< Ezekieli 10 >

1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
И видех, и се, верху тверди сущия над главою Херувимов, яко камень сапфировый, подобие престола на них.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
И рече к мужу облеченому во утварь: вниди среде колес, яже под Херувимами, и наполни горсти твоя углия огненнаго от среды Херувимов и разсыпли на град. И вниде предо мною:
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
Херувими же стояху одесную дому, внегда вхождаше муж, и облак наполни двор внутренний.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
И воздвижеся слава Господня от Херувимов в непокровение дому, и наполни дом облак, и двор наполнися сияния славы Господни:
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
и глас крил Херувимских слышашеся даже до внешняго двора, якоже глас Бога Саддаи глаголющаго.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
И бысть внегда заповедаше мужу облеченому во утварь святую, глаголя: возми огнь от среды колес, иже среде Херувимов. И вниде и ста близ колес.
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
И простре Херувим руку свою в средину огня сущаго среде Херувимов, и взя и вдаде в руце оболченому во утварь святую, и взя и изыде.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
И видех Херувимы, и се, подобие рук человечих под крилы их.
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
И видех, и се, четыри колеса стояху держащеся Херувимов: коло едино держашеся единаго Херувима, и коло едино держашеся другаго Херувима: взор же колес якоже взор камения анфракса:
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
и взор их подобие едино четырем, акибы было коло в колеси:
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
внегда идяху, на четыри части их идяху, и не обращахуся внегда идяху: яко, на неже место аще зряше начало едино, идяху (вслед его), и не обращахуся, внегда ити им.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
Вся же телеса их и хребты их, и руце их и крила их и колеса полна очес окрест четырех колес.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
Колесам же сим воззвася гелгель, слышащу мне.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
Четыри же лица коемуждо их: единому лице херувимле, лице же другому лице человечо, третие же лице львово и четвертое лице орлее.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
И взяшася Херувими: сие есть животное, еже видех на реце Ховар.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
И егда идяху Херувими, идяху и колеса их, и сии держахуся их: и внегда воздвизаху Херувими крила своя, еже возвыситися от земли, не обращахуся колеса их, и та держахуся их:
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
егда стояху тии, стояху и они, и внегда возвышахуся тии, возвышахуся и они с ними: зане дух жизни бе в них.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
И изыде слава Господня от непокровения дому и взыде на Херувимы.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
И воздвигоша Херувими крила своя и возвысишася от земли предо мною: егда изыдоша тии, и колеса держахуся их: и сташа над преддверием врат Дому Господня, яже противу востоку, и слава Господа Бога Израилева бе над ними свыше.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
Сие животное есть, еже видех под Богом Израилевым на реце Ховар, и познах, яко Херувими суть.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Четыри лица единому, и четыри крила единому, и подобие рук человечих под крилы их.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
И подобие лиц их: сия лица суть, яже видех под славою Бога Израилева при реце Ховар воззрение их: и сия кождо прямо лицу своему идяху.

< Ezekieli 10 >