< Kutoka 7 >

1 Yahweh akasema na Musa, “Ona, nimekufanya kama mungu kwa Farao. Aruni kaka yako atakuwa nabii wako.
Mojsiju je Jahve odgovorio: “Vidi! Faraonu ću te nametnuti kao božanstvo; tvoj brat Aron bit će tvoj prorok.
2 Utasema kila kitu nitacho kuamuru kusema. Aruni kaka yako ata sema na Farao iliawaachie watu wa Israeli watoke kwenye nchi yake.
Ti kazuj sve što ti naređujem, a tvoj brat Aron neka faraonu ponovi da pusti Izraelce te odu iz njegove zemlje.
3 Lakini nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na nitaonyesha ishara nyingi za nguvu zangu, maajabu mengi, katika nchi ya Misri.
Ja ću učiniti da otvrdne srce faraonu i umnožit ću znakove i čudesa u zemlji egipatskoj.
4 Lakini Farao hata kusikiliza, kwahiyo nitaueka mkono wangu juu ya Misri na kutoa makundi yangu ya wanaume wapiganaji, watu wangu, wazao wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa matendo makubwa ya hukumu.
Kako vas faraon neće poslušati, ja ću staviti svoju ruku na Egipat: strašno kažnjavajući, izbavit ću svoje čete, narod svoj, Izraelce, iz egipatske zemlje.
5 Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitapo nyoosha mkono wangu kwa Misri na kuwatoa Waisraeli kutoka miongoni mwao.”
Kad pružim svoju ruku na Egipat i izvedem Izraelce iz njihove sredine, tada će Egipćani spoznati da sam ja Jahve.”
6 Musa na Aruni wakafanya hivyo; walifanya kama Yahweh alivyo waamuru.
Mojsije i Aron poslušaše: kako im je Jahve naredio, upravo tako učiniše.
7 Musa alikuwa na miaka themanini, na Aruni miaka themanini na tatu walipo ongea na Farao.
Mojsiju je bilo osamdeset, a Aronu osamdeset i tri godine kad su faraonu postavili svoje zahtjeve.
8 Yahweh akamwambia Musa na Aruni,
Još doda Jahve Mojsiju i Aronu:
9 “Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka.”'
“Kad faraon zatraži od vas da izvedete kakvo znamenje, ti reci Aronu da uzme svoj štap i baci ga pred faraona, a štap će se pretvoriti u zmiju.”
10 Kisha Musa na Aruni wakaenda kwa Farao, na wakafanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni akarusha chini gongo lake mbele ya Farao na watumishi wake, na likageuka nyoka.
Dođu Mojsije i Aron pred faraona i učine kako im je Jahve naredio. Aron baci pred faraona i njegove službenike svoj štap, koji se pretvori u zmiju.
11 Kisha naye Farao akawaita wazee wenye hekima na wachawi. Wakafanya jambo hilo hilo kwa uchawi wao.
Zovne faraon mudrace i vračare. I zaista, egipatski vračari svojim vračanjem učine isto:
12 Kila mtu akarusha chini gongo lake, na magongo yakawa nyoka. Lakini gongo la Aruni lilimeza nyoka zao.
svaki baci svoj štap, koji se pretvori u zmiju. Ali Aronov štap proguta njihove štapove.
13 Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, na akusikiliza, kama Yahweh alivyo tabiri.
Faraon bijaše tvrdokorna srca: ne htjede poslušati Mojsija i Arona, kako je Jahve i kazao.
14 Yahweh akasema na Musa, “Moyo wa Farao ni mgumu, na anakataa kuacha watu waende.
Tada Jahve reče Mojsiju: “Faraonovo je srce okorjelo; odbija da pusti narod.
15 Nenda kwa Farao asubui anapoenda kwenye maji. Simama kwenye chanzo cha mto kukutana naye, na uchukuwe mkononi mwako gongo ambalo liligeuka nyoka.
Ujutro pođi k faraonu. Kad izađe k vodi, stani preda nj na obali Rijeke. Uzmi u ruku štap što se bio u zmiju pretvorio.
16 Mwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, amenituma kwako, “Acha watu wangu waende, iliwaniabudu nyikani. Mpaka sasa haujanisikiliza.”
Reci mu: 'Jahve, Bog Hebreja, poslao me k tebi s porukom da pustiš moj narod da mi iskaže štovanje u pustinji. Ali sve dosad ti nisi poslušao.
17 Yahweh anasema hili: “Kwa hili utajua kuwa mimi ni Yahweh. Ninaenda kupiga maji ya mto wa Misri kwa gongo langu lililo mikono mwangu, na mto utageuzwa kuwa damu.
Ovako Jahve poručuje: Ovim ćeš spoznati da sam ja Jahve. Gledaj! Štapom koji imam u ruci mlatnut ću po vodi u Rijeci i pretvorit će se u krv.
18 Samaki walio kwenye mto watakufa, na mto utanuka. Wa Misri Hawataweza kunywa maji yalio kwenye mto.”'''
Ribe će u Rijeci pocrkati; Rijeka će se usmrdjeti, i grstit će se Egipćanima piti vodu iz Rijeke.'”
19 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Mwambie Aruni, 'Chukuwa gongo lako na unyooshe mkono kwenye maji ya Misri, na juu ya mito yake, mifereji, visima, na madimbwi yote, ili maji yao ya damu. Fanya hivi ilikuwe na damu nchi nzima ya Misri, hadi kwenye vyombo vyote vya mbao na mawe.”'
Još Jahve reče Mojsiju: “Reci Aronu da uzme svoj štap i pruži svoju ruku povrh egipatskih voda: njihovih rijeka, njihovih prokopa, njihovih jezeraca, svih njihovih vodenih stjecišta, da se pretvore u krv; po svoj zemlji egipatskoj neka je krv, čak i u drvenim i kamenim posudama.”
20 Musa na Aruni walifanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni alinyanyua gongo na kupiga maji ya mto, machoni pa Farao na watumishi wake. Maji yote kwenye mto yaligeuga damu.
Mojsije i Aron učiniše kako im je Jahve naredio. Podiže Aron svoj štap i naočigled faraona i njegovih službenika mlatnu po vodi u Rijeci. Sva se voda u Rijeci prometnu u krv.
21 Samaki kwenye mto wakafa, na mto ukaanza kunuka. Wamisri hawakuweza kunywa maji kwenye mto, na damu ilikuwa kila mahali katika nchii ya Misri.
Ribe u Rijeci pocrkaše; Rijeka se usmrdje, tako da Egipćani nisu mogli piti vodu iz Rijeke; krv bijaše po svoj zemlji egipatskoj.
22 Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao. Kwaiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, na akakataa kuwasikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema itatokea.
Ali egipatski vračari svojim vračanjem učiniše isto. Tako faraon ostade tvrdokorna srca: nije htio poslušati Mojsija i Arona, kako je Jahve i kazao.
23 Kisha Farao akarudi na kwenda nyumbani kwake. Wala hakutilia maanani hili.
Faraon se okrenu i ode u svoj dvor, ne uzimajući ni to k srcu.
24 Wamisri wote walichimba pembeni ya mto kwa ajili ya maji ya kunywa, lakini hawakuweza kunywa maji ya mto.
Svi su Egipćani počeli kopati oko Rijeke tražeći pitke vode jer nisu mogli piti vode iz Rijeke.
25 Siku saba zilipita baada ya Yahweh kushambulia mto.
Kad je prošlo sedam dana kako je Jahve udario po Rijeci,

< Kutoka 7 >