< Kutoka 9 >

1 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Nenda kwa Farao na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: “Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.”
Then the Lord said to Moses: “Enter to Pharaoh, and say to him: ‘Thus says the Lord God of the Hebrews: Release my people, to sacrifice to me.
2 Lakini ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma,
But if you still refuse, and you retain them,
3 basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi ya mifugo yako shambani na kwa farasi, punda, ngamia, ng'ombe na kondoo, naitasababisha ugonjwa mbaya sana.
behold, my hand will be over your fields. And a very grievous pestilence will be upon the horses, and the donkeys, and the camels, and the oxen, and the sheep.
4 Yahweh ata tendea tofauti mifugo ya Israeli na mifugo Misri: Haukuna mnyama wa Waisraeli ataye kufa.
And the Lord will cause a miracle between the possessions of Israel and the possessions of the Egyptians, so that nothing at all will perish from those things which belong to the sons of Israel.”
5 Yahweh ametenga muda; amesema, “Ni kesho ambapo nitafanya ilitukio katika nchi."”'
And the Lord appointed a time, saying: “Tomorrow, the Lord will accomplish this word in the land.”
6 Yahweh akafanya hivi siku iliyofuata: mifugo yote ya Misri ikafa. Lakini hamna mnyama wa Waisraeli aliye kufa, hamna mnyama ata mmoja.
Therefore, the Lord accomplished this word the next day. And all the animals of the Egyptians died. Yet truly, of the animals of the sons of Israel, nothing at all perished.
7 Farao akafanya utafiti, na tazama, hakuna mnyama ata mmoja aliye kufa. Lakini moyo wake ulikuwa mjeuri, hivyo hakuwaacha watu waende.
And Pharaoh sent to see; neither was there anything dead of those things that Israel possessed. And the heart of Pharaoh was hardened, and he did not release the people.
8 Kisha Yahweh akawambia Musa na Aruni, “Chukuwa majivu na uyajaze mkononi kutoka kwenye tanuru. Wewe, Musa, lazima uyarushe juu wakati Farao akitazama.
And the Lord said to Moses and to Aaron: “Take handfuls of ashes from the oven, and let Moses sprinkle it into the air, in the sight of Pharaoh.
9 Yatakuwa vumbi safi nchi nzima ya Misri. Yatasababisha majipu na mafua kulipuka kwa watu na wanyama katika nchi yote ya Msri.”
And let there be dust upon all the land of Egypt. For there will be sores and swelling pustules on men and on beasts, throughout the entire land of Egypt.”
10 Hivyo Musa na Aruni wakachukuwa majivu kutoka kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. KIsha Musa akarusha majivu juu. Majivu yakasababisha majipu na mafua kutokea kwa watu na wanyama.
And they took ashes from the oven, and they stood in the sight of Pharaoh, and Moses sprinkled it in the air. And there came sores with swelling pustules on men and on beasts.
11 Waganga hawakuweza kumzuia Musa kwasababu ya majipu, kwasababu majipu yalikuwa kwao na kwa Wamisri wote.
Neither could the sorcerers stand in the sight of Moses, because of the sores that were on them and on all the land of Egypt.
12 Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Farao hakuwasikiliza Musa na Aruni. Hili ndilo Yahweh alilo mwambia Musa Farao atalo fanya.
And the Lord hardened the heart of Pharaoh, and he did not listen to them, just as the Lord said to Moses.
13 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Amka asubui mapema, simama mbele ya Farao, na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.
And the Lord said to Moses: “Rise up in the morning, and stand in the sight of Pharaoh, and you will say to him: ‘Thus says the Lord God of the Hebrews: Release my people to sacrifice to me.
14 Kwa muda huu nitatuma mapigo kwako wewe, kwa watumishi wako na watu wako. Nitafanya hivi ili ujue hakuna kama mimi kwenye dunia yote.
For at this turn, I will send all my plagues upon your heart, and upon your servants, and upon your people. So may you know that there is no one like me in all the earth.
15 Mpaka sasa ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe na watu wako kwa ugonjwa, na ungeondelewa kwenye nchi.
For now, extending my hand, I shall strike you and your people with pestilence, and you will perish from the earth.
16 Lakini ni kwa sababu hii nimekuruhusu uishi: ili kukuonyesha nguvu zangu, ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima.
But it was for this reason that I appointed you, so that I may reveal my strength by you, and so that my name may be described throughout all the earth.
17 Bado unajiinua dhidi ya watu wangu kwa kuwaacha wasiende.
Do you still retain my people, and are you still unwilling to release them?
18 Sikiliza! Kesho muda kama huu nita leta mvua ya mawe ya barafu kubwa, kama ambayo haijawai kuonekana Misri toka ilipo anza hadi sasa.
So then, tomorrow, at this same hour, I will rain down exceedingly great hail, such as has not been in Egypt from the day that it was founded, even until this present time.
19 Kisha sasa, tuma wanaume na ukusanye mifugo yako na vitu vyote ulivyo navyo mashambani sehemu salama. Kila mtu na mnyama aliyeko shambani na hajaletwa nyumbani - mawe ya barufu yatawashukia, na watakufa."”'
Therefore, send immediately and gather together your cattle, and all that you have in the field. For men and beasts, and all things that will be found outside, not gathered in from the fields, and on which the hail will fall, shall die.’”
20 Kisha hao wa watumishi wa Farao walio amini ujumbe wa Yahweh waka harakisha kuleta watumwa na mifugo yao ndani ya nyumba zao.
He who feared the word of the Lord among the servants of Pharaoh caused his servants and cattle to flee together into the houses.
21 Lakini hao ambao hawa kuchukuwa ujumbe wa Yahweh maanani waliacha watumwa wao na mifugo shambani.
But he who neglected the word of the Lord released his servants and cattle into the fields.
22 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kuelekea mbingu ili kuwe na mawe ya barafu katika nchi yote ya Misri, kwa watu, kwa wanyama, na kwenye mimea yote shambani na nchi nzima ya Misri.”
And the Lord said to Moses: “Extend your hand into the sky, so that there may be hail in the entire land of Egypt, on men, and on beasts, and on every plant of the field in the land of Egypt.”
23 Musa akanyoosha mkono na gongo lake kuelekea mbiguni, na Yahweh akatuma mngurumo, mawe ya barafu, na radi kwenye nchi. Pia alinyesha mvua kwenye nchi ya Misri.
And Moses extended his staff into the sky, and the Lord sent thunder and hail, and also lightning dashing across the earth. And the Lord rained down hail upon the land of Egypt.
24 Hivyo kulikuwa na radi iliyo changanyika na mawe ya barafu, ilikuwa hatari sana, kuliko yeyote iliyowai kutokea kwenye nchi ya Misri tangu liwe taifa.
And the hail and intermingled fire drove on together. And it was of such magnitude as had never before been seen in the entire land of Egypt, from the time when that nation was formed.
25 Katika nchi yote ya Misri, barafu ya mawe ilipiga kila kitu kwenye shamba, watu na wanyama. Ilipiga kila mmea shambani na kuvunja kila mti.
And the hail struck, throughout all the land of Egypt, everything that was in the fields, from man even to beast. And the hail struck down every plant of the field, and it broke every tree of the region.
26 Isipo kuwa tu nchi ya Gosheni, walipo ishi Waisraeli, hapakuwa na mawe ya barafu.
Only in the land of Goshen, where the sons of Israel were, did the hail not fall.
27 Kisha Farao akatuma wanaume wakawaite Musa na Aruni. Akawaambia, “Nimetenda dhambi wakati huu. Yahweh ni mwenye haki, na mimi na watu wangu ni waovu.
And Pharaoh sent and called Moses and Aaron, saying to them: “I have sinned even until now. The Lord is just. I and my people are impious.
28 Muombe Yahweh, kwasababu radi na barafu ya mawe imezidi. Nitawaacha muende, na hamtabaki tena hapa.”
Pray to the Lord, so that the thundering of God and the hail may cease, so that I may release you, and so that you may by no means remain here any longer.”
29 Musa akamwambia, “Nitakapo ondoka tu kwenye mji, nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh. Mngurumo utaacha, na hakutakuwa na barafu ya mawe tena. Kwa ili utajua kuwa nchi ni ya Yahweh.
Moses said: “When I have departed from the city, I will extend my hands to the Lord, and the thunders will cease, and the hail will not be, so that you may know that the earth belongs to the Lord.
30 Lakini kwa wewe na watu wako, najua bado hamu mheshimu Yahweh Mungu.”
But I know that both you and your servants do not yet fear the Lord God.”
31 Sasa kitani na shayiri ziliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa katika kukomaa, na kitani ilikuwa imestawi.
And so, the flax and the barley were damaged, because the barley was growing, and the flax was already developing grains.
32 Lakini ngano na kusemethu hazikupigwa mana zinachelewa kukua.
But the wheat and the spelt were not damaged, because they were late.
33 Musa alipo muacha Farao na mji, alitanua mikono yake kwa Yahweh; mngurumo na barafu ya mawe ikasimama, na mvua haikunyesha tena.
And Moses, departing from Pharaoh out of the city, reached out his hands toward the Lord. And the thunders and hail ceased, neither did there drop any more rain upon the land.
34 Farao alipoona mvua, barafu ya mawe, na mngurumo umekatika, akatenda dhambi na kufanya moyo wake kuwa mgumu, pamoja na watumishi wake.
Then Pharaoh, seeing that the rain, and the hail, and the thunders had ceased, added to his sin.
35 Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, hakuacha watu wa Israeli waende. Hivi ndivyo Yahweh alimwambia Musa Farao atafanya.
And his heart was weighed down, along with that of his servants, and it was hardened exceedingly. Neither did he release the sons of Israel, just as the Lord had instructed by the hand of Moses.

< Kutoka 9 >