< Kutoka 8 >

1 Kisha Yahweh akazungumza na Musa, “Nenda kwa Farao na umwambie, 'Yahweh anasema hivi: Acha watu wangu waende hili wakaniabudu.
Also the Lord seide to Moises, Entre thou to Farao, and thou schalt seie to hym, The Lord seith these thingis, Delyuere thou my puple, that it make sacrifice to me; sotheli if thou nylt delyuere, lo!
2 Ukikataa kuwaruhusu waende, nitaidhuru nchi yako yote kwa vyura.
Y schal smyte alle thi termys with paddoks;
3 Mito itajawa na vyura. Watatoka na kuingia nyumbani kwako, chumbani kwako, na kitandani kwako. Wataenda nyumbani mwa watumishi wako. Wataenda kwa watu wako, kwenye majiko yako, na vyombo vya kukandia mkate.
and the flood schal buyle out paddokis, that schulen stie, and schulen entre in to thin hows, and in to the closet of thi bed, and on thi bed, and in to `the hous of thi seruauntis, and in to thi puple, and in to thin ouenes, and in to the relyues of thi metis;
4 Vyura watakushambulia wewe, watu wako, na watumishi wako wote."”'
and the paddoks schulen entre to thee, and to thi puple, and to alle thi seruauntis.
5 Yahweh akamwambia Musa, “Mwambie Aruni, 'Nyoosha mkono wako na gongo lako kwenye mito, mifereji, na kwenye mabwawa, na uwatoe vyura juu ya nchi ya Misri.”'
And the Lord seide to Moises, Seie thou to Aaron, Hold forth thin hond on the floodis, and on the streemes, and mareis; and bryng out paddoks on the lond of Egipt.
6 Aruni akanyoosha mkono juu ya maji ya Misri, na vyura wakatoka na kujaza nchi ya Misri.
And Aaron helde forth the hond on the watris of Egipt; and paddoks stieden, and hileden the lond of Egipt.
7 Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao: waliwatoa vyura juu ya nchi ya Misri.
Forsothe and the witchis diden in lijk maner bi her enchauntementis; and thei brouyten forth paddoks on the lond of Egipt.
8 Kisha Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Muombeni Yahweh iliawaondoe vyura kwangu na kwa watu wangu. Kisha nitawaacha watu waende, iliwamtolee dhabihu.”
Forsothe Farao clepide Moises and Aaron, and seide to hem, Preie ye the Lord, that he do a wei the paddoks fro me, and fro my puple; and Y schal delyuere the puple, that it make sacrifice to the Lord.
9 Musa akamwambia Farao, “Unaweza chukuwa fursa ya kuniambia lini nikuombee wewe, watumishi wako, na watu wako, ili vyura waondolewe kwako na nyumbani kwako na wabaki tu kwenye mito.”
And Moises seide to Farao, Ordeyne thou a tyme to me, whanne Y schal preie for thee, and for thi seruauntis, and for thi puple, that the paddokis be dryuun awei fro thee, and fro thin hows, and fro thi seruauntis, and fro thi puple; and dwelle oneli in the flood.
10 Farao akasema, “Kesho.” Musa akasema, “Acha iwe kama ulivyo sema, ili kwamba ujue hakuna Mungu mwengine kama Yahweh, Mungu wetu.
And he answeride, To morewe. And Moises seide, Y schal do bi thi word, that thou wite, that noon is as oure Lord God; and the paddoks schulen go awei fro thee,
11 Vyura wataondoka kutoka kwako, nyumbani mwako, kwa watumishi wako, na kwa watu wako. Watabaki tu kwenye mito.”
and fro thin hous, and fro thi children, and fro thi seruauntis, and fro thi puple; and tho schulen dwelle oneli in the flood.
12 Musa na Aruni wakaondoka kwa Farao. Kisha Musa akamlilia Yahweh kuhusu hao vyura alio waleta kwa Farao.
And Moises and Aaron yeden out fro Farao. And Moises criede to the Lord, for the biheest of paddoks, which he hadde seid to Farao.
13 Yahweh akafanya kama Musa alivyo omba: Vyura wakafa kwenye nyumba, nyuani, na mashambani.
And the Lord dide bi the word of Moises; and the paddoks weren deed fro housis, and fro townes, and fro feeldis;
14 Watu wakawakusanya kwa mafungu, na nchi ikanuka.
and thei gaderiden tho in to grete heepis, and the lond was rotun.
15 Lakini Farao alipoona kuna afadhali, aliufanya moyo wake kuwa mgumu na hakumsikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema.
Sotheli Farao seiy that reste was youun, and he made greuous his herte, and herde not hem, as the Lord comaundide.
16 Yahweh akamwambia Musa, “Mwambie Aruni, 'Nyoosha gongo lako na upige udongo chini, iliuwe chawa kati nchi yote ya Misri.”'
And the Lord seide to Moises, Spek thou to Aaron, Holde forth thi yerde, and smyte the dust of erthe, and litle flies, ether gnattis, be in al the lond of Egipt.
17 Wakanya hivyo: Aruni akanyoosha mkono wake na gongo lake. Akaupiga udongo wa ardhi. Chawa wakaja juu ya watu na wanyama. Udongo wote kwenye ardhi ukawa chawa katika nchi ya Misri.
And thei diden so; and Aaron helde forth the hond, and helde the yerde, and smoot the duste of erthe; and gnattis weren maad in men, and in werk beestis; al the dust of erthe was turned in to gnattis bi al the lond of Egipt.
18 Wachawi walijaribu kufanya chawa kwa uganga wao lakini hawakuweza. Palikuwa na chawa kwa watu na kwa wanyama.
And witchis diden in lijk maner bi her enchauntementis, that thei schulden brynge forth gnattis, and thei miyten not; and gnattis weren as wel in men as in werk beestis.
19 Kisha wachawi wakamwambia Farao, “Hichi ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ulikuwa Mgumu, hivyo akakataa kuwasikiliza. Ilikuwa kama Yahweh alivyo sema Farao atafanya.
And the witchis seiden to Farao, This is the fyngur of God. And the herte of Farao was maad hard, and he herde not hem, as the Lord comaundide.
20 Yahweh akamwambia Musa, “Inuka asubui mapema na usimame mbele ya Farao anapoenda mtoni. Umwambie, 'Yahweh anasema hivi: “Acha watu wangu waende wakaniabudu mimi.
And the Lord seide to Moises, Rise thou eerli, and stonde bifore Farao, for he schal go out to the watris; and thou schalt seie to hym, The Lord seith these thingis, Delyuere thou my puple, that it make sacrifice to me;
21 Lakini usipo acha watu wangu waende nitatuma kundi la nzi kwako, watumishi wako, na watu wako, na kwenye nyumba zenu. Nyumba za wa Misri zitajawa na makundi ya nzi, na ata ardhi wanayo simama itajawa na nzi.
that if thou schalt not delyuere the puple, lo! Y schal sende in to thee, and in to thi seruauntis, and in to thi puple, and in to thin housis, al the kynde of flies; and the housis of Egipcians schulen be fillid with flies of dyuerse kyndis, and al the lond in which thei schulen be.
22 Lakini katika siku hiyo nitaitendea nchi ya Gosheni tofauti, nchi ambayo watu wangu wanaishi, ilikwamba kusiwe na makundi ya nzi huko. Hili litatokea ili kwamba mjue mimi ni Yahweh katika hii nchi.
And in that dai Y schal make wondurful the lond of Gessen, in which my puple is, that flies be not there; and that thou wite that Y am the Lord in the myddis of erthe;
23 Nitaweka utofauti kati ya watu wangu na watu wako. Hii ishara ya nguvu zangu itatokea kesho"”'
and Y schal sette departyng bitwixe my puple and thi puple; this signe schal be to morewe.
24 Yahweh akafanya hivyo, na kundi kubwa la nzi likaja nyumbani mwa Farao na nyumbani mwa watumishi wake. Katika nchi yote ya Misri, nchi iliharibiwa na makundi ya nzi.
And the Lord dide so. And a moost greuouse flie cam in to the hows of Farao, and of hise seruauntis, and in to al the lond of Egipt; and the lond was corrupt of siche flies.
25 Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Nendeni, mtolee Mungu wenu dhabihu kwenye nchi yetu.”
And Farao clepide Moises and Aaron, and seide to hem, Go ye, make ye sacrifice to `youre Lord God in this lond.
26 Musa akasema, “Sio vyema sisi kufanya hivyo, kwa kuwa dhabihu tunazo mtolea Yahweh Mungu wetu zinachukiza kwa Wamisri. Kama tutatoa dhabihu mbele ya macho yao zilizo chukizo kwa Wamisri, hawata tupiga mawe?
And Moises seide, It may not be so, for `we schulen offre to oure God the abhomynaciouns of Egipcians; that if we schulen sle bifore Egipcians tho thingis whiche thei worschipen, thei schulen `ouerleie vs with stoonus.
27 Hapana, ni safari ya siku tatu kwenda nyikani ambayo lazima tuende, ili kiutoa dhabihu kwa Yahweh Mungu wetu, kama anavyo tuamuru.”
We schulen go the weie of thre daies in to wildirnesse, and we schulen make sacrifice to oure Lord God, as he comaundide vs.
28 Farao akasema, “Nitakuruhusu kwenda kumtolea dhabihu Yahweh Mungu wenu nyikani. Ila usiende mbali sana. Niombee.”
And Farao seide, Y schal delyuere you, that ye make sacrifice to `youre Lord God in deseert; netheles go ye not ferthere; preie ye for me.
29 Musa akasema, “Wakati tu nitakapoenda kutoka kwako, nitamuomba Yahweh ili makundi ya nzi yatoke kwako, wewe Farao, na watumishi wako na watu kesho. Lakini usifanye udhalimu tena kwa kutowaacha watu wetu waende kumtolea dhabihu Yahweh.”
And Moises seide, Y schal go out fro thee, and Y schal preie the Lord; and the fli schal go awei fro Farao, and fro hise seruauntis, and puple to morewe; netheles nyle thou more disseyue me, that thou delyuere not the puple to make sacrifice to the Lord.
30 Musa akaenda nje kutoka kwa Farao na kumuomba Yahweh.
And Moises yede out fro Farao, and preiede the Lord, whiche dide bi the word of Moyses,
31 Yahweh akafanya kama Musa alivyo muomba: alitoa makundi ya nzi kutoka kwa Farao, watumishi wake, na watu wake. Hakuna ata mmoja aliye baki.
and took awei flies fro Farao, and fro hise seruauntis, and puple; noon lefte, `sotheli nether oon.
32 Lakini Farao aliufanya moyo wake mgumu tena, na hakuwaacha watu waende.
And the herte of Farao was maad hard, so that he delyueride not the puple, sothli nethir in this tyme.

< Kutoka 8 >