< Kutoka 7 >

1 Yahweh akasema na Musa, “Ona, nimekufanya kama mungu kwa Farao. Aruni kaka yako atakuwa nabii wako.
And he said Yahweh to Moses consider I have appointed you a god to Pharaoh and Aaron brother your he will be prophet your.
2 Utasema kila kitu nitacho kuamuru kusema. Aruni kaka yako ata sema na Farao iliawaachie watu wa Israeli watoke kwenye nchi yake.
You you will speak all that I will command you and Aaron brother your he will speak to Pharaoh and he will let go [the] people of Israel from land his.
3 Lakini nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na nitaonyesha ishara nyingi za nguvu zangu, maajabu mengi, katika nchi ya Misri.
And I I will make stubborn [the] heart of Pharaoh and I will multiply signs my and wonders my in [the] land of Egypt.
4 Lakini Farao hata kusikiliza, kwahiyo nitaueka mkono wangu juu ya Misri na kutoa makundi yangu ya wanaume wapiganaji, watu wangu, wazao wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa matendo makubwa ya hukumu.
And not he will listen to you Pharaoh and I will put hand my on Egypt and I will bring out hosts my people my [the] people of Israel from [the] land of Egypt with acts of judgment great.
5 Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitapo nyoosha mkono wangu kwa Misri na kuwatoa Waisraeli kutoka miongoni mwao.”
And they will know Egypt that I [am] Yahweh when stretch out I hand my on Egypt and I will bring out [the] people of Israel from among them.
6 Musa na Aruni wakafanya hivyo; walifanya kama Yahweh alivyo waamuru.
And he did Moses and Aaron just as he commanded Yahweh them so they did.
7 Musa alikuwa na miaka themanini, na Aruni miaka themanini na tatu walipo ongea na Farao.
And Moses [was] a son of eighty year[s] and Aaron [was] a son of three and eighty year[s] when spoke they to Pharaoh.
8 Yahweh akamwambia Musa na Aruni,
And he said Yahweh to Moses and to Aaron saying.
9 “Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka.”'
That he will say to you Pharaoh saying give for yourselves a wonder and you will say to Aaron take staff your and throw [it] before Pharaoh it may become a serpent.
10 Kisha Musa na Aruni wakaenda kwa Farao, na wakafanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni akarusha chini gongo lake mbele ya Farao na watumishi wake, na likageuka nyoka.
And he went Moses and Aaron to Pharaoh and they did so just as he had commanded Yahweh and he threw down Aaron staff his before Pharaoh and before servants his and it became a serpent.
11 Kisha naye Farao akawaita wazee wenye hekima na wachawi. Wakafanya jambo hilo hilo kwa uchawi wao.
And he summoned also Pharaoh the wise men and the sorcerers and they did also they [the] magicians of Egypt by enchantments their thus.
12 Kila mtu akarusha chini gongo lake, na magongo yakawa nyoka. Lakini gongo la Aruni lilimeza nyoka zao.
And they threw down each one staff his and they became serpents and it swallowed up [the] staff of Aaron staffs their.
13 Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, na akusikiliza, kama Yahweh alivyo tabiri.
And it was strong [the] heart of Pharaoh and not he listened to them just as he had said Yahweh.
14 Yahweh akasema na Musa, “Moyo wa Farao ni mgumu, na anakataa kuacha watu waende.
And he said Yahweh to Moses [is] heavy [the] heart of Pharaoh he has refused to let go the people.
15 Nenda kwa Farao asubui anapoenda kwenye maji. Simama kwenye chanzo cha mto kukutana naye, na uchukuwe mkononi mwako gongo ambalo liligeuka nyoka.
Go to Pharaoh in the morning there! [he is] going out the water towards and you will stand to meet him on [the] bank of the River and the staff which it was changed into a snake you will take in hand your.
16 Mwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, amenituma kwako, “Acha watu wangu waende, iliwaniabudu nyikani. Mpaka sasa haujanisikiliza.”
And you will say to him Yahweh [the] God of the Hebrews he has sent me to you to say let go people my so they may serve me in the wilderness and here! not you have listened until thus.
17 Yahweh anasema hili: “Kwa hili utajua kuwa mimi ni Yahweh. Ninaenda kupiga maji ya mto wa Misri kwa gongo langu lililo mikono mwangu, na mto utageuzwa kuwa damu.
Thus he says Yahweh by this you will know that I [am] Yahweh here! I [am] about to strike - with the staff which [is] in hand my the water which [is] in the River and they will be changed into blood.
18 Samaki walio kwenye mto watakufa, na mto utanuka. Wa Misri Hawataweza kunywa maji yalio kwenye mto.”'''
And the fish which [is] in the River it will die and it will stink the River and they will be weary Egypt to drink water from the River.
19 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Mwambie Aruni, 'Chukuwa gongo lako na unyooshe mkono kwenye maji ya Misri, na juu ya mito yake, mifereji, visima, na madimbwi yote, ili maji yao ya damu. Fanya hivi ilikuwe na damu nchi nzima ya Misri, hadi kwenye vyombo vyote vya mbao na mawe.”'
And he said Yahweh to Moses say to Aaron take staff your and stretch out hand your over [the] waters of Egypt over rivers their - over canals their and over ponds their and over every reservoir of water their so they may become blood and it will be blood in all [the] land of Egypt and in the wood and in the stone.
20 Musa na Aruni walifanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni alinyanyua gongo na kupiga maji ya mto, machoni pa Farao na watumishi wake. Maji yote kwenye mto yaligeuga damu.
And they did so Moses and Aaron just as - he had commanded Yahweh and he raised the staff and he struck the water which [was] in the River to [the] eyes of Pharaoh and to [the] eyes of servants his and they were changed all the water which [was] in the River into blood.
21 Samaki kwenye mto wakafa, na mto ukaanza kunuka. Wamisri hawakuweza kunywa maji kwenye mto, na damu ilikuwa kila mahali katika nchii ya Misri.
And the fish which [was] in the River it died and it stank the River and not they were able Egypt to drink water from the River and it was the blood in all [the] land of Egypt.
22 Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao. Kwaiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, na akakataa kuwasikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema itatokea.
And they did thus [the] magicians of Egypt by enchantments their and it was strong [the] heart of Pharaoh and not he listened to them just as he had said Yahweh.
23 Kisha Farao akarudi na kwenda nyumbani kwake. Wala hakutilia maanani hili.
And he turned Pharaoh and he went into house his and not he set heart his also to this.
24 Wamisri wote walichimba pembeni ya mto kwa ajili ya maji ya kunywa, lakini hawakuweza kunywa maji ya mto.
And they dug all Egypt around the River water to drink for not they were able to drink any of [the] water of the River.
25 Siku saba zilipita baada ya Yahweh kushambulia mto.
And it was completed seven days after struck Yahweh the River.

< Kutoka 7 >