do utterance Lord YHWH/God

< Ezekieli 12 >