< Kutoka 7 >

1 Yahweh akasema na Musa, “Ona, nimekufanya kama mungu kwa Farao. Aruni kaka yako atakuwa nabii wako.
and to say LORD to(wards) Moses to see: behold! to give: make you God to/for Pharaoh and Aaron brother: male-sibling your to be prophet your
2 Utasema kila kitu nitacho kuamuru kusema. Aruni kaka yako ata sema na Farao iliawaachie watu wa Israeli watoke kwenye nchi yake.
you(m. s.) to speak: speak [obj] all which to command you and Aaron brother: male-sibling your to speak: speak to(wards) Pharaoh and to send: let go [obj] son: descendant/people Israel from land: country/planet his
3 Lakini nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na nitaonyesha ishara nyingi za nguvu zangu, maajabu mengi, katika nchi ya Misri.
and I to harden [obj] heart Pharaoh and to multiply [obj] sign: miraculous my and [obj] wonder my in/on/with land: country/planet Egypt
4 Lakini Farao hata kusikiliza, kwahiyo nitaueka mkono wangu juu ya Misri na kutoa makundi yangu ya wanaume wapiganaji, watu wangu, wazao wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa matendo makubwa ya hukumu.
and not to hear: hear to(wards) you Pharaoh and to give: put [obj] hand my in/on/with Egypt and to come out: send [obj] army my [obj] people my son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt in/on/with judgment great: large
5 Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitapo nyoosha mkono wangu kwa Misri na kuwatoa Waisraeli kutoka miongoni mwao.”
and to know Egyptian for I LORD in/on/with to stretch I [obj] hand my upon Egypt and to come out: send [obj] son: descendant/people Israel from midst their
6 Musa na Aruni wakafanya hivyo; walifanya kama Yahweh alivyo waamuru.
and to make: do Moses and Aaron like/as as which to command LORD [obj] them so to make: do
7 Musa alikuwa na miaka themanini, na Aruni miaka themanini na tatu walipo ongea na Farao.
and Moses son: aged eighty year and Aaron son: aged three and eighty year in/on/with to speak: speak they to(wards) Pharaoh
8 Yahweh akamwambia Musa na Aruni,
and to say LORD to(wards) Moses and to(wards) Aaron to/for to say
9 “Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka.”'
for to speak: speak to(wards) you Pharaoh to/for to say to give: make to/for you wonder and to say to(wards) Aaron to take: take [obj] tribe: rod your and to throw to/for face: before Pharaoh to be to/for serpent: snake
10 Kisha Musa na Aruni wakaenda kwa Farao, na wakafanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni akarusha chini gongo lake mbele ya Farao na watumishi wake, na likageuka nyoka.
and to come (in): come Moses and Aaron to(wards) Pharaoh and to make: do so like/as as which to command LORD and to throw Aaron [obj] tribe: rod his to/for face: before Pharaoh and to/for face: before servant/slave his and to be to/for serpent: snake
11 Kisha naye Farao akawaita wazee wenye hekima na wachawi. Wakafanya jambo hilo hilo kwa uchawi wao.
and to call: call to also Pharaoh to/for wise and to/for to practice sorcery and to make: do also they(masc.) magician Egypt in/on/with secret their so
12 Kila mtu akarusha chini gongo lake, na magongo yakawa nyoka. Lakini gongo la Aruni lilimeza nyoka zao.
and to throw man: anyone tribe: rod his and to be to/for serpent: snake and to swallow up tribe: rod Aaron [obj] tribe: rod their
13 Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, na akusikiliza, kama Yahweh alivyo tabiri.
and to strengthen: strengthen heart Pharaoh and not to hear: hear to(wards) them like/as as which to speak: speak LORD
14 Yahweh akasema na Musa, “Moyo wa Farao ni mgumu, na anakataa kuacha watu waende.
and to say LORD to(wards) Moses heavy heart Pharaoh to refuse to/for to send: let go [the] people
15 Nenda kwa Farao asubui anapoenda kwenye maji. Simama kwenye chanzo cha mto kukutana naye, na uchukuwe mkononi mwako gongo ambalo liligeuka nyoka.
to go: went to(wards) Pharaoh in/on/with morning behold to come out: come [the] water [to] and to stand to/for to encounter: meet him upon lip: shore [the] Nile and [the] tribe: rod which to overturn to/for serpent to take: take in/on/with hand your
16 Mwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, amenituma kwako, “Acha watu wangu waende, iliwaniabudu nyikani. Mpaka sasa haujanisikiliza.”
and to say to(wards) him LORD God [the] Hebrew to send: depart me to(wards) you to/for to say to send: let go [obj] people my and to serve: minister me in/on/with wilderness and behold not to hear: obey till thus
17 Yahweh anasema hili: “Kwa hili utajua kuwa mimi ni Yahweh. Ninaenda kupiga maji ya mto wa Misri kwa gongo langu lililo mikono mwangu, na mto utageuzwa kuwa damu.
thus to say LORD in/on/with this to know for I LORD behold I to smite in/on/with tribe: rod which in/on/with hand my upon [the] water which in/on/with Nile and to overturn to/for blood
18 Samaki walio kwenye mto watakufa, na mto utanuka. Wa Misri Hawataweza kunywa maji yalio kwenye mto.”'''
and [the] fish which in/on/with Nile to die and to stink [the] Nile and be weary Egyptian to/for to drink water from [the] Nile
19 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Mwambie Aruni, 'Chukuwa gongo lako na unyooshe mkono kwenye maji ya Misri, na juu ya mito yake, mifereji, visima, na madimbwi yote, ili maji yao ya damu. Fanya hivi ilikuwe na damu nchi nzima ya Misri, hadi kwenye vyombo vyote vya mbao na mawe.”'
and to say LORD to(wards) Moses to say to(wards) Aaron to take: take tribe: rod your and to stretch hand your upon water Egypt upon river their upon Nile their and upon pool their and upon all collection water their and to be blood and to be blood in/on/with all land: country/planet Egypt and in/on/with tree: wood and in/on/with stone
20 Musa na Aruni walifanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni alinyanyua gongo na kupiga maji ya mto, machoni pa Farao na watumishi wake. Maji yote kwenye mto yaligeuga damu.
and to make: do so Moses and Aaron like/as as which to command LORD and to exalt in/on/with tribe: rod and to smite [obj] [the] water which in/on/with Nile to/for eye: seeing Pharaoh and to/for eye: seeing servant/slave his and to overturn all [the] water which in/on/with Nile to/for blood
21 Samaki kwenye mto wakafa, na mto ukaanza kunuka. Wamisri hawakuweza kunywa maji kwenye mto, na damu ilikuwa kila mahali katika nchii ya Misri.
and [the] fish which in/on/with Nile to die and to stink [the] Nile and not be able Egyptian to/for to drink water from [the] Nile and to be [the] blood in/on/with all land: country/planet Egypt
22 Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao. Kwaiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, na akakataa kuwasikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema itatokea.
and to make: do so magician Egypt in/on/with secrecy their and to strengthen: strengthen heart Pharaoh and not to hear: hear to(wards) them like/as as which to speak: speak LORD
23 Kisha Farao akarudi na kwenda nyumbani kwake. Wala hakutilia maanani hili.
and to turn Pharaoh and to come (in): come to(wards) house: home his and not to set: consider heart his also to/for this
24 Wamisri wote walichimba pembeni ya mto kwa ajili ya maji ya kunywa, lakini hawakuweza kunywa maji ya mto.
and to search all Egyptian around: side [the] Nile water to/for to drink for not be able to/for to drink from water [the] Nile
25 Siku saba zilipita baada ya Yahweh kushambulia mto.
and to fill seven day after to smite LORD [obj] [the] Nile

< Kutoka 7 >