< Ezekieli 10 >

1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
And I saw and there! [was] to the expanse which [was] above [the] head of the cherubim like a stone of sapphire like [the] appearance of [the] likeness of a throne it appeared above them.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
And he said to the man - clothed of the linen and he said go to between the wheel to under the cherub and fill cupped hands your coals of fire from between the cherubim and sprinkle [them] on the city and he went to eyes my.
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
And the cherubim [were] standing from [the] south of the house when went he the man and the cloud it filled the court inner.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
And it rose [the] glory of Yahweh from on the cherub to [the] threshold of the house and it was filled the house the cloud and the court it was full [the] brightness of [the] glory of Yahweh.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
And [the] sound of [the] wings of the cherubim it was heard to the court outer like [the] sound of God Almighty when speaks he.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
And it was when commanded he the man clothed of the linen saying take fire from between the wheel from between the cherubim and he went and he stood beside the wheel.
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
And he stretched out the cherub hand his from between the cherubim into the fire which [was] between the cherubim and he lifted up [some] and he put [it] into [the] cupped hands of [the] [man] clothed of the linen and he took [it] and he went out.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
And it was seen to the cherubim [the] form of [the] hand of a human under wings their.
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
And I saw and there! four wheels [were] beside the cherubim a wheel one beside the cherub one and a wheel one beside the cherub one and [the] appearance of the wheels [was] like [the] appearance of a stone of chrysolite.
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
And appearance their a likeness one [belonged] to [the] four of them just as it was the wheel in [the] middle of the wheel.
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
When moved they to [the] four sides their they moved not they turned when moved they for the place which it turned the head after it they moved not they turned when moved they.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
And all body their and backs their and hands their and wings their and the wheels [were] full eyes all around [belonged] to [the] four of them wheels their.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
To the wheels to them it was called the wheel in ears my.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
And four faces [belonged] to one [the] face of the one [was] [the] face of the cherub and [the] face of the second [was the] face of a human and the third [face] [was the] face of a lion and the fourth [face] [was the] face of an eagle.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
And they rose the cherubim that [was] the living creature which I had seen at [the] river of Kebar.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
And when moved the cherubim they moved the wheels beside them and when lifted up the cherubim wings their to rise from on the earth not they turned the wheels also they from beside them.
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
When stood still they they stood still and when rose they they rose with them for [the] spirit of the living creature [was] in them.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
And it went out [the] glory of Yahweh from at [the] threshold of the house and it stood still above the cherubim.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
And they lifted up the cherubim wings their and they rose from the earth to eyes my when went out they and the wheels [were] close by them and it stood still [the] entrance of [the] gate of [the] house of Yahweh eastern and [the] glory of [the] God of Israel [was] above them from to above.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
That [was] the living creature which I had seen under [the] God of Israel at [the] river of Kebar and I knew that [were] cherubim they.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Four four faces [belonged] to one and four wings [belonged] to one and [the] likeness of [the] hands of a human [were] under wings their.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
And [the] likeness of faces their they [were] the faces which I had seen at [the] river of Kebar appearance their and them each to [the] side of face its they moved.

< Ezekieli 10 >