< Kutoka 8 >
1 Kisha Yahweh akazungumza na Musa, “Nenda kwa Farao na umwambie, 'Yahweh anasema hivi: Acha watu wangu waende hili wakaniabudu.
And he said Yahweh to Moses go to Pharaoh and you will say to him thus he says Yahweh let go people my so they may serve me.
2 Ukikataa kuwaruhusu waende, nitaidhuru nchi yako yote kwa vyura.
And if [are] refusing you to let [them] go here! I [am] about to strike all territory your with frogs.
3 Mito itajawa na vyura. Watatoka na kuingia nyumbani kwako, chumbani kwako, na kitandani kwako. Wataenda nyumbani mwa watumishi wako. Wataenda kwa watu wako, kwenye majiko yako, na vyombo vya kukandia mkate.
And it will swarm the River frogs and they will go up and they will go in house your and in [the] chamber of lying down your and on bed your and in [the] house of servants your and on people your and in ovens your and in kneading troughs your.
4 Vyura watakushambulia wewe, watu wako, na watumishi wako wote."”'
And on you and on people your and on all servants your they will go up the frogs.
5 Yahweh akamwambia Musa, “Mwambie Aruni, 'Nyoosha mkono wako na gongo lako kwenye mito, mifereji, na kwenye mabwawa, na uwatoe vyura juu ya nchi ya Misri.”'
And he said Yahweh to Moses say to Aaron stretch out hand your with staff your over the rivers over the canals and over the ponds and bring up the frogs on [the] land of Egypt.
6 Aruni akanyoosha mkono juu ya maji ya Misri, na vyura wakatoka na kujaza nchi ya Misri.
And he stretched out Aaron hand his over [the] waters of Egypt and it went up the frog[s] and it covered [the] land of Egypt.
7 Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao: waliwatoa vyura juu ya nchi ya Misri.
And they did thus the magicians by enchantments their and they brought up the frogs on [the] land of Egypt.
8 Kisha Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Muombeni Yahweh iliawaondoe vyura kwangu na kwa watu wangu. Kisha nitawaacha watu waende, iliwamtolee dhabihu.”
And he summoned Pharaoh Moses and Aaron and he said pray to Yahweh so may he remove the frogs from me and from people my and I will let go the people so they may sacrifice to Yahweh.
9 Musa akamwambia Farao, “Unaweza chukuwa fursa ya kuniambia lini nikuombee wewe, watumishi wako, na watu wako, ili vyura waondolewe kwako na nyumbani kwako na wabaki tu kwenye mito.”
And he said Moses to Pharaoh honor yourself over me to when? - will I pray for you and for servants your and for people your to cut off the frogs from you and from houses your only in the River they will remain.
10 Farao akasema, “Kesho.” Musa akasema, “Acha iwe kama ulivyo sema, ili kwamba ujue hakuna Mungu mwengine kama Yahweh, Mungu wetu.
And he said to tomorrow and he said according to word your so that you may know that there not [is] like Yahweh God our.
11 Vyura wataondoka kutoka kwako, nyumbani mwako, kwa watumishi wako, na kwa watu wako. Watabaki tu kwenye mito.”
And they will depart the frogs from you and from houses your and from servants your and from people your only in the River they will remain.
12 Musa na Aruni wakaondoka kwa Farao. Kisha Musa akamlilia Yahweh kuhusu hao vyura alio waleta kwa Farao.
And he went out Moses and Aaron from with Pharaoh and he cried out Moses to Yahweh on [the] matter of the frogs which he had appointed for Pharaoh.
13 Yahweh akafanya kama Musa alivyo omba: Vyura wakafa kwenye nyumba, nyuani, na mashambani.
And he did Yahweh according to [the] word of Moses and they died the frogs from the houses from the villages and from the fields.
14 Watu wakawakusanya kwa mafungu, na nchi ikanuka.
And people piled up them heaps heaps and it stank the land.
15 Lakini Farao alipoona kuna afadhali, aliufanya moyo wake kuwa mgumu na hakumsikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema.
And he saw Pharaoh that it had come the respite and he made heavy heart his and not he listened to them just as he had said Yahweh.
16 Yahweh akamwambia Musa, “Mwambie Aruni, 'Nyoosha gongo lako na upige udongo chini, iliuwe chawa kati nchi yote ya Misri.”'
And he said Yahweh to Moses say to Aaron stretch out staff your and strike [the] dust of the earth and it will become gnats in all [the] land of Egypt.
17 Wakanya hivyo: Aruni akanyoosha mkono wake na gongo lake. Akaupiga udongo wa ardhi. Chawa wakaja juu ya watu na wanyama. Udongo wote kwenye ardhi ukawa chawa katika nchi ya Misri.
And they did so and he stretched out Aaron hand his with staff his and he struck [the] dust of the ground and it was the gnat[s] on humankind and on the livestock all [the] dust of the ground it was gnats in all [the] land of Egypt.
18 Wachawi walijaribu kufanya chawa kwa uganga wao lakini hawakuweza. Palikuwa na chawa kwa watu na kwa wanyama.
And they did thus the magicians by enchantments their to bring forth the gnats and not they were able and it was the gnat[s] on humankind and on the livestock.
19 Kisha wachawi wakamwambia Farao, “Hichi ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ulikuwa Mgumu, hivyo akakataa kuwasikiliza. Ilikuwa kama Yahweh alivyo sema Farao atafanya.
And they said the magicians to Pharaoh [is] [the] finger of God it and it was strong [the] heart of Pharaoh and not he listened to them just as he had said Yahweh.
20 Yahweh akamwambia Musa, “Inuka asubui mapema na usimame mbele ya Farao anapoenda mtoni. Umwambie, 'Yahweh anasema hivi: “Acha watu wangu waende wakaniabudu mimi.
And he said Yahweh to Moses rise early in the morning and present yourself before Pharaoh there! [he is] going out the water towards and you will say to him thus he says Yahweh let go people my so they may serve me.
21 Lakini usipo acha watu wangu waende nitatuma kundi la nzi kwako, watumishi wako, na watu wako, na kwenye nyumba zenu. Nyumba za wa Misri zitajawa na makundi ya nzi, na ata ardhi wanayo simama itajawa na nzi.
That except not you [are] letting go people my here I [am] about to send on you and on servants your and on people your and on houses your the swarm and they will be full [the] houses of Egypt the swarm and also the ground which they [are] on it.
22 Lakini katika siku hiyo nitaitendea nchi ya Gosheni tofauti, nchi ambayo watu wangu wanaishi, ilikwamba kusiwe na makundi ya nzi huko. Hili litatokea ili kwamba mjue mimi ni Yahweh katika hii nchi.
And I will separate on the day that [the] land of Goshen which people my [is] standing on it to not to be there a swarm so that you may know that I [am] Yahweh in [the] midst of the land.
23 Nitaweka utofauti kati ya watu wangu na watu wako. Hii ishara ya nguvu zangu itatokea kesho"”'
And I will make a ransom between people my and between people your to tomorrow it will happen the sign this.
24 Yahweh akafanya hivyo, na kundi kubwa la nzi likaja nyumbani mwa Farao na nyumbani mwa watumishi wake. Katika nchi yote ya Misri, nchi iliharibiwa na makundi ya nzi.
And he did Yahweh so and it came a swarm massive [the] house of towards Pharaoh and [the] house of servants his and in all [the] land of Egypt it was ruined the land because of the swarm.
25 Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Nendeni, mtolee Mungu wenu dhabihu kwenye nchi yetu.”
And he summoned Pharaoh Moses and Aaron and he said go sacrifice to God your in the land.
26 Musa akasema, “Sio vyema sisi kufanya hivyo, kwa kuwa dhabihu tunazo mtolea Yahweh Mungu wetu zinachukiza kwa Wamisri. Kama tutatoa dhabihu mbele ya macho yao zilizo chukizo kwa Wamisri, hawata tupiga mawe?
And he said Moses not [is] established to do thus for [the] abomination of Egypt we will sacrifice to Yahweh God our here! we will sacrifice [the] abomination of Egypt to eyes their and not will they stone? us.
27 Hapana, ni safari ya siku tatu kwenda nyikani ambayo lazima tuende, ili kiutoa dhabihu kwa Yahweh Mungu wetu, kama anavyo tuamuru.”
A journey of three days we will go in the wilderness and we will sacrifice to Yahweh God our just as he says to us.
28 Farao akasema, “Nitakuruhusu kwenda kumtolea dhabihu Yahweh Mungu wenu nyikani. Ila usiende mbali sana. Niombee.”
And he said Pharaoh I I will let go you and you will sacrifice to Yahweh God your in the wilderness only certainly not you must be far away to go pray for me.
29 Musa akasema, “Wakati tu nitakapoenda kutoka kwako, nitamuomba Yahweh ili makundi ya nzi yatoke kwako, wewe Farao, na watumishi wako na watu kesho. Lakini usifanye udhalimu tena kwa kutowaacha watu wetu waende kumtolea dhabihu Yahweh.”
And he said Moses here! I [am] about to go out from with you and I will pray to Yahweh and he will turn aside the swarm from Pharaoh from servants his and from people his tomorrow only may not he repeat Pharaoh to deceive to not to let go the people to sacrifice to Yahweh.
30 Musa akaenda nje kutoka kwa Farao na kumuomba Yahweh.
And he went out Moses from with Pharaoh and he prayed to Yahweh.
31 Yahweh akafanya kama Musa alivyo muomba: alitoa makundi ya nzi kutoka kwa Farao, watumishi wake, na watu wake. Hakuna ata mmoja aliye baki.
And he did Yahweh according to [the] word of Moses and he turned aside the swarm from Pharaoh from servants his and from people his not it remained one.
32 Lakini Farao aliufanya moyo wake mgumu tena, na hakuwaacha watu waende.
And he made heavy Pharaoh heart his also at the time this and not he let go the people.