< Ezekieli 10 >

1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
Kagao thilmuna a chun songval dumjel songmantama kisem laltouna tobang khat chung langa song val set mai Cherubim luchung donna chun kamun ahi.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
Hichun tupat ponnem kisilpa jah chun, Cherubim noija kangtalai kang kipei teni kikah chun chen lang songmeihol am khu nakhut dimset galan lang khopi chunga khun gathe khum jeng tan; tin aseipeh in ahile kavet vet pettah chun aga boltai.
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
Mihempa agalut chun Cherubim houin leitol lhang langa chun adingin chule aloupina meibang lom chun leitol sung nung lang chu adimsetne.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
Hichun Pakai loupi chu Cherubim chung lang chung kikhang touvin houin kotphung lang chun achetai. Houin sung chu loupina meibang lom chu adimset in chu leitol lang chu Pakai loupina chu avah pem pum jenge.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
Cherubim lhaving kithin gin chun Hatchungnung Pathen ogin bang leitol polam geijin ahing kijaphan ahi.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
Tupat ponnem kisil mipa jah chun Pakaiyin hitin aseije “Chen lang Cherubim teni kikah a meihol am themkhat khu galan” ati. Hijeh chun mihempa chu achen akang ho lah a khat panga chun ana dinge.
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
Hichun Cherubim ho lah a khat chun akhut in ahin lhangdoh in meikou ho lah kon chu mei am phabep alan tupat ponnem kisilpa khut a chun akoi peh in, hiti chun mihem pa chun mei am ho chu alan achedoh tai.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
(Cherubim ho jouse chun alhaving noiju va chun mihem khut tobang bang anei cheh uve)
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
Kaven ahile Cherubim li ho khat cheh chun apang cheh uva kang anei cheh uvin, akang ho chu Beryl song bang apah lah lah e.
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
Akangli ho jouse akilimlo cheh un, chuleh kibanga kisem ahiuvin, kang khat cheh chun anichan kang ho chutoh khat leh khat kipei pel toh chet un ahi.
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
Cherubim ho chu akiuva angat nalang lang cheh uva kihei doh louhel a kitol jeng thei jiu ahi. Amaijun angat ngat nalanga kiheidoh louhel a jang keija kitol jiu ahi.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
Cherubim leh akang ho chu aniuva amit jeng amit jengin atom dimset e. cherubim ho chun atahsau dimset in mit anei uve. Akhut uva ahin, atungtun langu ahin, chuleh alhaving jouseuva jong aneiyu ahi.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
Kantalai kang ho khu kang kipeito ahi tia eikiseipeh kajan ahi.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
Cherubim liho chun maili cheh aneiyun, amasapen chun bonchal mai apun, anina chun mihem mai apun, athum channa chu keipi lim abangin, chuleh alichanna chun muvanlai lim apun ahi.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
Hichun Cherubim ho chu akaltou tauve. Amaho chu Kebar vadung pangah kamu ganho toh chun thakhat ahiuve.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
Cherubim ho chu akitol phat un akang ho jong chu ama toh chun akitol tha tauve. Amahon akeng dinga alhavingu akidop sang uva ahileh akang ho chu apangpeh uva aum chah kheh cheh uve.
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
Cherubim ho akingah phat uvin akang ho jong akinga tauve. Amaho alentou teng uleh akang ho jong akipat doh ji tauve. Ajeh chu ganhing ho lhagao chu akang ho a chu uma ahi.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
Hichun Pakai loupina chu houin kotphunga kon chun akitol doh in Cherubim ho chunga chun akilap den tai.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
Chuin keiman kavet vet pet tah chun Cherubim ho chu akang ho chutoh Pakai houin solam kelkot langa chun alenguve. Chuleh Israel Pathen loupina chu hiche ho chunga chun akilap den tai.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
Hiche ganhing hohi Kebar vadung panga kaum pet a Israel Pathen noija kana mu ho chu ahiuve. Amaho chu Cherubim ho ahiuve, ti keiman kahei.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Ijeh inem itile amaho chun maili cheh leh lhaving li cheh aneiyun chuleh alhanoi uva mihem khut tobang anei cheh uve.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
Chuleh amai hou chu Kebar vadung panga kanamu ganhing ho mai chutoh akibang chet un ahi. Aki u-chu adanga bangin jangpet in acheuvin ahi.

< Ezekieli 10 >