< Kutoka 6 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
RAB Musa'ya, “Firavuna ne yapacağımı şimdi göreceksin” dedi, “Güçlü elimden ötürü İsrail halkını salıverecek, güçlü elimden ötürü onları ülkesinden kovacak.”
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
Tanrı ayrıca Musa'ya, “Ben Yahve'yim” dedi,
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
“İbrahim'e, İshak'a ve Yakup'a Her Şeye Gücü Yeten Tanrı olarak göründüm, ama onlara kendimi Yahve adıyla tanıtmadım.
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
Yabancı olarak yaşadıkları Kenan ülkesini kendilerine vermek üzere onlarla antlaşma yaptım.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
Mısırlılar'ın köleleştirdiği İsrailliler'in iniltilerini duydum ve antlaşmamı hep andım.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
“Onun için İsrailliler'e de ki, ‘Ben Yahve'yim. Sizi Mısırlılar'ın boyunduruğundan çıkaracak, onların kölesi olmaktan kurtaracağım. Onları ağır biçimde yargılayacak ve kudretli elimle sizi özgür kılacağım.
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
Sizi kendi halkım yapacak ve Tanrınız olacağım. O zaman sizi Mısırlılar'ın boyunduruğundan çıkaran Tanrınız Yahve'nin ben olduğumu bileceksiniz.
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
Sizi İbrahim'e, İshak'a ve Yakup'a vereceğime ant içtiğim topraklara götüreceğim. Orayı size mülk olarak vereceğim. Ben Yahve'yim.’”
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
Musa bunları İsrailliler'e anlattı, ama umutları kırıldığı ve ağır baskı altında oldukları için onu dinlemediler.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
RAB Musa'ya, “Git, Mısır Firavunu'na İsrailliler'i ülkesinden salıvermesini söyle” dedi.
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
Ama Musa, “İsrailliler beni dinlemedikten sonra, firavun nasıl dinler?” diye karşılık verdi, “Zaten iyi konuşan biri değilim.”
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
RAB Musa ve Harun'la İsrailliler ve Mısır Firavunu hakkında konuştu. İsrailliler'i Mısır'dan çıkarmalarını buyurdu.
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
İsrailliler'in aile önderleri şunlardır: Yakup'un ilk oğlu Ruben'in oğulları: Hanok, Pallu, Hesron, Karmi. Ruben'in boyları bunlardır.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
Şimon'un oğulları: Yemuel, Yamin, Ohat, Yakin, Sohar ve Kenanlı bir kadının oğlu Şaul. Şimon'un boyları bunlardır.
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
Kayıtlarına göre Levioğulları'nın adları şunlardır: Gerşon, Kehat, Merari. Levi 137 yıl yaşadı.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
Gerşon'un oğulları boylarına göre şunlardır: Livni, Şimi.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
Kehat'ın oğulları: Amram, Yishar, Hevron, Uzziel. Kehat 133 yıl yaşadı.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
Merari'nin oğulları: Mahli, Muşi. Kayıtlarına göre Levi boyları bunlardır.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
Amram halası Yokevet'le evlendi. Yokevet ona Harun'la Musa'yı doğurdu. Amram 137 yıl yaşadı.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
Yishar'ın oğulları: Korah, Nefek, Zikri.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
Uzziel'in oğulları: Mişael, Elsafan, Sitri.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Harun Nahşon'un kızkardeşi ve Amminadav'ın kızı Elişeva'yla evlendi. Elişeva ona Nadav, Avihu, Elazar ve İtamar'ı doğurdu.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
Korah'ın oğulları: Assir, Elkana, Aviasaf. Korahlılar'ın boyları bunlardır.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
Harun'un oğlu Elazar Putiel'in kızlarından biriyle evlendi. Karısı ona Pinehas'ı doğurdu. Boylarına göre Levili aile önderleri bunlardır.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
RAB'bin, “İsrailliler'i ordular halinde Mısır'dan çıkarın” dediği Harun ve Musa bunlardır.
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
İsrailliler'i Mısır'dan çıkarmak için Mısır Firavunu ile konuşanlar da Musa'yla Harun'dur.
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
RAB Mısır'da Musa'yla konuştuğunda, ona, “Ben RAB'bim” dedi, “Sana söylediğim her şeyi Mısır Firavunu'na ilet.”
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
Musa RAB'bin huzurunda, “Ben iyi konuşan biri değilim” diye karşılık verdi, “Firavun beni nasıl dinler?”

< Kutoka 6 >