< Ezekieli 10 >

1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
And I saw, and behold, in the firmament that was over the heads of the cherubim, there appeared above them something like the sapphire stone, with the sight of the likeness of a throne.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
And he spoke to the man who was clothed with linen, and he said: “Enter, between the wheels that are under the cherubim, and fill your hand with the coals of fire that are between the cherubim, and pour them upon the city.” And he entered, in my sight.
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
Now the cherubim were standing before the right side of the house, when the man entered. And a cloud filled the inner court.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
And the glory of the Lord was lifted up, from above the cherubim, to the threshold of the house. And the house was filled with the cloud. And the court was filled with the splendor of the glory of the Lord.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
And the sound of the wings of the cherubim was heard even in the outer court, like the voice of Almighty God speaking.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
And when he had instructed the man who was clothed with linen, saying, “Take fire from the midst of the wheels that are between the cherubim,” he entered and stood next to the wheel.
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
And one cherub extended his hand, from the midst of the cherubim, to the fire that was between the cherubim. And he took and gave it into the hands of the one who was clothed with linen, and he accepted it and went forth.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
And there appeared amid the cherubim the likeness of the hand of a man, under their wings.
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
And I saw, and behold, there were four wheels beside the cherubim. One wheel was next to one cherub, and another wheel was next to another cherub. And the appearance of the wheels was like the sight of the chrysolite stone.
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
And in their appearance, each one of the four were similar, as if a wheel were in the midst of a wheel.
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
And when they went, they advanced in four parts. And they did not turn as they went. Instead, to the place to which they were inclined to go at first, the rest also followed, and they did not turn back.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
And their entire body, with their necks and their hands and their wings and the circles, were full of eyes all around the four wheels.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
And in my hearing, he called these wheels: “constantly changing.”
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
Now each one had four faces. One face was the face of a cherub, and the second face was the face of a man, and in the third was the face of a lion, and in the fourth was the face of an eagle.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
And the cherubim were lifted up. This is the living creature, which I had seen beside the river Chebar.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
And when the cherubim advanced, the wheels also went beside them. And when the cherubim lifted up their wings in order to be raised up from the earth, the wheels did not remain behind, but they also were beside them.
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
When they were standing, these stood still. And when they were lifted up, these were lifted up. For the spirit of life was in them.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
And the glory of the Lord went forth from the threshold of the temple, and stood above the cherubim.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
And the cherubim, lifting up their wings, were raised up from the earth in my sight. And as they went away, the wheels also followed. And it stood at the entrance to the east gate of the house of the Lord. And the glory of the God of Israel was over them.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
This is the living creature, which I saw under the God of Israel beside the river Chebar. And I understood that they were cherubim.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Each one had four faces, and each one had four wings. And the likeness of the hand of a man was under their wings.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
And, concerning the appearance of their faces, these were the same faces that I had seen beside the river Chebar, and the gaze and force of each one of them was to go before his face.

< Ezekieli 10 >