< Kutoka 9 >

1 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Nenda kwa Farao na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: “Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.”
And he said Yahweh to Moses go to Pharaoh and you will say to him thus he says Yahweh [the] God of the Hebrews let go people my so they may serve me.
2 Lakini ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma,
That except [are] refusing you to let [them] go and still you [are] keeping hold on them.
3 basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi ya mifugo yako shambani na kwa farasi, punda, ngamia, ng'ombe na kondoo, naitasababisha ugonjwa mbaya sana.
There! [the] hand of Yahweh [is] about to be on livestock your which [is] in the field on the horses on the donkeys on the camels on the cattle and on the sheep a pestilence heavy very.
4 Yahweh ata tendea tofauti mifugo ya Israeli na mifugo Misri: Haukuna mnyama wa Waisraeli ataye kufa.
And he will separate Yahweh between [the] livestock of Israel and between [the] livestock of Egypt and not it will die of all [that belongs] to [the] people of Israel anything.
5 Yahweh ametenga muda; amesema, “Ni kesho ambapo nitafanya ilitukio katika nchi."”'
And he set Yahweh an appointed time saying tomorrow he will do Yahweh the thing this in the land.
6 Yahweh akafanya hivi siku iliyofuata: mifugo yote ya Misri ikafa. Lakini hamna mnyama wa Waisraeli aliye kufa, hamna mnyama ata mmoja.
And he did Yahweh the thing this from [the] next day and it died all [the] livestock of Egypt and of [the] livestock of [the] people of Israel not it died one.
7 Farao akafanya utafiti, na tazama, hakuna mnyama ata mmoja aliye kufa. Lakini moyo wake ulikuwa mjeuri, hivyo hakuwaacha watu waende.
And he sent Pharaoh and there! not it had died any of [the] livestock of Israel up to one and it was unresponsive [the] heart of Pharaoh and not he let go the people.
8 Kisha Yahweh akawambia Musa na Aruni, “Chukuwa majivu na uyajaze mkononi kutoka kwenye tanuru. Wewe, Musa, lazima uyarushe juu wakati Farao akitazama.
And he said Yahweh to Moses and to Aaron take for yourselves [the] fullness of hands your soot of a furnace and he will sprinkle it Moses the heavens towards to [the] eyes of Pharaoh.
9 Yatakuwa vumbi safi nchi nzima ya Misri. Yatasababisha majipu na mafua kulipuka kwa watu na wanyama katika nchi yote ya Msri.”
And it will become dust over all [the] land of Egypt and it will become on humankind and on the livestock boil[s] breaking out blisters in all [the] land of Egypt.
10 Hivyo Musa na Aruni wakachukuwa majivu kutoka kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. KIsha Musa akarusha majivu juu. Majivu yakasababisha majipu na mafua kutokea kwa watu na wanyama.
And they took [the] soot of the furnace and they stood before Pharaoh and he sprinkled it Moses the heavens towards and it became boil[s] blisters breaking out on humankind and on the livestock.
11 Waganga hawakuweza kumzuia Musa kwasababu ya majipu, kwasababu majipu yalikuwa kwao na kwa Wamisri wote.
And not they were able the magicians to stand before Moses because of the boil[s] for it was the boil[s] on the magicians and on all Egypt.
12 Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Farao hakuwasikiliza Musa na Aruni. Hili ndilo Yahweh alilo mwambia Musa Farao atalo fanya.
And he made strong Yahweh [the] heart of Pharaoh and not he listened to them just as he had said Yahweh to Moses.
13 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Amka asubui mapema, simama mbele ya Farao, na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.
And he said Yahweh to Moses rise early in the morning and present yourself before Pharaoh and you will say to him thus he says Yahweh [the] God of the Hebrews let go people my so they may serve me.
14 Kwa muda huu nitatuma mapigo kwako wewe, kwa watumishi wako na watu wako. Nitafanya hivi ili ujue hakuna kama mimi kwenye dunia yote.
For - at the time this I [am] about to send all plagues my to heart your and on servants your and on people your in order that you may know that there not [is] like me in all the earth.
15 Mpaka sasa ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe na watu wako kwa ugonjwa, na ungeondelewa kwenye nchi.
For now I stretched out hand my and I struck you and people your with pestilence and you were destroyed from the earth.
16 Lakini ni kwa sababu hii nimekuruhusu uishi: ili kukuonyesha nguvu zangu, ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima.
And but for sake of this I have caused to stand you in order to see you power my and so as to recount name my in all the earth.
17 Bado unajiinua dhidi ya watu wangu kwa kuwaacha wasiende.
Still you [are] exalting yourself on people my to not to let go them.
18 Sikiliza! Kesho muda kama huu nita leta mvua ya mawe ya barafu kubwa, kama ambayo haijawai kuonekana Misri toka ilipo anza hadi sasa.
Here I [am] about to rain down about this time tomorrow hail heavy very which not it has been like it in Egypt from the day was founded it and until now.
19 Kisha sasa, tuma wanaume na ukusanye mifugo yako na vitu vyote ulivyo navyo mashambani sehemu salama. Kila mtu na mnyama aliyeko shambani na hajaletwa nyumbani - mawe ya barufu yatawashukia, na watakufa."”'
And therefore send bring to refuge livestock your and all that [belongs] to you in the field all the humankind and the livestock which it will be found in the field and not it will be gathered the house towards and it will come down on them the hail and they will die.
20 Kisha hao wa watumishi wa Farao walio amini ujumbe wa Yahweh waka harakisha kuleta watumwa na mifugo yao ndani ya nyumba zao.
The [one] fearing [the] word of Yahweh of [the] servants of Pharaoh he made to flee servants his and livestock his into the houses.
21 Lakini hao ambao hawa kuchukuwa ujumbe wa Yahweh maanani waliacha watumwa wao na mifugo shambani.
And [the one] who not he set heart his to [the] word of Yahweh and he left servants his and livestock his in the field.
22 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kuelekea mbingu ili kuwe na mawe ya barafu katika nchi yote ya Misri, kwa watu, kwa wanyama, na kwenye mimea yote shambani na nchi nzima ya Misri.”
And he said Yahweh to Moses stretch out hand your to the heavens so may it be hail in all [the] land of Egypt on the humankind and on the livestock and on all [the] vegetation of the field in [the] land of Egypt.
23 Musa akanyoosha mkono na gongo lake kuelekea mbiguni, na Yahweh akatuma mngurumo, mawe ya barafu, na radi kwenye nchi. Pia alinyesha mvua kwenye nchi ya Misri.
And he stretched out Moses staff his to the heavens and Yahweh he gave thunder claps and hail and it went fire [the] ground towards and he rained down Yahweh hail on [the] land of Egypt.
24 Hivyo kulikuwa na radi iliyo changanyika na mawe ya barafu, ilikuwa hatari sana, kuliko yeyote iliyowai kutokea kwenye nchi ya Misri tangu liwe taifa.
And it was hail and fire [was] flashing in [the] middle of the hail heavy very which not it had been like it in all [the] land of Egypt from then it had become a nation.
25 Katika nchi yote ya Misri, barafu ya mawe ilipiga kila kitu kwenye shamba, watu na wanyama. Ilipiga kila mmea shambani na kuvunja kila mti.
And it struck the hail in all [the] land of Egypt all that [was] in the field from humankind and unto livestock and all [the] vegetation of the field it struck the hail and every tree of the field it shattered.
26 Isipo kuwa tu nchi ya Gosheni, walipo ishi Waisraeli, hapakuwa na mawe ya barafu.
Only in [the] land of Goshen where [were] there [the] people of Israel not it was hail.
27 Kisha Farao akatuma wanaume wakawaite Musa na Aruni. Akawaambia, “Nimetenda dhambi wakati huu. Yahweh ni mwenye haki, na mimi na watu wangu ni waovu.
And he sent Pharaoh and he summoned Moses and Aaron and he said to them I have sinned this time Yahweh [is] the righteous [one] and I and people my [are] the guilty [ones].
28 Muombe Yahweh, kwasababu radi na barafu ya mawe imezidi. Nitawaacha muende, na hamtabaki tena hapa.”
Pray to Yahweh and [is too] much for being [the] thunder claps of God and [the] hail and I will let go you and not you will increase! to stay.
29 Musa akamwambia, “Nitakapo ondoka tu kwenye mji, nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh. Mngurumo utaacha, na hakutakuwa na barafu ya mawe tena. Kwa ili utajua kuwa nchi ni ya Yahweh.
And he said to him Moses when have gone out I the city I will spread out hands my to Yahweh the thunder claps they will cease! and the hail not it will happen again so that you may know that [belongs] to Yahweh the earth.
30 Lakini kwa wewe na watu wako, najua bado hamu mheshimu Yahweh Mungu.”
And you and servants your I know that not yet you fear! because of Yahweh God.
31 Sasa kitani na shayiri ziliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa katika kukomaa, na kitani ilikuwa imestawi.
And the flax and the barley it was struck for the barley [was] young barley ear[s] and the flax [was] bud.
32 Lakini ngano na kusemethu hazikupigwa mana zinachelewa kukua.
And the wheat and the spelt not they were struck for [are] late [crops] they.
33 Musa alipo muacha Farao na mji, alitanua mikono yake kwa Yahweh; mngurumo na barafu ya mawe ikasimama, na mvua haikunyesha tena.
And he went out Moses from with Pharaoh the city and he spread out hands his to Yahweh and they ceased the thunder claps and the hail and rain not it was poured out [the] earth towards.
34 Farao alipoona mvua, barafu ya mawe, na mngurumo umekatika, akatenda dhambi na kufanya moyo wake kuwa mgumu, pamoja na watumishi wake.
And he saw Pharaoh that it had ceased the rain and the hail and the thunder claps and he repeated to sin and he made heavy heart his he and servants his.
35 Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, hakuacha watu wa Israeli waende. Hivi ndivyo Yahweh alimwambia Musa Farao atafanya.
And it was strong [the] heart of Pharaoh and not he let go [the] people of Israel just as he had said Yahweh by [the] hand of Moses.

< Kutoka 9 >