< Ezekieli 10 >
1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
And I look, and behold, on the expanse that [is] above the head of the cherubim, as a sapphire stone, as the appearance of the likeness of a throne, He has been seen over them.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
And He speaks to the man clothed with linen and says, “Go into the midst of the wheel, to the place of the cherub, and fill your hands with coals of fire from between the cherubim, and scatter over the city.” And he goes in before my eyes.
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
And the cherubim are standing on the right side of the house, at the going in of the man, and the cloud has filled the inner court,
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
and the glory of YHWH becomes high above the cherub, over the threshold of the house, and the house is filled with the cloud, and the court has been filled with the brightness of the glory of YHWH.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
And a noise of the wings of the cherubim has been heard in the outer court, as the voice of God—the Mighty One—in His speaking.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
And it comes to pass, in His commanding the man clothed with linen, saying, “Take fire from between the wheel, from between the cherubim,” and he goes in and stands near the wheel,
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
that the [one] cherub puts forth his hand from between the cherubim to the fire that [is] between the cherubim, and lifts up, and gives [it] into the hands of him who is clothed with linen, and he receives, and comes forth.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
And there appears in the cherubim the form of a hand of man under their wings,
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
and I look, and behold, four wheels near the cherubim, one wheel near one cherub, and another wheel near the other cherub, and the appearance of the wheels [is] as the color of a beryl stone.
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
And [as for] their appearances, [the] four had one likeness, as it were the wheel in the midst of the wheel.
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
In their going, they go on their four sides; they do not turn around in their going, for to the place to where the head turns, they go after it, they do not turn around in their going.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
And all their flesh, and their backs, and their hands, and their wings, and the wheels, are full of eyes all around—[the] wheels [the] four had.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
As for the wheels—they were called “Whirling Wheel” in my ears.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
And four faces [are] to each; the face of the first [is] the face of the cherub, and the face of the second [is] the face of man, and of the third the face of a lion, and of the fourth the face of an eagle.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
And the cherubim are lifted up, it [is] the living creature that I saw by the river Chebar.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
And in the going of the cherubim, the wheels go beside them; and in the cherubim lifting up their wings to be high above the earth, the wheels do not turn around, even they, from being beside them.
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
In their standing they stand, and in their exaltation they are exalted with them: for [the] spirit of the living creature [is] in them.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
And the glory of YHWH goes forth from off the threshold of the house, and stands over the cherubim,
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
and the cherubim lift up their wings, and are lifted up from the earth before my eyes; in their going forth, the wheels [are] also alongside them, and he stands at the opening of the east gate of the house of YHWH, and the glory of the God of Israel [is] over them from above.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
It [is] the living creature that I saw under the God of Israel by the river Chebar, and I know that they are cherubim.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
[The] four—each had four faces, and each had four wings, and the likeness of the hands of man [is] under their wings.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
And the likeness of their faces, they [are] the faces that I saw by the river Chebar, their appearances and themselves; they each go straight forward.